Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Aisee mimi nguo yangu ya ndani ilikatwa kipande ikabaki tobo!
Hii imekaaje?
Hii imekaaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisaidie kuwatag akina mshana mkuu maana hapa sielewi kabisa nini cha kufanya maana ninaishi na mtoto wa shangazi yangu mmoja mtaalamu wa kuwanga isijekuwa ndio ametumwa chakula cha zamuAisee mimi nguo yangu ya ndani ilikatwa kipande ikabaki tobo!
Hii imekaaje?
Meditation inafanywa vipi?Amna mkuu, ukistukia mchongo, unajipanga upya muhimu ni kuusoma mchezo, ukitaka kujua unaishije waangalie sana waliokuzunguka utajua tu. Unaweza kujua upo sawa kumbe ni kinyume chake, meditation inasaidia sana
una demu??? umepanga kuwa mtoto na mtoto ukiwa na umri gani?Wengi mnachangia kuonyesha kama story tu,binafsi naona kama ndio napitia hayo muda huu,nipo 40+ ila najionea chenga tu,mke sina mtoto sina,sometimes kama najistukia hivi ila napuuzia,kuna madogo wanazaliwa wanakuwa wanakuwa na maisha yao mi nipo hivi hivi,cha ajabu siishi maisha ya kitajiri wala ya kimasikini yaan sio ya juu wala ya chini,nitaandika hapa hata kujaza kurasa mia,kwa ufupi sielewi,nikipata pesa mi tungi la kutosha,hiyo pesa sasa sijui naipataje ni ngumu kuelewa ila naweza kuanza kitu simple tu kikaniingizia pesa weee baadae nakipotezea
UnazinguaMungu nampata wapi mkuu na haya maisha yetu ya kula tunda kimasihara
Nina mada yake kuhusiana na hili nitatafuta link yakeHabari zenu wakuu natumahi mu wazima wa afya.
Leo nimekuja na hili baada ya kuona matukio yakufanana yahusishayo Nguo.
TUKIO LA KWANZA (1):
Kuna jamaa yangu tulifahamiana nae yeye ni ndugu yake na binamu yangu. Yeye ni Upanga Boy (Mzaliwa wa kata ya Upanga wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam). Back to the story, yeye alikumbwa na tukio (la kishirikina)ambalo lilimfanya awe cha pombe sana, afu michongo sifuri. Ali-turn 40 akiwa home kwao Upanga.
Baada ya jamaa huyo kuwa tatizo katika familia na ukoo kwa muda mrefu. Mwaka 2018 ilikuja bainika kuwa jamaa kalogwa na Shangazi yake wa Singida, Na moja ya " Link " iliyotumika ni nguo (shati) ya jamaa. Jamaa alilitambua shati lake lililopotea siku nyingi akiwa Upanga ila siku hiyo ililiona likiwa Manyoni Singida likiwa limechomwa chomwa sindano, pia likiwa limenyunyuziwa dawa na kufungungwa Power Banks (Ilizi) mbalimbali zenye rangi tofauti tofauti ndani ya chumba ambacho kina giza nene na hakuna mtu uruhusiwa kuingia.
Vyote hivyo vilitosha kuhahakikisha mambo ya jamaa hayaendi, iyo mpaka umauti ulipomkuta 2019 kwenye kilabu kimoja cha pombe maeneo ya vigunguti.
TUKIO LA PILI (2):
Tukio la pili nililisoma humu JamiiForums.
Kuna jamaa yeye ni mzawa na mkazi wa jiji la Dar, Yeye alikuwa ana mpango South Africa.
Alifanya mipango yake kwa siri sana mpaka kufika Mbeya bila familia yake kujua. Kwa bahati mbaya alimtonya ndugu yake hapo Mbeya, Ndugu huyo akawa-informer kwa familia yake ilipo Dar. Mama yake mzazi hakutaka mwanae aende South Africa ivyo ikambidi aende kwa mtaalam amsaidie.
Mtaalam akaagiza Mama Mzazi wa jamaa alete nguzo ya mshikaji afanye mambo. Mtaalam baada ya kukabidhiwa nguo hiyo alifanya mambo kwa ustadi wakutosha.
Uwezi amini bhana yule jamaa ndani ya muda mfupi tu alibadili mawazo "completely" na kurudi kwao Temeke.
Kwako Mshana Jr na wajuvi wengine wenye nyota zenu na mwezi
Tupeni chemistry ya Nguo kwenye ulozi.
Uandishi tuvumiliane tu, hamna namna.
Nazingua kivipi bwana kengiUnazingua
km ni hivi bora ije vita tu!!! miziz yote ikauke tutawanyikie mbali!! haya yooote ajili ya kuwahi kupata uhuru!! tulitakiwa sisi tupate uhuru mwaka 2099 hukoWatanzania tunarogana sana, na kuharibiana maisha bila sababu za msingi
Na ukifa tunaijia mchanga wa kaburi lako, mixa kuvunja nazi juu yake....
Yaani kama ulikuwepo// kabisaaaaa mashangazi mpwitiii!!! akikupenda jiulize mara mbili!! anachotaka[emoji23]mambo ya uswahili ni tabu sana mkuu. Mashangazi nao sio wazuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee dogo kuuuuumbe ndo maana akili yako uko vileeeee!! ! mpyutiikhhsfhvccbxhxhx hak ya nani nimekujua sasa!! hamna shida.Aisee mimi nguo yangu ya ndani ilikatwa kipande ikabaki tobo!
Hii imekaaje?
Hahaa... unataka kuniroga?Wee dogo kuuuuumbe ndo maana akili yako uko vileeeee!! ! mpyutiikhhsfhvccbxhxhx hak ya nani nimekujua sasa!! hamna shida.
nikimgundua mbona atakomaUkimgundua mchawi anayekuroga fumua marinda yake.
Tumechoka kusumbuliwa na hawa wachawi uchwara.
Pole sanaMimi niliwahi kufanyiwa huo uchawi...kipindi hicho nilikuwa kidato cha tano kule karagwe secondary...yaani shule nzima mimi tu ndio nilikuwa naonekana kituko...ilifikia mpaka mkuu wa shule alinibatiza jina la 'truant boy'....na bado nilikuwa najitahidi kuswali sala tano...ila nilifanikiwa kumaliza kwa mbinde...hata shule niliyohamia watu wote waliokuwa wanasoma combination kama yangu wote walifaulu ila mimi tu ndie nilifeli...UCHAWI UPO
asante mkuu..vipi umejifunza kitu.Pole sana