Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
wachawi na chumvi paka na manati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miaka ya 2013 mpaka 2015 kuna mwanachuo mmoja alikuwa mteja wangu sana saloon kwangu,kuna siku kaja nimnyoe nashangaa kichwani kanyolewa nikamuuliza akashangaa hakuwa anajuwa kabisa,basi jamaa akaishi maisha ya kujistukia sana yani akipanda daladala kama kapata siti na kuna abiria waliosimama alikuwa anaweka mkono kichwani kuzuga kama anajikuna ili kuziba ile sehemu .bahati nzuri alikutanaga na mmasai huko Tegeta akampa dawa akapona pakaziba kabisa.saivi nna mteja mwingine naye wamenyoa chini ya kisogo hazijaota mpk leo.[emoji38]mkuu ilikua kila mtu ninayekutana naye anauliza nywele ziko wapi. Kwenye kesi hapo sasa ndio sio powa mzee. Watu ni wabaya sana mkuu,bora ulikimbia maana sahivi ungekuwa unapangiwa muda wa kulala huko jera
Sent using Jamii Forums mobile app
Itabidi na mimi nimtafute masai aise, hizo nywele jamaa huwa sijui wanaweka nini zinagoma kuota. Mtu ambaye hajawahi kushuhudia hii anaweza kudhani tunapiga fix hapamiaka ya 2013 mpaka 2015 kuna mwanachuo mmoja alikuwa mteja wangu sana saloon kwangu,kuna siku kaja nimnyoe nashangaa kichwani kanyolewa nikamuuliza akashangaa hakuwa anajuwa kabisa,basi jamaa akaishi maisha ya kujistukia sana yani akipanda daladala kama kapata siti na kuna abiria waliosimama alikuwa anaweka mkono kichwani kuzuga kama anajikuna ili kuziba ile sehemu .bahati nzuri alikutanaga na mmasai huko Tegeta akampa dawa akapona pakaziba kabisa.saivi nna mteja mwingine naye wamenyoa chini ya kisogo hazijaota mpk leo.
Mungu nampata wapi mkuu na haya maisha yetu ya kula tunda kimasiharaMkabidhi Mungu amsimamie.
Mungu yupo kila mahali. Ukimtafuta huwezi kumkosa.Mungu nampata wapi mkuu na haya maisha yetu ya kula tunda kimasihara
hata huyo jamaa anadai masai ndo alimfata na kumuuliza baada ya kumjibu akamwambia dawa ninayo,jamaa hakumuamini ila kwasababu alikuwa na shida akanunua tu kama kujaribu keeli alipona maana kila alipokuwa anakuja nilikuwa naona mabadiliko na mimi ndo nilikuwa namwambia kwamba kweli zinaota mpaka pakaziba kabisa yaani mpk anamaliza chuo na kuhama mtaani alikuwa sawa hana tena tatizo,inavyoonekana tatizo la hivyo huwezi kutibiwa hospitali jaribu kuulizia kwenye maduka makubwa mjini ya dawa za asili unaweza kubahatisha .Itabidi na mimi nimtafute masai aise, hizo nywele jamaa huwa sijui wanaweka nini zinagoma kuota. Mtu ambaye hajawahi kushuhudia hii anaweza kudhani tunapiga fix hapa
Nina ex wangu nilimpenda sana. Ndugu yake wa kambo alichukua nguo yake ya ndani akiwa A level zile likizo tunarudi kwa ndugu wa karibu na shule. Leo hii naongea hapa alitakiwa awe kamaliza second year ila akijaribu issue yoyote ya chuo anaumwa. Hawa ni kina Salamu Maria kama mimi, hazijawahi ondoa uchawi hata siku mojaMungu nampata wapi mkuu na haya maisha yetu ya kula tunda kimasihara
Wewe umerogwa mkuu.Wengi mnachangia kuonyesha kama story tu,binafsi naona kama ndio napitia hayo muda huu,nipo 40+ ila najionea chenga tu,mke sina mtoto sina,sometimes kama najistukia hivi ila napuuzia,kuna madogo wanazaliwa wanakuwa wanakuwa na maisha yao mi nipo hivi hivi,cha ajabu siishi maisha ya kitajiri wala ya kimasikini yaan sio ya juu wala ya chini,nitaandika hapa hata kujaza kurasa mia,kwa ufupi sielewi,nikipata pesa mi tungi la kutosha,hiyo pesa sasa sijui naipataje ni ngumu kuelewa ila naweza kuanza kitu simple tu kikaniingizia pesa weee baadae nakipotezea
Hakika[emoji23]mambo ya uswahili ni tabu sana mkuu. Mashangazi nao sio wazuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi?Ukiingia kule kutoka ni issue
Nalog off
Nitafanya hivo kabisahata huyo jamaa anadai masai ndo alimfata na kumuuliza baada ya kumjibu akamwambia dawa ninayo,jamaa hakumuamini ila kwasababu alikuwa na shida akanunua tu kama kujaribu keeli alipona maana kila alipokuwa anakuja nilikuwa naona mabadiliko na mimi ndo nilikuwa namwambia kwamba kweli zinaota mpaka pakaziba kabisa yaani mpk anamaliza chuo na kuhama mtaani alikuwa sawa hana tena tatizo,inavyoonekana tatizo la hivyo huwezi kutibiwa hospitali jaribu kuulizia kwenye maduka makubwa mjini ya dawa za asili unaweza kubahatisha .