Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usharudi kwenu KideteHata mm nilirudishwa kwa Stail hiyo! Kutoka Canada, ( nilikuja kujua baadae sana )Pia yupo baba wa msanii mmoja wa mchekeshaji maarufu nae wamemtia uchizi kwa ungese huo huo, mzee alikuwa don pale karachi, malay* anakuroga, ndugu wanakuroga, mke anakuroga, utatokea wapi
Iyo Abdallah asimamiDuuh!! Kama shati tu au suruali unapigwa pini hivyo,je wakichukua Chupi inakuwaje[emoji24][emoji24]?!!
Sasa mkuu unajuaje kama umepigwa pini?
Mzee inaoneka uko na uzoefu sana. Umeshakutana na visa kama hivi kwenye maisha ya kawaida.Na wachawi wengine wapo hapahapa wanasoma commets kabisa na kushusha matusi ya haja.
Naskia sifa kuu ya mchawi ni unafki.
Duh kifo tena😱Ni kusubiri kifo tu
Ukipata ulievizuri bila shaka anaweza kukusaidia mambo yako. Mtaani mambo hayaendi kabisa.Wataalam Og wanakubadilishia mafaili kabisa! Usikie uchawi/uganga ukikutana nao mubashara hutasahau maishani.
Medication inaweza detect mchawi?Amna mkuu, ukistukia mchongo, unajipanga upya muhimu ni kuusoma mchezo, ukitaka kujua unaishije waangalie sana waliokuzunguka utajua tu. Unaweza kujua upo sawa kumbe ni kinyume chake, meditation inasaidia sana
Bado tuaambiwa hatuwaridishi.aisee kweli wanaume tumeumbwa matesooooo matesooo kuhangaika
Unakubwa na masanga gani.sasa naanza kuamini nimerogwa nimegundua.
mkuu kuna mengi yanayo nikuta sasa naanza kupata mwanga maaana si kawaida hafi nafikia kufikiria hivyoUnakubwa na masanga gani.
Pole sana muhimu ni kumuomba mungu kwa maombi ya dhati.mkuu kuna mengi yanayo nikuta sasa naanza kupata mwanga maaana si kawaida hafi nafikia kufikiria hivyo
Kuishi kwingi kuona mengi mzee.Halafu Kuna watoto wenye maziwa kwenye meno wanakuambia uchawi hamna....ihiii...dah...huwa nashangaa tu.....watu wanapigana pin daily
Halafu Kuna watoto wenye maziwa kwenye meno wanakuambia uchawi hamna....ihiii...dah...huwa nashangaa tu.....watu wanapigana pin daily
Una miaka mingapi?Hakuna uchawi,hakuma mchawi ,hizo ni imani tu ila in reality ni uongo mtupu.mtu mwenye mawazo ya kishirikina mpaka dunia ya sasa huyo ni mpuuzi
Hapana mkuu ila kuna kipindi nilikua msomaji sana wa makala na hadithi za kichawi na majini, kwa sasa nimeacha huo uraibu.Mzee inaoneka uko na uzoefu sana. Umeshakutana na visa kama hivi kwenye maisha ya kawaida.
Mkuu watakuwa vibaka 'walikupiga' au uliisahau kwa mchepuko wako.Mimi kuna kipindi zilipotea sana nguo zangu alafu zinapotelea kabatini na wakati naishi peke yangu. Kuna jeans ilipotea ikiwa mpya nimevaa week moja tu nikaweka kabatini haikuonekana mpaka leo
Sent using Jamii Forums mobile app