Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Hii dunia ni ngumu sana aisee...asante mkuu..vipi umejifunza kitu.
Watu ni WABAYA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii dunia ni ngumu sana aisee...asante mkuu..vipi umejifunza kitu.
lakini kila kitu kina mwisho leo hii jamaa wamepoteana..Hii dunia ni ngumu sana aisee...
Watu ni WABAYA
Ulitumia mbinu gani mkuu kuondoa hiyo nuksi waliyokupaka?lakini kila kitu kina mwisho leo hii jamaa wamepoteana..
Mkuu maisha yako yamefanana sana na yako.Mimi niliwahi kufanyiwa huo uchawi...kipindi hicho nilikuwa kidato cha tano kule karagwe secondary...yaani shule nzima mimi tu ndio nilikuwa naonekana kituko...ilifikia mpaka mkuu wa shule alinibatiza jina la 'truant boy'....na bado nilikuwa najitahidi kuswali sala tano...ila nilifanikiwa kumaliza kwa mbinde...hata shule niliyohamia watu wote waliokuwa wanasoma combination kama yangu wote walifaulu ila mimi tu ndie nilifeli...UCHAWI UPO
Ile ishu yako iliisha vipi je alirejea nyumbaniHata mm nilirudishwa kwa Stail hiyo! Kutoka Canada, ( nilikuja kujua baadae sana )Pia yupo baba wa msanii mmoja wa mchekeshaji maarufu nae wamemtia uchizi kwa ungese huo huo, mzee alikuwa don pale karachi, malay* anakuroga, ndugu wanakuroga, mke anakuroga, utatokea wapi
😀😀😀😀Ni mateso haswa.kuna mtaa niliishi mwaka jana walininyoa nywele usiku mpaka leo zimegoma kuota sehemu fulani nikawa nashangawa na watu ikabidi nipige para
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kama vijampo ndio vimemalizaAisee mimi nguo yangu ya ndani ilikatwa kipande ikabaki tobo!
Hii imekaaje?
Tufundishe meditation mzee.Wengine wanasema meditation ni nguvu za gizaAmna mkuu, ukistukia mchongo, unajipanga upya muhimu ni kuusoma mchezo, ukitaka kujua unaishije waangalie sana waliokuzunguka utajua tu. Unaweza kujua upo sawa kumbe ni kinyume chake, meditation inasaidia sana
Wewe ndiye mchawi mwenyewe tunaowaongelea hapa. Hakuna mchawi hata mmoja anaependa kujulikana kwamba ni mchawi.Hakuna uchawi,hakuma mchawi ,hizo ni imani tu ila in reality ni uongo mtupu.mtu mwenye mawazo ya kishirikina mpaka dunia ya sasa huyo ni mpuuzi
Ya dada yako nadhani yatafaa zaidi au unasemaje?chukua maji maji ya papuchi
yachemshe mpaka ievaporet, kilichobaki kama rezidue ni chumvi murua kabisa
Nguo inatumiwa kwa sample kama sample zingine like nywele,nyayo, choo, dam, nk. Sema nguo inatumika coz ni sample rahisi kupatikana. Sema inatokana na utaalam wa mtu . Wale wakongwe wanachukua kimvuli boss.Habari zenu wakuu natumahi mu wazima wa afya.
Leo nimekuja na hili baada ya kuona matukio yakufanana yahusishayo Nguo.
TUKIO LA KWANZA (1):
Kuna jamaa yangu tulifahamiana nae yeye ni ndugu yake na binamu yangu. Yeye ni Upanga Boy (Mzaliwa wa kata ya Upanga wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam). Back to the story, yeye alikumbwa na tukio (la kishirikina)ambalo lilimfanya awe cha pombe sana, afu michongo sifuri. Ali-turn 40 akiwa home kwao Upanga.
Baada ya jamaa huyo kuwa tatizo katika familia na ukoo kwa muda mrefu. Mwaka 2018 ilikuja bainika kuwa jamaa kalogwa na Shangazi yake wa Singida, Na moja ya " Link " iliyotumika ni nguo (shati) ya jamaa. Jamaa alilitambua shati lake lililopotea siku nyingi akiwa Upanga ila siku hiyo ililiona likiwa Manyoni Singida likiwa limechomwa chomwa sindano, pia likiwa limenyunyuziwa dawa na kufungungwa Power Banks (Ilizi) mbalimbali zenye rangi tofauti tofauti ndani ya chumba ambacho kina giza nene na hakuna mtu uruhusiwa kuingia.
Vyote hivyo vilitosha kuhahakikisha mambo ya jamaa hayaendi, iyo mpaka umauti ulipomkuta 2019 kwenye kilabu kimoja cha pombe maeneo ya vigunguti.
TUKIO LA PILI (2):
Tukio la pili nililisoma humu JamiiForums.
Kuna jamaa yeye ni mzawa na mkazi wa jiji la Dar, Yeye alikuwa ana mpango South Africa.
Alifanya mipango yake kwa siri sana mpaka kufika Mbeya bila familia yake kujua. Kwa bahati mbaya alimtonya ndugu yake hapo Mbeya, Ndugu huyo akawa-informer kwa familia yake ilipo Dar. Mama yake mzazi hakutaka mwanae aende South Africa ivyo ikambidi aende kwa mtaalam amsaidie.
Mtaalam akaagiza Mama Mzazi wa jamaa alete nguzo ya mshikaji afanye mambo. Mtaalam baada ya kukabidhiwa nguo hiyo alifanya mambo kwa ustadi wakutosha.
Uwezi amini bhana yule jamaa ndani ya muda mfupi tu alibadili mawazo "completely" na kurudi kwao Temeke.
Kwako Mshana Jr na wajuvi wengine wenye nyota zenu na mwezi
Tupeni chemistry ya Nguo kwenye ulozi.
Uandishi tuvumiliane tu, hamna namna.
sanaaaa.baada ya kumaliza ya mama yakoYa dada yako nadhani yatafaa zaidi au unasemaje?
Stupid. Unajiona mjanja kumbe fala tu. Wapuuzi kama nyie ndio mnatukana matusi ya viungo vya uzazi vya mama zenu halafu unajiona bonge la mjanja! IDIOT!sanaaaa.baada ya kumaliza ya mama yako
Inaoneka uwa unawataambia sana.Ni mateso haswa.kuna mtaa niliishi mwaka jana walininyoa nywele usiku mpaka leo zimegoma kuota sehemu fulani nikawa nashangawa na watu ikabidi nipige para
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] na hivi nina kitambi cha biaInaoneka uwa unawataambia sana.
Hili ndo chawi lenyewe sasa!Hakuna uchawi,hakuma mchawi ,hizo ni imani tu ila in reality ni uongo mtupu.mtu mwenye mawazo ya kishirikina mpaka dunia ya sasa huyo ni mpuuzi
Hivi kumbe vipo na watu tiyari wanajua.yes hii ina ukweli. zamani nlikua napenda sana kuwatumia watu random nguo zangu used na viatu as watu wa kijijin ndugu mbali mbali wanaomba...siku nlipigwa stop na dingi hahah na hakunipa sababu. sasa naelewa.
Hao watakua waswahili hawana dogo