fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
Uliongea nae wapi akakwambia hayo, acheni imani za kijinga mlizokaririshwaMungu Mwenyewe anatukumbusha uchawi upo iweje Mwanadamu ubishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliongea nae wapi akakwambia hayo, acheni imani za kijinga mlizokaririshwaMungu Mwenyewe anatukumbusha uchawi upo iweje Mwanadamu ubishe?
Sio lazima utukane Mkuu..uliongea nae wapi akakwambia hayo, acheni imani za kijinga mlizokaririshwa
Elimu ya Mazingira Kwako inaonekana bado.na wewe pia una imani za kishirikina.dah halafu utakuta ni kijana kabisa ila shule haijakusaidia
Wanafiki sana..... Hata Misibani Wanalia Sana Kuliko wafiwa, Atakuonea Huruma Kumbe Yeye Ndio Dereva wa Kuyaharibu Maisha yakoNa wachawi wengine wapo hapahapa wanasoma commets kabisa na kushusha matusi ya haja.
Naskia sifa kuu ya mchawi ni unafki.
Ushajiuliza Kwanini Yesu na Mitume hawakutaka Utajiri wa Hapa Duniani. Kuna Baadhi ya Mambo Usiyaweke kitamaa ya Pesa. Wale watu hawahitaji HelaSasa wachawi wanashindwa vipi kuingia bank na kuchota mihela? Kama wanaweza kufanya yote hayo?
elimu ya kishirikina sihitaji maana mimi sina mawazo potofu.ukitaga kinidhuru nikate mapanga ila hizo njia za kishirikina ni uongo .waganga,wachawi ,wachungaji wote matapeli tuElimu ya Mazingira Kwako inaonekana bado.
Nimesema elimu ya mazingira sijasema elimu ya ushirikina mkuuelimu ya kishirikina sihitaji maana mimi sina mawazo potofu.ukitaga kinidhuru nikate mapanga ila hizo njia za kishirikina ni uongo .waganga,wachawi ,wachungaji wote matapeli tu
Acha tu ndgu maisha yao ni kama wako kwenye movie, wanaigiza kila kitu.Wanafiki sana..... Hata Misibani Wanalia Sana Kuliko wafiwa, Atakuonea Huruma Kumbe Yeye Ndio Dereva wa Kuyaharibu Maisha yako
Hayajakukuta Ndugu. Utakuja Na Thread Siku Moja. Omba Yasikukuteelimu ya kishirikina sihitaji maana mimi sina mawazo potofu.ukitaga kinidhuru nikate mapanga ila hizo njia za kishirikina ni uongo .waganga,wachawi ,wachungaji wote matapeli tu
njoo pm!Huyo mtaalamu anapatikana wapi Mkuu? Nina mhitaji sanaaaaa!!
Usihofu mkuu,wachawi wanapotaka kumroga mtu huwa wanafanya trials nyingi hadi kukuweza kutegemea na kinga ya asili uliyonayoMkuu unatutia hofu tuliopoteza nguo zetu. Mimi nguo zangu kadhaa kwa miaka tofauti sijui ziliendaga wapi.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Siku wakikuanzishia noma utahama mtaaHakuna uchawi,hakuma mchawi ,hizo ni imani tu ila in reality ni uongo mtupu.mtu mwenye mawazo ya kishirikina mpaka dunia ya sasa huyo ni mpuuzi
Hv wewe ubaliweza balaa la wachawi kweliWachawi ni wapuuzi sana, nikikamata mmoja ntampakua kinyeo hadi basi.
Mkuu acha, ila unakuwa unadhani wew ndiye unakosea kumbe dah. Kuna una member humu tulikutana huko sehemu za mbali yenye ndiye akasema dogo sepa. Jf kubwa sana, hata kwa sasa hapa napata ushauri mzuri sana juu ya jambo langu. Kama huna tatizo wawez dhani hapa ni sehemu ya kucheka na kupoteza wakati tu au kuwashambulia wanasiasa.[emoji38]mkuu ilikua kila mtu ninayekutana naye anauliza nywele ziko wapi. Kwenye kesi hapo sasa ndio sio powa mzee. Watu ni wabaya sana mkuu,bora ulikimbia maana sahivi ungekuwa unapangiwa muda wa kulala huko jera
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawi hakuna kama hayajakupata, bora hata waseme kuwa mimi hata nikifanyiwa ushirikina ntabaki na Mungu, ila kusema uchawi hakuna sijui wana maana gani!Halafu Kuna watoto wenye maziwa kwenye meno wanakuambia uchawi hamna....ihiii...dah...huwa nashangaa tu.....watu wanapigana pin daily
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa naanza kuamini nimerogwa nimegundua.