zed B
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 958
- 1,044
Wanafiki aoHalafu Kuna watoto wenye maziwa kwenye meno wanakuambia uchawi hamna....ihiii...dah...huwa nashangaa tu.....watu wanapigana pin daily
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafiki aoHalafu Kuna watoto wenye maziwa kwenye meno wanakuambia uchawi hamna....ihiii...dah...huwa nashangaa tu.....watu wanapigana pin daily
Mkuu acha tu, haya maisha na ndugu yataka moyoYani kunadude linafanya matukio likiwa na Housing yako ? Au ipoje hiyo.
Unamsaidia mtu lakini kumbe anataka mkwame, na wakati hajui ataanzia kama ukikwama wew unayemsaidiaYani kunadude linafanya matukio likiwa na Housing yako ? Au ipoje hiyo.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Choma chumvi uinenee utakavyo
😂😂😂 sa itakuwaje?Mkuu unatutia hofu tuliopoteza nguo zetu. Mimi nguo zangu kadhaa kwa miaka tofauti sijui ziliendaga wapi.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hata wewe nakuamini una akili kumbe bado una amini upumbavu wa kishirikina,mimi sio mshirikina ,ukitaka kunidhuru niviie uniwekee sumu au nipige risasi au mapanga huo ndio uchawi wa kweli utopolo mwingine wote ni uongo mtupu,nenda kamroge bakhersa ili niaminiHili ndo chawi lenyewe sasa!
Nitakufuatilia kwa karibu, na nikikubaini!!!!!
Kwamba huringi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nina boxer moja , shati 6 na kadet 4...najua vizuri nguo zangu sasa sijui huyu demu atanirogea wapi?....Nina kaa uswazi walipo wachawi hizo mishe za kunyoana nywele naziskia sasa Mimi tokea nimehamia huu mtaa ni Bonge la paraa alafu siringi wala nini....
Shabashhhh!
na wewe pia una imani za kishirikina.dah halafu utakuta ni kijana kabisa ila shule haijakusaidiaWewe ndiye mchawi mwenyewe tunaowaongelea hapa. Hakuna mchawi hata mmoja anaependa kujulikana kwamba ni mchawi.
Huyo mtaalamu anapatikana wapi Mkuu? Nina mhitaji sanaaaaa!!mkuu mimi imenikuta!! kuna wanawake wawili nilizaa nao wako mikoani walinichezea nikawa natuma mpunga kama chizi..wakinambia tu hela nafanya juu chin nitume..sasa kuna mmoja dawa zake zilikua zina nguvu huyo ndo alinifanya kitu mbaya sana!kanimaliza hela sana pumbavu yule..sasa ikatokea kama bahati tu dada mmoja nikaonana nae ila zile behavior zangu zikawa zinamtia mashaka maana nilikua mtu wa kulala tu, sitaki kazi, nataka niache kazi au nimpige hata ngumi bosi (yote hayo mtaalamu aliniambia na mengne ambayo ni kweli 100%)ilimradi nifukuzwe kazi nirudi kijijin kwa wazee wangu walipoacha nyumba(RIP wazee wangu) na huko ndo ningeenda kupotea na pia walikua wanataka kunifanya kuwa zezeta.. alafu madhara yangekua makubwa maana mtaalamu alisema wangekuja kunibwagia watoto..
Ndo akanipeleka sehemu..kufika pale mtaaalamu alitoa machozi hao wanawake wameniloga, ndugu(ushangazini) pia wameniloga taflani tu..Mtaalamu akanionea huruma akaniambia ningekufa bado mdogo sana alafu akanipa mkanda mzima kuhusu mimi,familia na wale waliokua wananiloga kila kitu kilikua 100% kweli, Acheni kuna wataalamu hawabahatishi..maana mambo yangeniandama mikosi,magonjwa alafu akaniambia nimshukuru sana yule dada alienipeleka pale maana nimeponea kwenye ncha ya kisu..!!yule dada nimeweka ndani saizi ni mke nitakae tulia nae!!
Broo mtaalamu yule aliniondolea ule uchaw kwa kunishika mkono akavuta uchawi niliotupiwa alinifanyia vile kunisaidia Bila kudai hata Sh Mia zaidi ya ile ya sadaka tu ambayo mimi nilipanga kuitoa!! ..nilipotoka hapo nikakuta nalejesha tumain la maisha na akaniambia nisali sana niwe naenda na kanisani.na ikatokea namchukia sana yule mwanamke aliyekua ananifanyia hivo na walistuka!! Ni mengi niishie hapa.
roho mbaya na wivu wa kisenge.Watanzania tunarogana sana, na kuharibiana maisha bila sababu za msingi
uongo hayo ni mawazo ya kijinga,wakaroge benki wachukue hela.hakuna kitu kinaitwa uchawi ni fikira mbovu tu watu wamejaawa kichwani ,uchawi upo ngoja yakukute
si ndio umeniuliza miaka yanguUmejibu miaka
tena ni kufuumua yan una alibua kabisa huoUkimgundua mchawi anayekuroga fumua marinda yake.
Tumechoka kusumbuliwa na hawa wachawi uchwara.
Mkuu pole Sana...Ni mateso haswa.kuna mtaa niliishi mwaka jana walininyoa nywele usiku mpaka leo zimegoma kuota sehemu fulani nikawa nashangawa na watu ikabidi nipige para
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashangazi na Mabibi ndo walozi wakubwa Sana ndani ya familia nyingi.[emoji23]mambo ya uswahili ni tabu sana mkuu. Mashangazi nao sio wazuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni Maagizo ya MUNGU:Ukimgundua mchawi anayekuroga fumua marinda yake.
Tumechoka kusumbuliwa na hawa wachawi uchwara.
Mungu Mwenyewe anatukumbusha uchawi upo iweje Mwanadamu ubishe?Hakuna uchawi,hakuma mchawi ,hizo ni imani tu ila in reality ni uongo mtupu.mtu mwenye mawazo ya kishirikina mpaka dunia ya sasa huyo ni mpuuzi