wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Bora ulilizwa tu maana Sasa hivi kazi yao ingekua Ni kutoa watu kucha tu.Nililizwa na hawa jamaa wanaojifanya sijui TISS 1.5m ili nipate chansi ya kwenda huko kwa wanaokumbuka mwaka 2011 mlandizi kuna Mzee alipiga zaidi ya vijana 40 nahisi kuna wenzangu tupo wote humu
Shikamoo Mzee ukubwa dawa
Umeangalia upande hasi tu jaribu kuangalia na upande chanyaBora ulilizwa tu maana Sasa hivi kazi yao ingekua Ni kutoa watu kucha tu.
Basi angekua anatoa ushahidi kwny kesi ya Mbowe mkuu.Umeangalia upande hasi tu jaribu kuangalia na upande chanya
Kuna tofaut kati ya afisa usalama na mtoa taarifa wa usalamaBasi angekua anatoa ushahidi kwny kesi ya Mbowe mkuu.
No wonder ulipigwa jombaa. Mi nakwambia kitu kingine, wewe unaleta story za kua informer.Kuna tofaut kati ya afisa usalama na mtoa taarifa wa usalama
Labda upo sahih lkn naamin yule wa mboye sio afisaNo wonder ulipigwa jombaa.Mi nakwambia kitu kingine, wewe unaleta story za kua informer.
Mlipigwa kindezi sanaNililizwa na hawa jamaa wanaojifanya sijui TISS 1.5m ili nipate chansi ya kwenda huko kwa wanaokumbuka mwaka 2011 mlandizi kuna Mzee alipiga zaidi ya vijana 40 nahisi kuna wenzangu tupo wote humu
Shikamoo Mzee ukubwa dawa
Ha ha ha kwa mtafutaj kupigwa hakukwepekMlipigwa kindezi sana
Mkuu ukiona kazi inanza na mambo ya toa hela ujue umepigwa.Nilikua 2007 tukiwa kijiwen kwetu tunapiga kazi gerej ya chini ya mwembe akaja jamaa Toyota balloon akatupa maelekezo gari yake inyanyuliwe suspension kwa kuweka maspesa madude flan hv ya kuchonga kwel wanaume tukaingia mzigon tukamfanyia km anavyotaka na yy akatupa stahili yetu lkn wakat kazi inaendelea akatupa dodoso kuwa kwa umahir wetu Dubai tutapiga pesa balaa ktk kukatakata magar na akatuahid kutuunganisha
Maisha yanafanya watu wafanye ujinga Sana...Watu wajanja sana.
Kwa vile ww ni mchambuz haishangaz kuuona uboya wangu inawezekana hata ww ni mpigwaj mzur tuKupigwa kupo ila umepigwa kiboya Sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikua 2007 tukiwa kijiwen kwetu tunapiga kazi gerej ya chini ya mwembe akaja jamaa Toyota balloon akatupa maelekezo gari yake inyanyuliwe suspension kwa kuweka maspesa madude flan hv ya kuchonga kwel wanaume tukaingia mzigon tukamfanyia km anavyotaka na yy akatupa stahili yetu lkn wakat kazi inaendelea akatupa dodoso kuwa kwa umahir wetu Dubai tutapiga pesa balaa ktk kukatakata magar na akatuahid kutuunganisha kwa mwarabu ambaye ndiye kazi zake hizo.
Baada ya kupita siku kadhaa jamaa akatuelekeza twende posta kwenye ofisi za huyo muarabu ili kuangalia uwezekano wa kazi wazee tukaenda mpaka ofisin kwa jamaa juu ya ghorofa full kipupwe na soda wengine kahawa ya maziwa tulikunywa baada ya maelezo mafupi sote alitukubali kushirik kwenye mradi wake lkn alisema ili kupata pesa ya kampun kugharamia mchakato mzima wa safar yetu ingegharimu miez km miwil na kwa muda huo lolote linaweza tokea sabab huko Dubai kuna watu kibao ambao hawana kazi ambao wanaweza wakachukuliwa hukohuko na kampun kupunguza gharama za matumiz km vp tujilipie wenyew viza na passport tukifika kule kampun itaturudishia gharama zetu hapo ndipo balaa lilipoanza.
Kwa vile sote hatuna passport tukalazimika kila mmoja wetu kutoa m1.1 ili kufanikisha mchakato wote kuanzia pasport,viza ya kazi,chanjo na mengineyo na kila mmoja wetu alitoa iwe kwa kukopa au kwa kuvunja kibubu.
Tukakaa km wiki hiv kimya hakuna kupigiwa simu tukaona isiwe tabu tukafunga safar mpaka kwenye lile jengo tunaingia ndan tunakuta watu wengine kabisa tukaona tayar baada ya kutoa maelezo kwa tuliowakuta wakatushangaa tukaambiwa kuwa wao wameanza kulitumia hilo jengo siku chache zilizopita na hakuna mwarabu mwajiriwa ktk taasis yao kinyoonge tuakatoka zetu na kuanza msako wa kuwasaka bila mafaniko mwishowe tukalazimika kukubali matokeo.
Jinga Sana wewe...Mkuu uandishi wako bado sio mzuri, nitaendelea kukukosoa kila siku.
Jifunze namna ya kupangilia mtiririko mzuri wa fikra na Maneno.
Asante mkuuJinga Sana wewe...