Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Dah! Kweli hip kiboko. Lakini mnawakamataje mkuu?Km hapa karume mchikichin kwa sis wauza viat kuna kipind tulikuwa tunazurumiwa sana,anakuja dalal anachukua viat mguu mmoja anakwambia anampelekea mteja wake kuna sehem kamuweka baadae anarud anakwambia kapenda kadhaa anataka mguu wa pil ili itimia pea mdau alipie baada ya hapo yule dalal anahama kijiwe na ww ishakula kwako mnaanza kutafutana ukienda uongoz wa soko anakubal deni na kukulipa kidogokidogo ktk lak anakwambia atatoa elf kum kwa kila wik.
Lkn baadae tukaona hawa dawa yao kumalizana nao kihun akichukua viat vyako unamtafuta muhun mwenzake unamwambia nitafutie jamaa fulan siku akiwa yupo vzr kipesa na kimavaz nishtue,siku akikushtua unamkamata na kumvua kila kitu unamuacha na boksa tu kias chochote cha pesa utakachomkuta nacho iwe kimepungua au kimezid hapo mnakua mmemalizana nae.
Tangu tuanze utaratibu huo siku hiz hata akikuchukulia siku ya pil asubuh anakuja na kukupa utaratibu wa kulipa.
Ni watu ambao tunashinda nao humuhumu sokon kwa hiyo hata wakichukua vya watu wanabadili mitaa tu lkn huwa hawatok nje ya sokoDah! Kweli hip kiboko. Lakini mnawakamataje mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24]Baada ya kumsapraiz mchumba ukafanyiwa ww sapraiz
Watu hatar kujisahau kwako kidogo tu kwao wao ni fursa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24]
Kazi za makubaliano ya mdomo tu zina changamoto zakeDaah kabisa mm nlipiga kazi mwa mwaka jana na hela nkazurumiwa nishapga kaz mkoan napo nlizurumiwa vlevle
Tumia unlockbase, kuna siku nililipia Tshs. 72429.84 ili wa-unlock simu, iliposhindikana waliirejesha na wakanitumia email kuhusu kurejesha pesa hiyo, kweli nilipocheck salio lilikuwa limeongezeka.Kama haujawahi kutapeliwa basi bado wewe hujafika mjini, niliuziwa simu Kariakoo 60K , nilijihami mi mtoto wa mjini siwezi kuuziwa Sabuni na kweli alivyonipa tu nikaicheki kweli inawaka vizuri, nikaisweka mfukoni kisha nikamwaambia sepa huku nimeweka uso wa mbuzi.
loh kuja baadae naweka line niwashe inataka codes fulani ambazo sina, kwenda kwa mafundi wote kkoo hawawezi kutoa hizo lock, kucheki mtandaoni wanataka dola 60 sijui huko.
nikaona heee nisije pigwa mara mbili, Bongo na Ulaya coz nitakuwa zuzu la maisha, maadam nisipoweka simcard simu inawaka mpaka mwisho napata calculeta, napiga picha, nasikiliza nyimbo kwenye memory card n.k basi nikawa naitumia kama ipod, ni mwendo wa entertainment tu.
Hahahah sa hv nikiona mtu anauziwa simu za mkononi Kkoo nakuwa emotional, tuweni makini jamani mbinu ni nyingi hujui lini utanasa
We acha tuKazi za makubaliano ya mdomo tu zina changamoto zake
Unakuta mpka mbuzi anakula majani nje, kumbe mbuzi naye feki.Km kuuziwa maeneo pembezon mwa miji wanakuwekea ofisi ya serikal ya mtaa na watendaj unawakuta tena mchakato unasimamiwa na mtendaj na mwenyekit anahusishwa lkn wote ni feki
Ha haaBugurun kuna bar ina nyumba ya wagen inaitwa kituri kuna msukuma asiyejulikana ktk eneo lile alichukua chumba na kukaa siku kadhaa haijulikan alipata vp kiunganish kat yake na matapel wa bugurun pandia lkn aliwapa oda kubwa ya simu zilizotumika anazihitaj.
Baada ya siku kadhaa wale matapeli wa pandia walimletea yule msukuma simu nying tu tofaut tofaut walimkuta akiwa chumban kavaa boksa na fulana baada ya kukubaliana bei msukuma akatoa shart inabid waandikishiane akaingiza mkono ktk fuko la lambo ambalo lipo pembezon mwa kitanda baada ya kwakwachu ndan ya ule mfuko akatoa buku jipyaaaaa akampa mmoja wao aende akanunue peni na daftar,baada ya peni na daftar kuletwa akawaambia huku akiwa kazikumbatia zile simu kwa vile yy yupo peke ngoja aende kumwita muhudum awe shahid wake na hiyo ndio ikawa mara ya mwisho yule msukuma kuonekana ktk mazingira yale.
Jamaa baada ya kukaa muda mrefu mule ndan ilibid wachungulie ndan ya lile fuko ambalo lilitoka buku baada ya kwakwachu za muda mfup wakakuta kondom km zote wakatoka fasta nje kumuulizia wakaambiwa jamaa alipanda boda na kuondoka zake mpaka hapo wale matapel wakaona tushapigwa tayar.
Wangesema ngoja tukamuite wenyewe je?Dodoma.
Mchuchu aliniona natumia simu ya batani ya TECNO T484 akaipenda, nikamwambia tulia nitakununulia.
Siku za mbele katika mizunguko yangu Town nikasimamishwa na msela yuko smart tu, akaniambia ana shida kuna matatizo yametokea, anauza simu yake ya TECNO T528 (jamii ya T484), nikaona yes!, ntaenda kumspraizi mchumba, nikainunua, akanifungia kwenye mfuko.
Niko njiani narudi nikaamua kuikagua kwa furaha, hamadi!!, mche wa sabuni!!, nguvu zikaniishia, ikabidi nikae barabarani pembeni ya lami nusu saa nzima akili ikae sawa. Nilijiona bonge la mjinga. Mchumba sijamwambia hiyo ishu mpaka leo, nimemnunulia mpya dukani.
Nikikumbuka nilivyotapeliwa kiboya wakati mimi mwenyewe mtoto wa mjini roho inaniuma sana.
Ha ha ha hatar hiyoUnakuta mpka mbuzi anakula majani nje, kumbe mbuzi naye feki.
Kasababisha kifo cha mtu na yy kasababishiwa kifoMother angu alidead sababu ya kutapewa na best ake wa karibu sana waliekuwa wanafanya nae biashara
Alimpiga kama 4.5mls hiv
Mother alikuw anaumwa so akaona hawezi kwenda mkoani kununua mzigo na huku anaumwa friend akamuambia ampe 2ml then kila week awe anampa faida ya 200k mother akaona sio case nkachukua mzigo nkampelekea week ya kwanza akaleta pesa vizur,ya pili pia akaketa
Akamvaa mother amuongezee 2.5mls ili kila week awe anampa 500k kama faida huku mtaji wake uendelee kubaki pale pale 4.5mls,mother akakubali kiroho safi
Alileta leta pesa ndani ya week 3 after hapo kimya hapakan kwa simu wala nn,ikabidi tumtimbie mpaka kwake kumbe na nyumba yake alisha uza akatembea mother kupata habar akapoteza fahamu sababu ndio pesa alikuwa anazitegemea pia hata kutulipia ada mm na brother wangu
After time pressure ikazidi akapata paralysis upande wa kutosho,safari yake ndio ikaishia hapo niliumia sana
But sikuwa na cha kufanya
Mpaka Leo yule mother cjawah kumuona,juzi nkameet na mtoto wake fb nkamuuliza mother ako yupo,kumbe na yy alishakufa kitambo tu kwa kuuliw na bwana ake akatembea na pesa
Muonekano wa jamaa hawakutegemea km angewafanyia vileWangesema ngoja tukamuite wenyewe je?
Kuna mdau amesema Hadi mama yake alifariki baada ya kutapeliwa 4.5mil. Mie yangu sisemi nimetapeliwa Sana kwenye biashara za mazao sina hamu.Unaweza ukafanikiwa kufanya dhuluma lakini laana au adhabu itokanayo na dhuluma huwezi ikwepa hapahapa Duniani.
Utakuta familia inasamaratika au hata mkiishi ni kimkanda mkanda tu, watoto wanawasumbua kitabia hamuelewani, kuwa mtumwa wa madeni kwa mikopo isoisha, kuharibikiwa vitu mala Gari imegongwa mara vile n.k mara changamoto za magonjwa n.k
Tutubu tuache mabaya tutendeane mema kama alivyoagiza Mwenyezi Mungu.
Pole sana Mama KubwaKuna mdau amesema Hadi mama yake alifariki baada ya kutapeliwa 4.5mil. Mie yangu sisemi nimetapeliwa Sana kwenye biashara za mazao sina hamu.