Katika umri gani ulifanikisha lengo la kujenga nyumba yako?

Sijui lengo la Uzi wako unataka ujifunze Nini mwishowe utatuuliza ulianza ukubwa ukiwa na miaka mingapi ama kukutanisha vya mkojo naona ama
 
Oya,, kama mimi yani
Huko poli baada ya kuhisi msoto ikabidi nipige room 1 nikamuachia mwana anilindie kiwanja,,
 
37
 
Ulijengea wapi huko? [emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…