Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Nimeshangaa sana kusoma habari kwa millard Ayo eti mtoto wa miaka 8 huko kwa Obama ameiba Gari na amekimbizana na Polisi barabarani😂😂😂
At 8 years mtoto anajua driving? Ana control barabarani kabisa in busy roads?
Huku Afrika huyu mtoto akitumwa dukani tu anakunjiwa elfu 10 kwenye karatasi, hajui kusoma wala kuandika.. Kuvuka barabara tu ni shida😓😓
At 8 years mtoto anajua driving? Ana control barabarani kabisa in busy roads?
Huku Afrika huyu mtoto akitumwa dukani tu anakunjiwa elfu 10 kwenye karatasi, hajui kusoma wala kuandika.. Kuvuka barabara tu ni shida😓😓