Katika utawala wake, hayati Magufuli hakwenda New York kuhutubia UNGA, je tulirudi nyuma kiuchumi na kisiasa?

Katika utawala wake, hayati Magufuli hakwenda New York kuhutubia UNGA, je tulirudi nyuma kiuchumi na kisiasa?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato.

Safari hii tumewakilishwa na mkuu wa nchi. Je, ndio kusema taasisi kubwa kama Imf, Wb na taasisi Tanzu za UN zitaisadia Tanzania na kupaaa kiuchumi? Je haya madhila ya kukosa ajira, kukosa madarasa, kukosa maji na uvunjifu wa haki za binadamu vitaisha?
 
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato...
Kama unammisi sana dikteta twende tukakufukie kwenye kaburi lake msituchoshe.

Zama za kishamba zimekwisha lazima mlikubali hili na hii nchi hatuwezi kurudia kosa kuwakabidhi washamba.
 
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato...
Ni upi mtazamo wako?
 
Safari hii tumewakilishwa na mkuu wa nchi. Je, ndio kusema taasisi kubwa kama Imf, Wb na taasisi Tanzu za UN zitaisadia Tanzania na kupaaa kiuchumi?
Not nécessarly, ile kutoka tuu na kutembea, unapata kitu kinachoitwa exposure, kukutana na kubadilishana mawazo na wengine kuna ku broaden your perspective, you won't ne the same, think the same, you will think differently.

Tena unaweza usiamini, akikutana na taasisi za human right wings, akirejea tuu, mara pap... DPP anapeleka Nolle na kumaliza hizi kelele !.
Wajameni, haya sasa ndio mambo haya.

Kuna vitu watu tulisema, japo tulibezwa sasa vinatokea na vinajidhihirisha.


Hapa nilisema kitu kuhusu Tanzania ya Samia compared na Tanzania ile, kiukweli kabisa, Tanzania tunakwenda kuwa na Tanzania bora, Tanzania njema na Tanzania nzuri kuliko Tanzania ile, kitu kinachohitajika sasa ni kumpa muda.

Hongera sana Mama Samia, una uwezo na unaweza kututoa hapa tulipo na kutufikisha kule tunapaswa kuwa.

P
 
Not nécessarly, ile kutoka tuu na kutembea, unapata kitu kinachoitwa exposure, kukutana na kubadilishana mawazo na wengine kuna ku broaden your perspective, you won't ne the same, think the same, you will think differently...
P haya ni mawazo na mtazamo chanya,ila kwa Tanzania yangu niijuyo ya watu wanaotazama maslahi ya kwao na kundi la wachache,na hofu ya kuwepo hiyo flexibility ya mitazamo na mabadiliko chanya ya ulimwengu uliostaarabika.
 
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato...
Hivi unaona IMF na WB kama donor? Ni Wafanya biashara hawa too fedha bila kurejeshewa na kwa riba wala si msaada
 
Ujinga ni kuziba masikio,ujeuri na kiburi. Tanzania inaihitaji dunia ili iweze kusonga mbele, kuvaa miwani ya mbao na kujifungia chumbani huku ukijiaminisha kila kitu kipo sawa ni kujidanganya tuu.

Anachokifanya Mama kuifanya nchi kushirikiana na dunia ni sahihi kwa uchumi na ustawi wa nchi.

#Mama 2025.
 
Ujinga ni kuziba masikio,ujeuri na kiburi. Tanzania inaihitaji dunia ili iweze kusonga mbele, kuvaa miwani ya mbao na kujifungia chumbani huku ukijiaminisha kila kitu kipo sawa ni kujidanganya tuu...
Kwani tulipowakilishwa na mawaziri hatukonyesha ushirikiano?
 
Not nécessarly, ile kutoka tuu na kutembea, unapata kitu kinachoitwa exposure, kukutana na kubadilishana mawazo na wengine kuna ku broaden your perspective, you won't ne the same, think the same, you will think differently...
Exposure inaletwa mpaka rais afanye ziara nje ya nchi? Sio kweli mkuu. Dunia ya leo sio ile ya zamani ambayo kupata habari za sehemu nyingine mpaka usafiri.
 
Miaka mitano yote akiwa madarakani tuliwakilishwa na mawaziri wa nje. Na hakuna mtanzania aliyeona labda tumepungukiwa kiuchumi. Zaidi ya kuona maendeleo kwenye sekta za afya, miundo mbinu na ukusanyaji mapato...
Kila enzi na kitabu chake. Mama Samia Suluhu Hassan hawezi kuwa sawa na Mwendazake.
 
Back
Top Bottom