Hizo per capital za akina Mkapa na Kikwete zilisaidia nini Nchi? wakati wa Mkapa mashirika yote yaliuzwa pamoja na viwanda na migodi na nyumba za serikali,akaja Kikwete kamalizia kilichobakizwa na Mkapa na kuanza kutumbua kile alichokusanya Mkapa.Huyu unadharau kaongeza per Capital $80 kanunua ndege kumi, kafufua reli ambayo ilikuwa imeshindikana, kanunua meli mpya kila maziwa,katengeneza flyover , kajenga masoko ya madini,kanzisha CGR ,na mabwawa ya umeme ili Nchi iweze kujikwamua kwenye mikono ya matapeli, Magufuri anapata madarakani Muhimbili hata t-sc
Yapi aliyoyakuta yamekamilika na kuyazindua?