Ajabu anayestahili zaidi kupata PhD ya heshima ndiye anayesakamwa zaidi. Mambo aliuofanya Tale WCB na kwa kina Dogo Janja, anastahili PhD kuliko maprofesa na madoctor wanaopeana huko majalalani.
Hata JK na Samia hawastahili PhD ya heshima kama Dr Taletale.
Punguza ushabiki kidogo na uwe unafanya facts analysis kabla ya kuja na mropoko wako!
JK DESEEVES PHD (H)
Kweli unamfananisha Jakaya Kikwete na Babu tale tale kweli?
Kwanza tu kwa Elimu ya kawaida (academic) Babu Tale Tale tale anaweza kumfikia Jk tukiacha umri?
Utumishi wa Taifa kuanzia kuwa Mwanajeshi mpaka cheo Cha Lieutenant kweli unaweza kunifananisha na Tale Tale ambaye hata chipukizi kwenye chama hajapitia tukiacha mafunzo ya mgambo?.
JK amekua DC na waziri katika awamu tofauti tofauti katika nchi hii unamfananisha na Tale tale aliyepewa Ubunge wa mchongo?
Ukiwauliza wasanii ambao manasema babu tale tale ametoa mchango kuwainua watakujibu Role ya JK as a president jinsi gani alivyowapromote na kuwasaidia wasanii ukiacha Hawa wachumia tumbo waliokuja juzi juzi na tungo za kumsifia Mungu mtu! Hata Huyo tale tale anajua mchango wa JK!
Wakati wa utawala wa JK University students tulikua tunaletewa form za kujaza kwamba unataka kufanya kazi mkoa gani baada ya masomo! Babu tale tale alifanya hivyo wapi! Tutamkumbuka Mzee wa Msoga ajira kila mwaka hasa Afya na elimu! Babu tale alizungumzia Nini kuhusu Jiwe kublock ajira kwa miaka Saba!
Mambo Ni mengi tukiandika hayaishi!
Nenda kwenye Nyanja za kimataifa, ujiulize Ni positions zipi amehold na bado anahold kwenye usuluhishi, kilimo, afya na elimu! Dunia inamrecognize Leo mnamfananisha na tale tale ambaye hata hapa mtaani kwangu hawamfahamu Ni Nani!
Madam speaker was right! We can't recognize commercialized PhD. Imeosha