Hapo kutakuwa na utapeli umefanyika wa kutoshaMakonda bado hajaelimika kabisa
Ofisi ya umma inatumia Kama mil 500
Kuhost ujinga Sasa aliyoongea Jana serikali imeingiza kiasi gani
CCM waendelee tu kuvichonga vinyago kunasiku mambo yata backfire!!
Tulikubaliana tutafute pesa tuache wivu.Hivi huwa anapata wapi hizi fedha huyu mtu AU ile kitu ya awamu ya 5 inaendelea!
naona futuhi imekuja kwa staili ingineNilisikiliza interview ya Makonda huko Arusha, na moja ya jambo alilojitapa ni kumpatia gari mtangazaji wa Clouds aitwaye Cza.
Na Cza anakiri kwamba alienda Arusha kwa kuitwa na Makonda, na si kwa kupangiwa kazi na ofisi. Naona kuna mradi wa kumtakatisha mtu, sasa sijui Cza amepewa sehemu ipi ya mwili ili atakatishe I hope si sehemu ya masaburi au tool boxView attachment 3155050
Mwanza ipi unaizungumzia wewe? Huko Koromije mbona kuna umeme maji na barabara nzuri tu mpaka mjini Mwanza!Kule kwao Mwanza hakuna maji, madawati, barabara lakini kutwa anatamba kuwapa watu pesa na kuwanunulia magari
Kwamba Koromije hakuna shida ya madarasa, madawati, nyumba za walimu, ada, wagonjwa na wajane?Mwanza ipi unaizungumzia wewe? Huko Koromije mbona kuna umeme maji na barabara nzuri tu mpaka mjini Mwanza!
nyumbu wako pale wametulia wanamsikiliza nyumbu mwenzaoNyumbu wakimuona Makonda wanatimua mbio balaaa
Shida hazijawahi kuisha mwache kila mmoja afanye anavotaka! Juzi hata Lugumi kampa Chief Godlove milioni 10 unadhani nyumbani kwao Lugumi huko Mwanza wahitaji hawapo!Kwamba Koromije hakuna shida ya madarasa, madawati, nyumba za walimu, ada, wagonjwa na wajane?
CCM ya leo ni sunche na kapetoNilisikiliza interview ya Makonda huko Arusha, na moja ya jambo alilojitapa ni kumpatia gari mtangazaji wa Clouds aitwaye Cza.
Na Cza anakiri kwamba alienda Arusha kwa kuitwa na Makonda, na si kwa kupangiwa kazi na ofisi. Naona kuna mradi wa kumtakatisha mtu.
View attachment 3155050
Hivi hapa duniani unaweza kufuatilia kila mtu anapata wapi pesa kweli?, wewe tafuta zakoHivi huwa anapata wapi hizi fedha huyu mtu AU ile kitu ya awamu ya 5 inaendelea!