Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo nakwambia hawa wote ni wauza sembe wanajuana, hakuna mtu anaweza kukupa milioni 10 au gari from no whereShida hazijawahi kuisha mwache kila mmoja afanye anavotaka! Juzi hata Lugumi kampa Chief Godlove milioni 10 unadhani nyumbani kwao Lugumi huko Mwanza wahitaji hawapo!