malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Huna mke hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅DJ mletee livapul VPN uku ukipiga wimbo wa Ndoa ndoana wake Kassim mganga
Cc Liverpool VPN
Hapana mkuu huyo jamaa alikuwa nae toka tunaanza.ni kama nilimpora jamaa.
Nipo hapa DJ ngoja nipress play hili pini la Kassim Mganga.DJ mletee livapul VPN uku ukipiga wimbo wa Ndoa ndoana wake Kassim mganga
Cc Liverpool VPN
basi ugomvi umeutafuta mwenyewe na tegemea kuchapiwa mnooHapana mkuu huyo jamaa alikuwa nae toka tunaanza.ni kama nilimpora jamaa.
Hiyo message umetumiwa wewe specifically. Wanawake huwa makini mno kwenye eneo hiloHabari zenu wakuu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma kwangu.inaonekana x wake alikuwa anammind kwa kuolewa na mimi sms yake aliyoituma kwangu ni kujitetea kuwa mimi nilipita short kati hadi kwa wazazi wake bila kumshirikisha yeye.
Hivyo yeye alilazimishwa na wazazi wake. Imeniuma sana ukizingatia kuwa mimi nilimfuata yeye kwanza na kwa wazazi wake tumeenda mwaka huu nimeanza kuishi nae mwaka 2019 naombeni ushauri wenu wakuu.
NB Ana unauzito ambao mimi nilichangia mbegu.
Unauzito ndio nini???
😂😂😂😂😂Mwenzio kachanganyikiwa Mapenzi yanauma nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kwanini ulioa mke wa mtu? Mwache awasiliane na mme wake. Punguza wivuHapana mkuu huyo jamaa alikuwa nae toka tunaanza.ni kama nilimpora jamaa.
Habari zenu wakuu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma kwangu.inaonekana x wake alikuwa anammind kwa kuolewa na mimi sms yake aliyoituma kwangu ni kujitetea kuwa mimi nilipita short kati hadi kwa wazazi wake bila kumshirikisha yeye.
Hivyo yeye alilazimishwa na wazazi wake. Imeniuma sana ukizingatia kuwa mimi nilimfuata yeye kwanza na kwa wazazi wake tumeenda mwaka huu nimeanza kuishi nae mwaka 2019 naombeni ushauri wenu wakuu.
NB Ana unauzito ambao mimi nilichangia mbegu.