Babuu100
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 400
- 510
Hahhaahaaa 🤣🤣🤣DJ mletee livapul VPN uku ukipiga wimbo wa Ndoa ndoana wake Kassim mganga
Cc Liverpool VPN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhaahaaa 🤣🤣🤣DJ mletee livapul VPN uku ukipiga wimbo wa Ndoa ndoana wake Kassim mganga
Cc Liverpool VPN
Case closedKama anatumia smartphone na siyo kitochi hajakosea katuma maksudi
Kama kuanzia muanze kuwasiliana kutumia SMS hajawahi kukosea msg basi hata hiyo atakuwa hajakosea katuma maksudi
Sure kuna demu wangu alikua na hii tabia anatuma sms ambayo naona kabisa ya mwanaume mwingine badae nikagundua ni anatengeneza niwe na wivu na mimi nikawa siulizi hata kidogo. So ni kweli sometimes hawakosei anatuma kwa dhamira kabisa.Kama anatumia smartphone na siyo kitochi hajakosea katuma maksudi
Kama kuanzia muanze kuwasiliana kutumia SMS hajawahi kukosea msg basi hata hiyo atakuwa hajakosea katuma maksudi
Asante sanaa ndugu MC...DJ mletee livapul VPN uku ukipiga wimbo wa Ndoa ndoana wake Kassim mganga
Cc Liverpool VPN
Kila siku tunawaambia ACHENI KUOA ila HAWASIKII.
Tulishawaambia WASIOE ila HAWASIKIAGI HAWA WATU.Kafanya makusud tu hata hajakosea[emoji28][emoji28][emoji28]
Wawe single kama Yesu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bora waoe tuTulishawaambia WASIOE ila HAWASIKIAGI HAWA WATU.
#YNWA
Trust me huo ujauzito sio wako mzeeHabari zenu wakuu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma kwangu.inaonekana x wake alikuwa anammind kwa kuolewa na mimi sms yake aliyoituma kwangu ni kujitetea kuwa mimi nilipita short kati hadi kwa wazazi wake bila kumshirikisha yeye.
Hivyo yeye alilazimishwa na wazazi wake. Imeniuma sana ukizingatia kuwa mimi nilimfuata yeye kwanza na kwa wazazi wake tumeenda mwaka huu nimeanza kuishi nae mwaka 2019 naombeni ushauri wenu wakuu.
NB Ana unauzito ambao mimi nilichangia mbegu.
Take it easy Dogo, mchane Live hajakosea huyo kafanya purposely. Alitaka akuumize roho sasa mwambie haachwi MTU hapa, iwe iwavyo mtazeeka woteHabari zenu wakuu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma kwangu.inaonekana x wake alikuwa anammind kwa kuolewa na mimi sms yake aliyoituma kwangu ni kujitetea kuwa mimi nilipita short kati hadi kwa wazazi wake bila kumshirikisha yeye.
Hivyo yeye alilazimishwa na wazazi wake. Imeniuma sana ukizingatia kuwa mimi nilimfuata yeye kwanza na kwa wazazi wake tumeenda mwaka huu nimeanza kuishi nae mwaka 2019 naombeni ushauri wenu wakuu.
NB Ana unauzito ambao mimi nilichangia mbegu.
Kulazimisha mapenziNdiyo shida ya kuoa wake wa watu. Pole.
[emoji3516]DJ mletee livapul VPN uku ukipiga wimbo wa Ndoa ndoana wake Kassim mganga
Cc Liverpool VPN
Asante sanaa ndugu MC...
Asante sanaa ndugu DJ...
Hawa watu tumeshawaonya sanaa ila HAWASIKII.
NGOJA TU YAWAKUTE mpaka AKILI ZIWAKAE VIZURI.
Sijui lini WATAPATA AKILI HAWA WATU.
DJ naomba nirudishe na Single Boy ya Ally Kiba Ft. Lady Jay Dee.
#YNWA