kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo wife au mhuni mwenzako?Habari zenu wakuu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapana mkuu huyo jamaa alikuwa nae toka tunaanza.ni kama nilimpora jamaa.
Ebu tuanzie hapa kwanza, Alipoondoka kwenda kwao ulimfukuza au aliondoka mwenyewe?Habari zenu wakuu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma
1. Umri wako kijanaHabari zenu wakuu.
Juzi tuligombana na wife na baada ya mabishano ya siku mbili wife aliamua kwenda home kwao.
Sasa leo asubuhi nikawa nachat nae kumbe wakati huo huo alikuwa anachat na x wake. Kuna sms ilibidi aitume kwa x wake akatuma kwangu.inaonekana x wake alikuwa anammind kwa kuolewa na mimi sms yake aliyoituma kwangu ni kujitetea kuwa mimi nilipita short kati hadi kwa wazazi wake bila kumshirikisha yeye.
Hivyo yeye alilazimishwa na wazazi wake. Imeniuma sana ukizingatia kuwa mimi nilimfuata yeye kwanza na kwa wazazi wake tumeenda mwaka huu nimeanza kuishi nae mwaka 2019 naombeni ushauri wenu wakuu.
NB Ana unauzito ambao mimi nilichangia mbegu.
Sasa unalalamika nn akati uliingilia mahusiano ya watu,,,,Hapana mkuu huyo jamaa alikuwa nae toka tunaanza.ni kama nilimpora jamaa.
Hili ndio kosa ulilofanya mkuu, kwanini upore demu wa mtu mzee tena unakuta mtu amekaa nae miaka kibao toka usichana usichana we unaibukia kusikojulikana unalokota mama ya watu kibabe kisa una pesa sijui😅😅😅😅😅Hapana mkuu huyo jamaa alikuwa nae toka tunaanza.ni kama nilimpora jamaa.
Ila vitochi shikamoo, sitosahau[emoji2297]Kama anatumia smartphone na siyo kitochi hajakosea katuma maksudi
Kama kuanzia muanze kuwasiliana kutumia SMS hajawahi kukosea msg basi hata hiyo atakuwa hajakosea katuma maksudi
Vya Nombuso, Mxo na Ayanda hivoooo!!!Una uhakika gani huo ujauzito ni wako na sio wa X wake?,maana umekiri hapa wana mawasiliano ya karibu sana na X wake
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
huwezi kula demu peke yakoUnabahati sana kupata hicho kidokezo maana wanawake huwa makin sana kweny mambo ya mesej, kujichangany kama ivyo ni mara chache.
Piga chini tuu huyo hata ukiweza kumrudisha nyumban tena ataendelea kuchat na ex zake mambo ya ovyo kama hayo ni kitu ambach wanaume hatuwez kuvumilia kuona mpenz wako anachat na wanaume mamb ya ovyo kama hayo hata kama amekasirika basi angetulia ila huyo siyo mvumiliv kamtafuta jamaa yake kwaiy mkigomban tu atakuw anaona bora angekuw na jamaa yake wa mwanzo
Ni sawa lakin inakuw kwa awamu siyo wew ule na mim nije nile hapo hapo ila kama wew unakula na mkazinguan kaja kwang nakula lakin siyo kwa wakat mmoja kwamb wew unakula na mm nakula hii siyo nzurhuwezi kula demu peke yako
Hapana mkuu huyo jamaa alikuwa nae toka tunaanza.ni kama nilimpora jamaa.
Huyu hajasoma kayumbaWewe jifariji et ulimpora futa hio wewe by then you had an appealing nutrious palatable pastures za kuweka karibu zizi la kufugia ng'ombe sasa ng'ombe anarejea kwenye pre-dominant migratory corridor full of herbal grasses. Experience has taught me quite superbly.
Missmatch completelyHuyu hajasoma kayumba