Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

Masoud kuna kipindi aliwekwa kati na mwenda zake almanusura wamuweke kwenye kiroba. Alipotoka alikuwa mpole sana

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Massoud huyohuyo ndiye alimtuka Sam ampeleke maombi ya kuonana na mwendazake ila Machawa hawakufikisha ombi la Massoud! Ila Massoud alikuwa na kiu yakuonana na mwendazake ila sijui alikuwa na jambo gan akilitaka kukueleza.
 
Haya sio maridhiano bali ni mmoja kakubali kuungana na watesi wake ili asiendelee kuteseka.......wanaoridhiana ni wale wanaotoshana nguvu na kuamua kuleta amani.......
Raia wa Tz wali msaliti Mbowe kwa miezi 9 alio kaa jela bila mandamano au mgomo, hana jinsi bora aungane nao, raia wenyewe anao pigania hawaeleweki na ni waoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…