SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kwa maoni yangu....Upinzani una, na ina maana ya upinzani wa Sera na Hoja za sera hizo.Upinzani unafifia
CCM ina sera na imezijengea hoja katika ilani yao.
CHADEMA wana listi ya mbinu za kufanya Uharakati. Haina Sera wala hoja.
Kwa nini usimezwe! ngaaa' mu!