SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
A valid and fair assesment!Lakini anatokea ubavuni huku mmezaji kalala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A valid and fair assesment!Lakini anatokea ubavuni huku mmezaji kalala
Nilimmtahadhalisha Erythrocyte kuwa msithubutu kuwasamehe akina halima na kuendelea kuwa bungeni. Wasamehe, watoke bungeni na mchague walio halali! Jibu tumelipata jana.Kesi ya hao 19 ni ya uhaini wa chama, huwezi kuisamehe ki rahisi utakua umeweka precedent mbaya kwenye chama
Picha ya pili umeielewaa?Kaki kakubali yaisheee
kama CCM ilivyo jeshi la Samia, ukimuweza samia basi wengine ni "takataka",Chadema ni jeshi la mtu mmoja ukishadili na huyo mtu,wengine wanakua wapole hawafurukuti
Kuna uzi mbili zimeungwa.Wengi wameshindwa kuielewa katuni na tafsiri yake.
Kwa fikra za mwandishi, mbwa amejishusha kwenda kwa chatu kumwomba ammeze. Chatu naye hammezi, anaanza kwanza kutafakari. Kisha chatu akammeza mbwa. Lakini mbwa baadaye akamtoboa tumbo...
Maanake kama mbwa ametoboa tumbo la chato kwahiyo madhara yake chato atakufa kwa kumeza mbwa? Hili ni gumu CCm haiwezi kufa kwa ajili ya kuridhiana na chademaWengi wameshindwa kuielewa katuni na tafsiri yake.
Kwa fikra za mwandishi, mbwa amejishusha kwenda kwa chatu kumwomba ammeze. Chatu naye hammezi, anaanza kwanza kutafakari. Kisha chatu...
Tatizo haujui kidhungu ungejua mana ya zile picha za masoud hapo juu ungejikita huko.....Magufuli keshakufa zake nyie mnaahaa nae tu.Alikamatwa maana alimchora jinsi alivyokuwa Mwizi.
uvccm mlishapata sonona na mtaendelea kupata sonona mpaka akili mfe wajinga nyinyi, toka muanze kusema kwisha leo ni miaka mingapi ujinga mzigo.Kwisha habari yao...
Sasa hivi hawana tofauti na Prof wa Uchumi, au Rangi ya zambarau kamw sio Mzee Momose...
Una weza kutoa mifano kibao kushadihisha hili
Kifo cha mende, Chaliii. kwa sauti Prof wa Uchumi
kama CCM ilivyo jeshi la Samia, ukimuweza samia basi wengine ni "takataka",
Jibu wamelipata jana![emoji818][emoji817]Kipanya haya ni mawazo yake, he is at liberty to thik the way he thinks. Sawa na humu JF waliosema , tena wengi sana kuwa mawakili wa Chadema kuacha maswali ya dodoso kesi ya la akina Halima Mdee ni wazi kuwa jana 8/3/2023 wangelisamehewa na kuendelea kuwa wabunge. Jibu wamelipata jana! johnthebaptist
Na Chatu ukishamtoboa umemmalizaWengi wameshindwa kuielewa katuni na tafsiri yake.
Kwa fikra za mwandishi, mbwa amejishusha kwenda kwa chatu kumwomba ammeze. Chatu naye hammezi, anaanza kwanza kutafakari. Kisha chatu akammeza mbwa...
na sio mamayenu kuwa kamezwa etii kwa akili ya kawaida nani amemezwa au hao wafuas wa ccm wanapochora katuni mnajifariji waambien waitishe mikutano bas tuone nani kamezwa maana wananchi ndo waamuz.Mama hatumii nguvu kuwakamata, anawarushia mtama wanaingia wenyewe kwenye tundu.🤣🤣🤣
Kwahiyo ukififia yapasa niwe mpinzani?Kwanini wewe usiwe mpinzani sasa?
kumbe ulikuwepo upinzani na ile hoja kuwa hakuna upinzan ulishakufa unasemaje au unakufa mara nyingi nyingi.Upinzani unafifia
CCM mnajua kujifarijiHaya sio maridhiano bali ni mmoja kakubali kuungana na watesi wake ili asiendelee kuteseka.......wanaoridhiana ni wale wanaotoshana nguvu na kuamua kuleta amani.......
Usilaumu raia kwa kutia umoja wakati wafuasi wake wana chadema walikuwepo je walifanya nini? Maana nje ya chadema na upinzani wote waliyobaki wanaonekana ni CCM na sukuma gang, sasa hao chadema na upinzani kwa ujumla wao mbona hawakuandamana?Raia wa Tz wali msariti mbowe kwa miezi 9 alio kaa jela bila mandamano au mgomo, hana jinsi bora aungane nao, raia wenyewe anao pigania hawaeleweki na ni waoga.