Picha ya pili inayoonyesha mbwa kamezwa bt ameweza kutoboa tumbo la nyoka iangaliwe Kwa upana na CCM.
Maridhiano kati ya CCM na CDM yanaenda kupunguza nguvu na kuua vyama vyote viwili.
Watu makini waanze kutafuta namna ya kusaidia CHAMA kipya kizaliwe.
Picha no 2, inashabiiana na MAONO ya KINYONGA wa KIJANI na Manjano,
Kinyonga baada ya kuyameza mayai yake alipanda juu ya mti mrefu Ili ajiangushe Ili tumbo lipasuke watoto waanguliwe.
Bahati mbaya muda wa mayai kukomaa haukuwa umefika, matokeo, Kinyonga alikufa, na mayai yakiharibika.
Kufa Kwa Kinyonga Kwa AJALI baada ya kupasuka tumbo, hakukutimiza Nia ya Kinyonga maana mayai pia hayakuwa yamefika muda wa kuanguliwa.
CCM itakufa soon bt mbadala wa CCM ndo kizungumkuti.
Wenye AKILI liangalieni jambo hili Kwa uzito wake.
Maana NCHI itatikisika.