Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

Hoyo ni akili ndogo ni mnufaika wa Kayafa

Hiyo michoro inawakilisha ufinyu wa upeo na akili FUATA UPEPO

intelligence umebadilika...sio ile ya....

Chadema ni dude kubwa Duniani
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mbwa alivyofyata mkia
 
Alafu hilo joka (CCM) limelala usingizi mzito sana baada ya kumeza mbwa (machadema)
 
Raia wa Tz wali msariti Mbowe kwa miezi 9 alio kaa jela bila mandamano au mgomo, hana jinsi bora aungane nao, raia wenyewe anao pigania hawaeleweki na ni waoga.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kina mmawia
 
Hii katuni ya kipanya ukiamua kuandika gazeti unajaza page nne
 
Wengi 'wanashabikia' tu hiyo ya kwanza! Hiyo ya pili waalaaa hawajishughurishi na 'athari' ya huo mkono uliojitokeza nje!
Acha basi!

Chatu akikumeza maana yake ameshakuvunja vunja!

Hako kamguu ni kaalama tu kuonesha kwamba aliemezwa hapo ni yule mbwa wa jana alijipeleka kwa chatu
 
Inajidhirisha sasa kuna watanzania wengi walikuwa wanafurahia wapinzani wa avyo unizwa wakiwa wanapigania haki za kidemokrasia na za watu!
Kwa hiyo sasa ndio watapigania hiyo democrasia wakiwa ndani ya ccm?
 
Haya sio maridhiano bali ni mmoja kakubali kuungana na watesi wake ili asiendelee kuteseka.......wanaoridhiana ni wale wanaotoshana nguvu na kuamua kuleta amani.......
Ata Mimi Mkuu hii kitu imenitatiza sana,wanajua maana ya Maridhiano kweli?
Lini Tanzania ilipata matatizo ya kisiasa ambayo yanapelekea kuwapo kwa Maridhiano!!
Wanaridhiana nini,na katika angle zipi?
CCM wajanja sana,wanajua kuwa Hali ya maisha ni ngumu kwa Wananchi,sasa Ili lupoteza Maboya wanaanzusha mijadala feki Ili kuwapumbaza CHADEMA waliwasemee Wananchi!!
 
kama CCM ilivyo jeshi la Samia, ukimuweza samia basi wengine ni "takataka",
Samia ana rundo la watu ndio wanamuongoza!

Kama unabisha angalia jana alivyojibu ile ishu ya covid 19 ni kama kuna ujumbe alipewa kwamba hiyo ishu usiigusie kabisa
 
Wengi wameshindwa kuielewa katuni na tafsiri yake.

Kwa fikra za mwandishi, mbwa amejishusha kwenda kwa chatu kumwomba ammeze. Chatu naye hammezi, anaanza kwanza kutafakari. Kisha chatu akammeza mbwa. Lakini mbwa baadaye akamtoboa tumbo. Chatu akabaki kufurahia kuwa amemeza mbwa asijue kuwa tumbo lake limetobolewa.

Hata hivyo hizo ni fikra za mwandishi, si lazima zibebe ukweli wa kile kilichopo.
Wewe bhnaa!

Mbwa kajipeleka kwa chatu, chatu anambeleza huku mbwa akifikiri huyu ni rafiki.

Amemvunjavunja na kummeza sasa kanaonekana kamguu tu kashiria kwamba aliemezwa hapo ni yule mbwa wa jana aliejipendekeza kwa chatu.
 
uvccm mlishapata sonona na mtaendelea kupata sonona mpaka akili mfe wajinga nyinyi, toka muanze kusema kwisha leo ni miaka mingapi ujinga mzigo.
Imeisha kwa kujisalimisha kwa ccm kwa jina la maridhiano
 
Back
Top Bottom