johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeona katuni ya Kipanya ikionesha Nyoka mkubwa wa Kijani akicheza na Mbwa rangi ya Gwanda na kisha Mbwa yule alimezwa
Wengi wameihusisha katuni hii na siasa za CCM na Chadema
Sisi Wahenga tunakumbuka zamani Vikundi vya Sanaa mfano DDC Kibisa, Muungano nk walikuwa na onesho la Mbwa/Mbuzi kumezwa live na Chatu ukumbini
Ilikuwa inahuzunisha sana hatimaye Serikali ikapiga marufuku onesho lile
Masoud Kipanya kwa katuni ile umenikumbusha nyakati zile tukiishi Mwananyamala Komakoma, kitambo sana!
Jumaa kareem!
Wengi wameihusisha katuni hii na siasa za CCM na Chadema
Sisi Wahenga tunakumbuka zamani Vikundi vya Sanaa mfano DDC Kibisa, Muungano nk walikuwa na onesho la Mbwa/Mbuzi kumezwa live na Chatu ukumbini
Ilikuwa inahuzunisha sana hatimaye Serikali ikapiga marufuku onesho lile
Masoud Kipanya kwa katuni ile umenikumbusha nyakati zile tukiishi Mwananyamala Komakoma, kitambo sana!
Jumaa kareem!