Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

Kwisha habari yao...

Sasa hivi hawana tofauti na Prof wa Uchumi, au Rangi ya zambarau kamw sio Mzee Momose...

Una weza kutoa mifano kibao kushadihisha hili

Kifo cha mende, Chaliii. kwa sauti Prof wa Uchumi
Mkuu kwenye siasa usiseme kwisha habari yao never never!, it could be trap over trap!
#NOTE THIS!
INTELIGENCE SAY!
 
Kwa Sasa Chadema ukiwatizama jukwaani wakati wanaongea hata hawajiamini tena kama zamani. Kweli hii inaitwa kula uliwe.
 
Kuna ma-arrogants ndani ya CCM wanapuuza na kuona hasira haya maridhiano!

Ila nawahakikishia kwa yanayoendelea CHADEMA wanakwenda kuzoa majimbo mengi 2025 kwa kura za halali!

Muda ni mwalimu mzuri sana. muakuja kuniambia nimekaa pale 👉
 
Hapo kwenye mkono uliobaki nje ni Mzee wa Ubelgiji ndio kabaki peke yake hataki Mazoea, lakini wote ndani ya Jumbani yake. Najiuliza tu Mzee wa Ubelgiji ataweza kweli peke yake? Au na yeye ni swala la muda tu atalegezwa kulegea kama mlenda?
 
Magufuli alikuwa hataki shobo nao ndo maana walikuwa wanamuogopa ...wanajua uwezo wa kuchukua madaraka hawana ndo maana wanataka kula sambamba na watawala
Kwani ccm ndo Wana haki ya kula asali tu, acha na wengine waonjeshwe!! Watu wa Magufuli mlizoea ulafi sasa chakula kimewaponyoka poleni.
 
Kale kamkono sio kamemuua joka kweli!! [emoji848][emoji848][emoji848]
Hapana kale kamkono kataoza na kukatika kenyewe maana mwili mzima umeshatokomea, sema kamfupa kangeweza leta matatizo ndani ya Jumbani yake.

Uzuri ni kwamba Chatu ananyongo kusaga mpaka mifupa hivyo kamfupa ka nje katadondoka kenyewe Maana Kako nje kaliingia ndani lkn kakachoropoka kama Mwewe bila kusindikizwa kaka enda kudandia Mwewe.

Kwahiyo Dog kwisha habari yake mazima.
 
Ukipewa Nafuu ya Jambo laazima uwe mpole.

Katiba Mpya ni ile ile tu

Madaraka ya Mkulu, Serikali 3

Haha yaan hakuna wa kubadili hizi mbili
 
Kwani ccm ndo Wana haki ya kula asali tu,,,acha na wengine waonjeshwe!! Watu wa magufuli mlizoea ulafi sasa chakula kimewaponyoka poleni
Magufuli ndo alikuwa htaki ndo maana wakakimbia nchi
 
Anamaanisha nini hapa
Katuni ya Jana na leo.View attachment 2542564View attachment 2542566
Picha ya pili inayoonyesha mbwa kamezwa bt ameweza kutoboa tumbo la nyoka iangaliwe Kwa upana na CCM.

Maridhiano kati ya CCM na CDM yanaenda kupunguza nguvu na kuua vyama vyote viwili.

Watu makini waanze kutafuta namna ya kusaidia CHAMA kipya kizaliwe.

Picha no 2, inashabiiana na MAONO ya KINYONGA wa KIJANI na Manjano,

Kinyonga baada ya kuyameza mayai yake alipanda juu ya mti mrefu Ili ajiangushe Ili tumbo lipasuke watoto waanguliwe.

Bahati mbaya muda wa mayai kukomaa haukuwa umefika, matokeo, Kinyonga alikufa, na mayai yakiharibika.

Kufa Kwa Kinyonga Kwa AJALI baada ya kupasuka tumbo, hakukutimiza Nia ya Kinyonga maana mayai pia hayakuwa yamefika muda wa kuanguliwa.

CCM itakufa soon bt mbadala wa CCM ndo kizungumkuti.

Wenye AKILI liangalieni jambo hili Kwa uzito wake.

Maana NCHI itatikisika.
 
Maanake kama mbwa ametoboa tumbo la chato kwahiyo madhara yake chato atakufa kwa kumeza mbwa? Hili ni gumu CCm haiwezi kufa kwa ajili ya kuridhiana na chadema
It will die after 2026. Tunza hii Kwa reference.
 
Wengi 'wanashabikia' tu hiyo ya kwanza! Hiyo ya pili waalaaa hawajishughurishi na 'athari' ya huo mkono uliojitokeza nje!
Huo mkono ni utambulisho tu kwamba aliyejaa humo tumboni ni Mbwa a.k.a CHADEMA
 
Kwanini masudi kipanya anamaanisha hivi? Kwahiyo anamaanisha sie chadema tumemezwa na ccm? Kwahiyo chadema tumekuwa CCM B! Ama hakika chadema na mbowe wametuingiza kwenye mkenge!

Jana alitudhalilisha na leo tena daah?

FB_IMG_1678348222169.jpg
FB_IMG_1678348611634.jpg
 
Back
Top Bottom