johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kabisa.Wahafidhina mpo wengi sana hata mama alisema
Ukweli haupigwi teke bwashee
Tunasubiri next episode mkuu what next......!Naona muendelezo wa katuni za KP kuhusu Chatu na Mbwa series haijaisha ni episode ya 3, nimewaletea episodes zote3 ina one pic
Wakuu njooni na majibu.
View attachment 2543943
Kutoboa tumbo umetafsri vibaya,Yaani mbwa kesha mezwa na katoboa tulmbo a chatu ila haoni pa kwenda,Kashamezwa huyo anamalizia tu Pumzi ya mwisho.Mbwa yule alipomezwa alifanikiwa kutoboa tumbo la chatu yule wa KIJANI Kwa mguu,
Hiyo inaitwa "km vp tukose wote".
Kama haupigwi teke sawa. kwann wewe hukubaliani na ukweli kwamba magufuli aliiba uchaguzi?Ukweli haupigwi teke bwashee
Hayo ya uchaguzi yashapita ndio maana chadema wameweza kukubali kuchukua ruzuku zenye kutokana na huo uchaguzi, hayo ni matunda ya maridhiano.Kama haupigwi teke sawa. kwann wewe hukubaliani na ukweli kwamba magufuli aliiba uchaguzi...
Baada ya KIFO Cha mbwa ndani ya tumbo, kinafuatia kifo Cha NYOKA,Kutoboa tumbo umetafsri vibaya,Yaani mbwa kesha mezwa na katoboa tulmbo a chatu ila haoni pa kwenda,Kashamezwa huyo anamalizia tu Pumzi ya mwisho.
Point muhimu ilikuwa pale kwenye kutoboa tumbo.Mbwa yule alipomezwa alifanikiwa kutoboa tumbo la chatu yule wa KIJANI Kwa mguu,
Hiyo inaitwa "km vp tukose wote".
Probability za kupona mbwa na chatu ni:Point muhimu ilikuwa pale kwenye kutoboa tumbo.
Na kuna uwezekano mbwa alimuua chatu kwa huo mkono na akatoka salama au walikufa wote
Waza tena mzeeBaada ya KIFO Cha mbwa ndani ya tumbo, kinafuatia kifo Cha NYOKA,
Hakuna maisha tumbo likiwa limetobolewa.
Mbona vitu Rahisi hivi huelewi?
Tunahitaji chama mbadala wa CCMM na CDM.
Kwa hiyo unataka kusema nini hasa?! Hii huruma against CDM imekujia lini ghafla wewe mfia legacy?!Nimeona katuni ya Kipanya ikionesha Nyoka mkubwa wa Kijani akicheza na Mbwa rangi ya Gwanda na kisha Mbwa yule alimezwa....