Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mh. Kama itakuwa hivyo, basi dunia hii ina codes nyingi sana.Nop Mtunzi alishafariki ila Zilizopo ni Zile zile..Yaani Ukipay attention kwenye Hizo Episode za zamani Unagundua kuwa Waliwahi kutabiri mpaka Mavazi na Muonekano
Maana katika cartoon hiyo kasikika hadi Trump akitajwa, wakati alikuwa hata hajafikiriwa kuja kuwa Rais!