Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Mmeshaanza figisu...masoud ameanza kuchora kipanya tangu enzi za "no internet" na ameendelea kubamba mpk leo
Mkuu
Nakuelewa Sana
Hayo Ya Kuwa Na Vijana Ndiyo Maendeleo Mpaka Stage Hiyo Ya Ofisi
Anaanza Kuwekewa Husda Taratibu Na Wavimba Macho

Mungu Ni Mwema Wakati Wote
 
Shida yetu waTanzania ndio, kuto appreciate kazi za wenzetu, hata Kama kuna vjn wanafanya hiyo kazi still yeye ndio aliwafumbua macho. Roho mbaya zinatusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…