hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💪💪💪💪hahaha truePretenders are worse than murderers
Duh mkuu umetumia tafsida ngumu kwa wengiKauli ya mdada akiitwa geto kwa boyfriend work.
A. Leo hata anilazimishe vipi siwezi kubali kufanya mapenzi.
B.lakini ngja ninyoe mavuzi lolote laweza kutokea.
N.B hizo kauli mbili hapo juu za wadada nashndwa kuzitofautisha na kauli za mkulu.
Mama muza ongeza kimpumu ya buku tulewe.
Huyu jamaa tulisha mjadili na tukaafikiana kuwa huyu jamaa sio mwanadamu wa kawaidaView attachment 1123017
Moja ya watu wanaofikirisha sana akili kila unaposoma au kutazama katuni zake ni huyu mr Kipanya!!huyu jamaa ana iq ya hali ya juu sana.na jambo la kufurahisha katuni zake nyingi ni katika kutoa dira ya tulikotoka,tulipo na tunakoelekea kama taifa....hongera sana KIPANYA
Na katika kikao chetu tulikukabidhi "zawadi na tuzo" ili umkabidhi lakini mpaka leo sijakuona Tibisiii live bali chereko tu....Huyu jamaa tulisha mjadili na tukaafikiana kuwa huyu jamaa sio mwanadamu wa kawaida
Mimi Mwenyewe huwa ninamkubali sana huyu kamanda.View attachment 1123017
Moja ya watu wanaofikirisha sana akili kila unaposoma au kutazama katuni zake ni huyu mr Kipanya!!huyu jamaa ana iq ya hali ya juu sana.na jambo la kufurahisha katuni zake nyingi ni katika kutoa dira ya tulikotoka,tulipo na tunakoelekea kama taifa....hongera sana KIPANYA