Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kujifariji hii kazi inaakisi hata mawazo yako uliyoyatoa hapa, fasihi ya kiwango cha juu sanaAcha ajifariji. Chadema haitakaa ishinde Urais. Wakitaka kushinda basi wapinzani wote waungane watoe jina moja tu la mgombea.
Hujaelewa hiyo fasihi, hata ulichosema kiko humo ndaniUpuuzi mtupu,ccm haiwezi toka madarakani kwa kanituni za kipuuzi kama hizi,nendeni kwa wananchi mkauze Sera wananchi wawapime,unadhani tabiri uchwara za kipanya zina nafasi yotote katika kuingoa ccm?
Inategemea na tafsiri.
Mimi nionacho hapo ni goli liko wazi ila mpigaji hawezi mpira.
Kwa hiyo CCM hali ikiwa siyo shwari unadhani Mbowe atashinda Urais?Tatizo akili zako bado zipo kwenye ndoto za jana.
Amka dogo hali si salama tena ndani ya ccm
Hapa hakuna nilipo mtaja mh Mbowe bali ninaombea mgogoro huo uzidi hadi tukaizike rasmi ccm kama marafiki zake UPC na KANUKwa hiyo CCM hali ikiwa siyo shwari unadhani Mbowe atashinda Urais?
Hapo sioni kama hata referee atakuwa yupo hivyo mpiga penalt anaweza kuubeba huo mpira akautumbukiza wavuni na kurudi uwanjani anashangilia na magongo yake
Hapo hakun penalty jmn ni faul hyo ambayo kipi hayupo na mabeki wanazozanaa pale hakuna penaltUmeeleweka sana mkuu na huu ni wakati wa wapinzani kuutumia vizuri ili hiyo penalt waweze kuitumia kufunga goli maana lango liko wazi
Mbona unashindwa kuelewa Kiswahili rahisi hivyo? Lowassa alivyopewa kupiga penalty 2015 kwa ajili ya UKAWA alifanyje?
Aisee pongezi nyingi sana zikufikie kwa ķuweza kuitafsiri bila unaziNilichokielewa kutokana na hii katuni ya Masoud ni kuwa:-
Pamoja goli lipo wazi lkn huyo mpigaji mwenyewe ni mlemavu hivyo hawezi kutumia nafasi hiyo kupiga na akashinda.
Hii maana yake ni kuwa
Kwa hali ya ccm ilivyo sasa kuna fursa ya wazi kabisa upinzani kushika nchi lkn upinzani wenyewe ni dhaifu kwa hiyo ni ngumu kuitumia fursa hiyo.
Huu ni kama ushauri Sawa na kusema, ikiwa upinzani utaweza kujiimarisha, haya njia nyeupe hiyo hapo ya kuchukua nchi
Mbona kama wameamua kulikimbia goli na hapo mwana cdm anajipanga kupiga penati wakati lango lipo tupu?
Baba kuna penalty ya kichwa...? Kweli maajabuBado haiondoa huyo aliye hoi kufanya maajabu ya kupiga penalt kwa kichwa
Upuuzi mtupu,ccm haiwezi toka madarakani kwa kanituni za kipuuzi kama hizi,nendeni kwa wananchi mkauze Sera wananchi wawapime,unadhani tabiri uchwara za kipanya zina nafasi yotote katika kuingoa ccm?