Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Kama ninavyo muhudumia dada yako eehHudumia
Ndiyo shemKama ninavyo muhudumia dada yako eeh
Oh sawaTunapeana na pesa zikiwepo tunapena pia.
Enewei...Acha uchokozi bas
Hapo umesema sasaEnewei...
Mwisho wa siku Hela zitatutoka tu....hapa hamna ubishi
πππMimi na yeye baada ya kujuana wiki mbili tu
Yeye:Mambo my
Mimiπoa mzima?
Yeye: Siko Poa
Mimiπole Nini shida?
Yeye:Tumbo linauma
Mimiπole,Tumbo la MP au la kawaida?
Yeye:MP
Mimiπole sana Jamani!
Yeye:Asante,naomba nitumie Hela nikanue Pedi
Mie sio omba omba.Kama ni ombaomba lazima udharaulike tu hata kama mwamba anakupenda.
Sema madem wa siku hizi hawajali hizo dharau wao pesa mbele [emoji38][emoji38]
Nilivisoma tu hii comment nikajua kuna mtu kafunguliwa, kurudi juu sasaπππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si umpe hela mwenzio.
Mpaka unamlazimisha achukue hata pesa ya nauli tuMwingine anakwambia baby usinipe hela unakua kama unaninunua hivi siipendi unipe hela awa wa hivi wajengewe sanamu Chato stand
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah nimecheka, eti hela kavu sio [emoji16][emoji16]Sure sure umeongea kitu sana demu wa hivyo unaisi kweli alikua anashida au atakama anapenda hela pia ata mapenzi yapo yani unaomba hela kavu ata mayai hakuna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Unataka uwe unapigwa ngapi ili usiombe hela??Unakuta mwanaume kimoja chali ukimuomba hela anafoka nakuacha mda uho uho sijui kubembeleza
Ata ukipiga nne nitakuomba tuUnataka uwe unapigwa ngapi ili usiombe hela??
Kwa hiyo ni mtindo wa kuombana tu ππAta ukipiga nne nitakuomba tu
Ndiyo nipe nikupeKwa hiyo ni mtindo wa kuombana tu ππ
Wewe unaniomba hiki mimi nakuomba kile ππ
Ngoja nijivute mitaa fulani tuje tuombane tu.Ndiyo nipe nikupe
πππ pochi iwe nene kuongea na mimi lazima uweke pesaNgoja nijivute mitaa fulani tuje tuombane tu.
Tutayejenga tu pole pole πππππ pochi iwe nene kuongea na mimi lazima uweke pesa
Usije lalamikaTutayejenga tu pole pole ππ
Hilo neno nilishawahi litoa pia ila ke mna kisasi kibaya, hiyo kauli iliniponza kumbe mwenzangu alikua anajipanga kisaikolojia. Mda ulipofika ndio vimbwanga na kauli za hovyo with reference ya kauli yangu.Mimi tuligombana hiyo siku nikamuambia "yaan najitahid kushinda vishawishi huko nje, nakuheshimu natulia na wewe nakataa wanaume wengine kwa ajili yako alafu wewe unaniletea mambo meusi" akanijibu "sasa unangoja nini si uende kwa hao wanaume wengine" nikaanza kulia nikajua kishawaka ila alikuja akanisamehe baada ya mvurugano mkubwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app