Daaaaaahhh hii kauli nzito sanaaa mkuu inaashiria hata shemeji kakubali kuingia kwenye ndoa kwa sababu fulani tuu anazozijua yeye ila bila hivyo asingekubali umuoe mkuuSiku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
🤣🤣🤣🤣Ndio matatizo ya Usengenyaji uliyo yaanzisha kama mzee wa familia.
Uko kike kike sana , hivyo anakuona Mwajuma mwenzie tu
Umevuna ulichopandaSiku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Suluhisho zuri ni kutokufanya tu,kitu unaweza mshawishi mkafanya...kondomu kwa wapenzi wanatumia wachache,hivyo vidonge sijui P2 hata wanawake wenyewe hawavipendi kuvitumia washaambiana vina madharaSiku za hatari hazina suluhisho eeh?
Badala ya kugegedana na kupanga mambo ya msingii, unaanza kuwa mmbea, huo ni umama na jibu lilikufaa. Au ulitaka kumuoa huyo rafiki yake mkuu?Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Acha kumtisha mwenzio 😂Aisee hakuna ndoa hapo
Bali kuna maigizo ya bongo movie
Sema ukweli lakini madame ..mbona wataka kumfariji wakati waona kabisa kuwa kijana wawatu ameoa Bomu ..wakati wowote ule litamlipukia .haahahAcha kumtisha mwenzio [emoji23]
😂😂😂hamna wala wanawake wanamaneno mengi tuSema ukweli lakini madame ..mbona wataka kumfariji wakati waona kabisa kuwa kijana wawatu ameoa Bomu ..wakati wowote ule litamlipukia .haahah
Huyo ni mjasiliandoa.Siku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Hahaha nawewe huwa una ongea maneno kama hayo ??[emoji23][emoji23][emoji23]hamna wala wanawake wanamaneno mengi tu
Sema tumeambiwa tuishi nao kwa akili sana, mwanaume usipo kuwa na akili basiii huwezi kuishi na mwanamkeWanawake wana kauli za kuuzi Sana...na mwanamke anaweza akachepuka hata Kama anaridhishwa ..Hawa watu na shetan Ni Kama mtu na ndugu yake
😂😂😂labdaHahaha nawewe huwa una ongea maneno kama hayo ??
.. Hahaha " nitamshauri yule jamaa aku divorce[emoji23][emoji23][emoji23]labda
Acha ukuda wewe, alaf unioe wewe ?😂.. Hahaha " nitamshauri yule jamaa aku divorce
Hahaha utakuwa mke wa pili sio mbaya ...Acha ukuda wewe, alaf unioe wewe ?[emoji23]
Hahahah!! Mkuu kiupande fulani uko sahihi. Muda mwingine soft language inapunguza utamu wa lugha.Nmekuuliza hilo ili nikuone , na naona ni mbwembwe tu wala hamna lolote la maana ..
Kwaiyo ningesema mgongeee, mpige muwaaa ..yangekua sahihi??? Ila kwakua nmeandika mtombe..? Sio sahihi ..... hizi ndo mbwembwe zenyewe Mkuu.
Ndio, sasa yann nifiche fiche na kutumia Tafsida na Lengo langu ni mtoa mada aelewe nachomanisha, kama ningetumia Lugha asoielewa ,siangeuliza Unamanisha nn?????.
As long as watu wanatombana daily, Acheni kua wanafiki bana.
kawaida sana hiyo,alikuwa ana balance story tuSiku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana
Hahahaaa hakuna tafakari hapoSiku moja tumetulia zetu baada ya kumaliza shughuli ya kujenga TAIFA letu. Kama kawaida ya wanandoa kuanza kusengenya watu wengine. Nikamuuliza mwenzangu
"Hivi rafiki yako Fulani mbona hajaolewa mpaka leo, ama hajapata mtu sahihi?". Akasema, "Wengine tunaolewa tu kwa sababu ya ugumu wa maisha, lakini Kama mtu Unajimudu hakuna haja ya kukimbilia ndoa"
Kauli mpaka leo bado naitafakari sana