Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Embu kwanza useme mlianzaje anzaje mpaka kufikia huko...... Usikute na wewe uliropoka maneno ya mauzi
 
Kwa maneno wenzio tunayokutana nayo wewe una afadhal mara 10000... Acha utoto mkuu tulia nae tena mna watoto eb kuwa mwanaume vingine potezea sio vya kukomalia

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani ukiwa mbinga hadhi yako ilionekana kuwa juu. Sasa kaja DSM anaona wadosi wengi..watu wana makumba na magari ya kifahari, wanakula bata...anatamani kama angekuwa na yeye hivyo....anadhani kiwa angekuwa Dar angeweza kuolewa na mmoja ya hao ma don.

Usichanganyikiwe wala usijisikie vibaya. Wanawake ni watu wa kufanya comparison, wanapenda kulinganisha maisha yao na ya wengine...hawaridhiki na maisha kwani wao hupenda mashindano na kujionyesha.

Na wakati mwingine wana kauli za kuudhi..kama hizo ambazo huwa wanaropoka bila kujua madhara yake...

Utasikia, wewe naye ni mwanaume...wakiita wanaume na wewe utaenda...huna akili, angalia wenzako wenye akili wanavyofanya....n.k. Maneno kama haya ni kawaida sana sana..hata uwe umefanikiwa kiasi gani bado watakulinganisha na walio kuzidi na kukutolea maneno.

Wala usipaniki kila mwanaume anapitia unanyanyasaji huo..hadi tumezoea. Isikuumize kichwa.
Wewe ndio umempa ukweli mchungu bro

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.

Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.

Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.

Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.
Sasa hapa unataka tukushauri nini? Jiongeze mwenyewe.
 
Kwa ufupi tu alikuambia wewe huna akili mkuu na hauna hadhi ya kuwa nae.

Najua inauma ila isiwe sababu ya kwenda kuivunja ndoa yako.
Daaaa🤣🤣🤣🤣watu mnajua kukatisha tamaa
 
Hiyo ni ishara ya kuachana, wakati wewe unawaza watoto wako wataishije ukimwacha, mwenzako anawaza ni bora haachane na wewe ili akaishi ba type yake ili watoto wafurahie maisha, hivyo unapaswa kutambua mwanamke akiamua kufanya maamuzi huwa haangalii nyuma ,haangalii wema ulio mtendea wala sijui watoto. Chukua tahadhari kwa kufanya yaguatayo
1: usimwamini sana ,kwa sababu ameshaingiwa na roho ya tamaa ya kutaka maisha mazuri na ya kifahari, hivyo yupo tayari kuuwa huyo ili akampate huyo au hao anao amini wana akili kukuzidi wewe.
2: kimtokacho mdomoni ndicho kilichopo moyoni mwake, na wahenga walisema mtu akiwa na hasira ndio huropoka yaliyopo moyoni kwa maana nyingine huongea ya ukweli haaminishi, ndio tunaambiwa kufunga midomo wakati tukiwa na hasira, hivyo anza kujiandaa kisaikoljia mapema kwamba ipo siku utaachwa, na hao watoto unao wafikiria utakuwa na lolote LA kufanya, kwa sababu unaweza usiache kwa kufikiria watoto lakini kuna kuachwa pia , je huyo mwenzako ana mawazo kama yako ya kufikiria watoto kama wewe.
3: Usimshirikishe katika mipango yako ya maendeleo, ili siku ikitokea usiumie sana, Hilo ni jambo la kushukuru Mungu kaamua kukuonyesha mapema huko mbele nini kinaweza kutokea.Hivyo ishi kwa tahadhari.
4: Mwanamke uwezo wake wa kuona mbali ni mdogo mno ,hivyo usishindane naye, wewe una nafasi kubwa ya kufanikiwa na kumzidi yeye kuliko yeye anavyofikiri kwamba ana akili kuliko wewe, si unaona hata humu maofisni walivyokosa ubunifu na kutegemea tuwasaidie
5: Siku ukipata uhamisho kurudi Mbinga Kigomsera au Kigombi ndio atakuambia huko ndiko kunakufaa zaidi . na yeye hatakuballi kurudi huko, hivyo fikiria hivi Leo ukipata matatzo ya kikazi au ulemavu huyo uliyenaye ataebdelea kuwa na wewe na kukuvumilia au atakukimbia, . ukipata jibu lifanyie kazi na litafutie solution mapema.
6: unapaswa kutambua si kila aliyeaxhana na make wake alipenda ,ila mazungira kama hayo , dharau zikizidi ndani ya nyumba , mtu anaamua ni bora nianze upya maisha ,kuliko kuwa na mwisho mbaya
 
Tuliangalie kwenye muktadha mwingine.Naona kama ni utani ambao sio wa kuutilia manani.
Endelea kumpenda tuu aelewe kwamba ulimanisha ulivyoamua kumuoa.kauli zingine huwa shetani anaziingiza kwa wenza ili kuharibu utulivu.

Kama amekuchoka,vitendo ndiyo vingeongea
Wengi hawalijui hili kwamba shetani still bado ajakaa mbali na Eva,hata wale wabwatukaji masikini uuliwa,upigwa bure kwa uropokaji wao sababu ya shetani
 
Huna mke hapo. Achana naye mapema kabla hajakupa dhoruba Kali la KIKE.
Usijali utapata mwingine kaka
 
Hiyo ni ishara ya kuachana, wakati wewe unawaza watoto wako wataishije ukimwacha, mwenzako anawaza ni bora haachane na wewe ili akaishi ba type yake ili watoto wafurahie maisha, hivyo unapaswa kutambua mwanamke akiamua kufanya maamuzi huwa haangalii nyuma ,haangalii wema ulio mtendea wala sijui watoto. Chukua tahadhari kwa kufanya yaguatayo
1: usimwamini sana ,kwa sababu ameshaingiwa na roho ya tamaa ya kutaka maisha mazuri na ya kifahari, hivyo yupo tayari kuuwa huyo ili akampate huyo au hao anao amini wana akili kukuzidi wewe.
2: kimtokacho mdomoni ndicho kilichopo moyoni mwake, na wahenga walisema mtu akiwa na hasira ndio huropoka yaliyopo moyoni kwa maana nyingine huongea ya ukweli haaminishi, ndio tunaambiwa kufunga midomo wakati tukiwa na hasira, hivyo anza kujiandaa kisaikoljia mapema kwamba ipo siku utaachwa, na hao watoto unao wafikiria utakuwa na lolote LA kufanya, kwa sababu unaweza usiache kwa kufikiria watoto lakini kuna kuachwa pia , je huyo mwenzako ana mawazo kama yako ya kufikiria watoto kama wewe.
3: Usimshirikishe katika mipango yako ya maendeleo, ili siku ikitokea usiumie sana, Hilo ni jambo la kushukuru Mungu kaamua kukuonyesha mapema huko mbele nini kinaweza kutokea.Hivyo ishi kwa tahadhari.
4: Mwanamke uwezo wake wa kuona mbali ni mdogo mno ,hivyo usishindane naye, wewe una nafasi kubwa ya kufanikiwa na kumzidi yeye kuliko yeye anavyofikiri kwamba ana akili kuliko wewe, si unaona hata humu maofisni walivyokosa ubunifu na kutegemea tuwasaidie
5: Siku ukipata uhamisho kurudi Mbinga Kigomsera au Kigombi ndio atakuambia huko ndiko kunakufaa zaidi . na yeye hatakuballi kurudi huko, hivyo fikiria hivi Leo ukipata matatzo ya kikazi au ulemavu huyo uliyenaye ataebdelea kuwa na wewe na kukuvumilia au atakukimbia, . ukipata jibu lifanyie kazi na litafutie solution mapema.
6: unapaswa kutambua si kila aliyeaxhana na make wake alipenda ,ila mazungira kama hayo , dharau zikizidi ndani ya nyumba , mtu anaamua ni bora nianze upya maisha ,kuliko kuwa na mwisho mbaya
Umenena kweli,Hawa viumbe acha tu waendelee kuwatajirisha mitume na manabii ikiwemo kukanyagishwa mafuta ya urejesho wa mume,ndoa huwa na thamani kwao baada ya kuachwa.
Uoni wamejaa kwa mtume wao wengi wale walizichezea ndoa zao,wakiamini wataweza.
 
Back
Top Bottom