Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Na wewe ungemjibu hivyo hivyo, halafu ukaendelea na maisha kama kawaida.
 
Umetoa wapi muda wa kuja kupost huku hivyo umeshindwa hata kufanya maamuzi juu ya hilo..??
Ila watu tunatofautiana sana aisee
Kabisaa...Mimi binafsi kwa venye ningemfanya walah Angenifafanulia kuhusu hio kauli yeye mwenyewe...
 
Alishachapwa tayari na watu wa Dar wakati anaonyeshwa mjini. Lakini watamdampo tu
 
Red flag hiyo mzee, kakwambia kuwa wewe sio type yake na bila shaka yupo in open relationship akimpata type yake wewe ndio utakua mchepuko.

Tafuta mwanamke mwengine wanaume hatutakiwi kuwa na option moja, NEVER EVER.
 
KAMA UMEFUNGA NAE NDOA YA KIISLAAM...NA HAMNA MTOTO BADO...ACHANA NAE OA MWINGINE...

KUNA ANAOWAONA NI TYPE YAKE BAADA YA KUJA MJINI...MWACHE AENDE...
Hata kama mna watoto inawezekana kuachana.
 
Ni vile tu huyo mwanamke ameamua kuwa jasiri akayatoa yaliyojificha moyoni mwake bila kumumunya maneno.

Wengi waliopo kwenye ndoa Leo wangeulizwa endapo itatokea nafasi ya kuvunja mahusiano wakawa huru waamue kuanzisha upya mahusiano, wachache sana wangekubali kuendelea na wapenzi wao walionao Sasa hivi.
Dah mkuu umenipiga penye mshono hiyo kauli niliambiwa jana mpaka najiuliza kwanini anayasema haya kipindi hiki ambacho sina kazi mbona nilipokuwa kazini hakuyasema haya,M/MUNGU atusaidie sana wanaume tulio ktk ndoa
 
Kuna mambo huwa mwanamke anaficha sana, ila ukiona yanaanza kuonekana kupitia yeye mwenyewe ni heri kufanya maamuzi magumu.
 
Ni vile tu huyo mwanamke ameamua kuwa jasiri akayatoa yaliyojificha moyoni mwake bila kumumunya maneno.

Wengi waliopo kwenye ndoa Leo wangeulizwa endapo itatokea nafasi ya kuvunja mahusiano wakawa huru waamue kuanzisha upya mahusiano, wachache sana wangekubali kuendelea na wapenzi wao walionao Sasa hivi.
Pia wapo wengi wanaotamani kurudi kwa wapenzi wao. Mpenzi ajaye ni bora kuliko aliyopo mpaka anapofika.
 
Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.

Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.

Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.

Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.
Hawa viumbe huwa hawana siri, asipoongea kwa mdomo ataongea kwa vitendo au hisia.
Hapo amekutana na wajanja wa jiji wewe waonekana mshamba
 
Dah mkuu umenipiga penye mshono hiyo kauli niliambiwa jana mpaka najiuliza kwanini anayasema haya kipindi hiki ambacho sina kazi mbona nilipokuwa kazini hakuyasema haya,M/MUNGU atusaidie sana wanaume tulio ktk ndoa

Hapana mkuu, Wala isikuumize sana. Kikubwa jitahidi na jipange kipindi Cha mpito kiishe salama. Nnaimani tu dhoruba zitatulia na utarudi kwenye Hali Yako.

Nimeandika hayo Kwa sababu Hawa wenzetu, wanategemea uhakika wa vitu vingi kutoka kwetu, Sasa wanapoona Kuna Hali inatetereka, wanaingiwa na hofu ya mustakabal wa maisha. Na Kwa wenzetu Kuna wakati hawajali sana jinsi maneno yanavyotuumiza, wakishaongea ikawapa ahueni wanajua imeisha kumbe kwetu hayo maneno yanapiga kelele Kila siku kichwani.

Nawasihi wake zetu ni kweli Kuna wakati tunakosea ila nanyie mjitahidi kutumia vizuri maneno, mchague Kwa uangalifu kipi Cha kusema, hata kama tumekosea, maneno yanararua na kuchoma sana nafsi, Kuna makovu na majeraha hayaponi upesi.

Cha msingi, jitahidi kutekeleza wajibu wako na nikutakie uvumilivu na Kila la kheri Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika mitihani Yako uvuke salama.
 
Umetoa wapi muda wa kuja kupost huku hivyo umeshindwa hata kufanya maamuzi juu ya hilo..??
Ila watu tunatofautiana sana aisee
Japo nawe ulishindwa kufanya maamuzi pale kwenye s pool🤣🤣🤣
 
Alishachapwa tayari na watu wa Dar wakati anaonyeshwa mjini. Lakini watamdampo tu
Wanasemaga kuwa mke wa mtu ni mtamu akiwa kwa mmewe, akiachwa kila mtu anamkimbia
 
Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.

Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.

Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.

Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.
Mbona rahisi tu hiyo, anamaanisha umeokota dodo chini ya mnazi akili zilikuwa zimelala, hamaanishi saizi zimeamka hapana yuko katika Hali ya kujuta maana hata kama zikiamka Hana option jua limeshazama makeup haikai vizuri
 
Wanawake ni waoga kwa waume zao Ila Hadi kapata ujasiri wa kukuambia hivyo basi jua amekuona wewe ni bonge la bwege
 
Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.

Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.

Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.

Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.
Aiseh Pole sana hapo mke hauna sa hv umebaki na kiburudisho tu.
 
Nadhani ukiwa mbinga hadhi yako ilionekana kuwa juu. Sasa kaja DSM anaona wadosi wengi..watu wana makumba na magari ya kifahari, wanakula bata...anatamani kama angekuwa na yeye hivyo....anadhani kiwa angekuwa Dar angeweza kuolewa na mmoja ya hao ma don.

Usichanganyikiwe wala usijisikie vibaya. Wanawake ni watu wa kufanya comparison, wanapenda kulinganisha maisha yao na ya wengine...hawaridhiki na maisha kwani wao hupenda mashindano na kujionyesha.

Na wakati mwingine wana kauli za kuudhi..kama hizo ambazo huwa wanaropoka bila kujua madhara yake...

Utasikia, wewe naye ni mwanaume...wakiita wanaume na wewe utaenda...huna akili, angalia wenzako wenye akili wanavyofanya....n.k. Maneno kama haya ni kawaida sana sana..hata uwe umefanikiwa kiasi gani bado watakulinganisha na walio kuzidi na kukutolea maneno.

Wala usipaniki kila mwanaume anapitia unanyanyasaji huo..hadi tumezoea. Isikuumize kichwa.
Toa way forward sasa amwache au aendelee nae?
 
Back
Top Bottom