Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Mbona kasema ukweli wa kawaida tu Mkuu. Na wewe ilitakiwa uweke utani hapo umsome vizuri sio kinyonge ungejua zaidi.
Labda ulimpata coz alikuwa akitoka job anarudi home hana mishe mishe ila kwa Dar anaona anaweza kuwq na mishe mishe zaidi akawa bize ambapo msingeonana kirahisi.
kiuhalisia maisha ya mkoani ni tofauti sana na Dar, mkoani mtumishi akitoka job saa 9 na nusu hawezi kufanya biashara ikaleta hesabu zuri ila kwa Dar hata ukitoka job saa 12 bado unaweza ukafungua biashara yako ukafanya hadi saa sita usiku watu wapo
Labda angekuwa bize sana kama angekuwa Dar tangu mwanzo hivyo msingeweza kuonana na hata kuoana.
Labda ulimpata coz alikuwa akitoka job anarudi home hana mishe mishe ila kwa Dar anaona anaweza kuwq na mishe mishe zaidi akawa bize ambapo msingeonana kirahisi.
kiuhalisia maisha ya mkoani ni tofauti sana na Dar, mkoani mtumishi akitoka job saa 9 na nusu hawezi kufanya biashara ikaleta hesabu zuri ila kwa Dar hata ukitoka job saa 12 bado unaweza ukafungua biashara yako ukafanya hadi saa sita usiku watu wapo
Labda angekuwa bize sana kama angekuwa Dar tangu mwanzo hivyo msingeweza kuonana na hata kuoana.