Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Hakuna ndo hapo, ukizidi lazimisha litakukuta jambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna watoto watatu mkuu,Kama hamna mtoto wala hana ujauzito kaka mkubwa toka nduki, kiapo kipo ili kivunjwe, la sivyo unajitafutia mipresha na misukari tu
Kijana kataa ndoa
Dah nakupata mkuu,Mkuu, maana yake ni kuu umeshuka thamani mbele yake. Yaani kipindi mna oana ulikua wa thamani kubwa ilio mvutia na kumfanya kua nawe.
Sasa cha kufanya hapo ni kua pambana kujiongezea thamani. Fanya kazi na mishemishe za kukuingizia kipato ×3 ya sasa, weka mwili wako katika umbo la kuvutia ( fanya mazoezi ) , tafuta marafiki na washauri wenye busara. Na mwisho kabisa punguza matamanio ya sex kwake.
Kila la heri mkuu, Ndoa ina changamoto zake na ndoa ni vita unayotakiwa kushinda.
Ukiona manyoya jua keshaliwa huyo. Na dalili ya mvua ni mawingu. Juhadhari kabla ya ajali.Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.
Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.
Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.
Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.
Dah! Huo mtihani kiongoziTuna watoto watatu mkuu,
Kwenye ndoa huwa hakuna utani wa kijinga na maudhi km huo. Huyo anamaanishaTuliangalie kwenye muktadha mwingine.Naona kama ni utani ambao sio wa kuutilia manani.
Endelea kumpenda tuu aelewe kwamba ulimanisha ulivyoamua kumuoa.kauli zingine huwa shetani anaziingiza kwa wenza ili kuharibu utulivu.
Kama amekuchoka,vitendo ndiyo vingeongea
Mtu anaitwa EDWARD JOHN bado unataka kulazimisha awe MuslimKAMA UMEFUNGA NAE NDOA YA KIISLAAM...NA HAMNA MTOTO BADO...ACHANA NAE OA MWINGINE...
KUNA ANAOWAONA NI TYPE YAKE BAADA YA KUJA MJINI...MWACHE AENDE...
Mjini kuna watanashati wa kufa mtu. Pamba kali mitoko kama yoote. Yeye anaiona anadhani ndio maisha hayo🤣🤣Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.
Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.
Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.
Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.