Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Kiufupi inaonekana ameshapata exposure ya kutosha na akikuweka kwenye mizani kulinganisha na vijana wenzio wa rika lako wanaomtongoz tongoza hapa mjini unaonekana uko nyuma sana kwa kila kitu, kifedha, kiusafiri, spending pattern yako.

Ila kwa kipindi kile kule Mbinga wewe ndio ulikuwa top of the class ya wanaume aliowahi kutoka nao coz wengi walikuwa wachimba chumvi tu.

Stay alert sababu inaonekana ame loose attraction na wewe. Kuna mtu anakaribia kumla mkeo na akishamla huenda mke akachange vibaya mno akakupiga marufuku hata ya kummbato na kuanza migogoro. Mwisho ni kuachana tu sababu mwanamke anajuta kuolewa na wewe huna maisha.
Demu Hana msimamo kabisa yaani[emoji23]
 
Maana yake ndoa imepigwa ndoige

IMG_20230108_114140.jpg
 
mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana
Akili kumkichwa ISHI NAE KWA AKILI kashakusoma akili yako mkuu, akili sasa imeamka jiji linaamsha akili za watu hili
 
Siku hizi imekuwa kawaida kwa vijana kuja kuweka hadharani mijadala wanayofanya na wake zao wakiwa vyumbani mwao halafu wanakuja kutaka maoni ya akina sisi ambavyo hayatuhusu na wala hatujui mambo yanaendelea vipi huko nyumbani. Ni sawa na mtu kukuonyesha clip ya mjadala halafu anataka maoni yenu.

Hivi hii dunia ya kisasa ikoje? kwani mpaka kila siri ya nyumbani uilete kwenye mitandao kwa mjadala? Matokeo yake unaambia 'huyo hakufai', 'mwache' ... kitu ammbacho kinakufanya uchanganyikiwe wakati pengine bado unampenda mwenza wako.

Imefika muda sasa tuone madhara ya haya mambo na kuwa na umakini nayo.
 
Mkuu, maana yake ni kuu umeshuka thamani mbele yake. Yaani kipindi mna oana ulikua wa thamani kubwa ilio mvutia na kumfanya kua nawe.

Sasa cha kufanya hapo ni kua pambana kujiongezea thamani. Fanya kazi na mishemishe za kukuingizia kipato ×3 ya sasa, weka mwili wako katika umbo la kuvutia ( fanya mazoezi ) , tafuta marafiki na washauri wenye busara. Na mwisho kabisa punguza matamanio ya sex kwake.

Kila la heri mkuu, Ndoa ina changamoto zake na ndoa ni vita unayotakiwa kushinda.
Ushauri mzuri mno
 
dah,ila inauma kwani ni lazima kila kitu uongeee jamani,hali hiyo huwapata watu wengi ila unakaa kimya
mwambie hivi hata mi nashangaa ilikuwaje nikakuoa au uliniwekea limbwata?
by the way haya maisha ukiwa serious sana utapoteza kila kitu emu mpuuzie yawezekana ni hasira au nawe umekuwa ukimsumbua,mpotezee tu
 
Dah Yani mkuu Sasa nawaza sana watoto 3, na bibi yao ambaye ni mama yangu ambaye naona angeweza Kaa nao wakati Mimi napambana kuwatafutia ridhki ya kila siku Alisha tangulia mbele za haki, nawaonea huruma kuja kulelewa na mama mwingine, na ukimwachia aende nao hujui huko kwingine Nini kitawasibu
msamehe mkuu shida wanawake wakija mjini wanakuwa malimbukeni wanajazana ujinga anaanza kukulinganisha na wanaume wengine,na kama unavyojua mjini kutongozana na kusifiana basi unakuta anaambiwa maneno kama haya kwamba kwa uzuri uliokuwa nao ilibidi uishi maisha ya kifahari kwa hiyo akiangalia ulivyo anaona alikosea anasahau kama wale wanampamba tu
(baadhi ya maneno yao huwa ni kama,*we ni mtoto mzuri sana hutakiwi kuishi maisha ya shida na mwanamke akiwa empty set anayachukua kama yalivo#
 
Wee sio type yake, ulimpata kule Mbinga sababu hakukuwa na type zake ila wee kidg ulikua na nafuu akaona akubali, ila huku Dar ndo kaona wengi wa type yake.

Sasa kazi kwako, kuzika hapa hapa au kusafirisha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.
Dah ..aliyesema usimwamini binadamu hata kidogo alikuwa akili kubwa sana.

Hadi hapo huna mke na ameshapoteza sifa ya kuwa mkeo.
Mpe yellow kadi na akizingua zaidi mpe red maisha bila stress yanawezekana.
 
Mkuu, maana yake ni kuu umeshuka thamani mbele yake. Yaani kipindi mna oana ulikua wa thamani kubwa ilio mvutia na kumfanya kua nawe.

Sasa cha kufanya hapo ni kua pambana kujiongezea thamani. Fanya kazi na mishemishe za kukuingizia kipato ×3 ya sasa, weka mwili wako katika umbo la kuvutia ( fanya mazoezi ) , tafuta marafiki na washauri wenye busara. Na mwisho kabisa punguza matamanio ya sex kwake.

Kila la heri mkuu, Ndoa ina changamoto zake na ndoa ni vita unayotakiwa kushinda.
Ushauri wako sio mzuri.
Ndoa haitakiwi kuimarishwa kwa hela au six packs gym.

Unataka afe kisa stress za kuongeza kipato×3 ya alichonacho kisa mke?

Huo muomekana unaomshauri auboreshe ili amuimpres wife inawezekana ila vipi akipata ajali akawa mlemavu utamshauri afanye nini kwenye huo muonekano wake mpya ili wife avutiwe?

Pia tutajuaje kama mkewe kasema hivyo baada ya tabia chafu za huyu ndugu yetu?
Au tuyajuaje mkewe ni wale wanawake wakiwa period hormones zinawapelekesha wanakua kama machizi kwa hasira wanaropokwa hovyo halafu period ikiisha wanajutia?

Hiyo kauli sio nzuri ila mleta mda jaribu kutafuta kinachofanya wife ajione mjinga kuwa na wewe.
Kama kagundua una michepuko basi jitafakari.
Kama anatamani mahandsome boy walamba lips wa Dar au anatamani wenye hela zaidi yako wala usijiue gym wala usiibe kwa ajili yake akitaka asepe
 
Back
Top Bottom