Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Kauli hii ya mke wangu ina maana gani?

Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.

Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.

Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.

Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.

Ana ku cheat.

1. Usiongeze idadi ya watoto.
2. Usimshirikishe mambo yako.
3. Jipange kulea mwenyewe.
 
Sijaonaa tatizo Sana kwenye hiyo kauli kiasi Cha mtu kuvunja ndoaaa...yawezekana kbsaa muktadhaa wa mazungumzo yenu uliruhusu kutokea kwa hayoo manenoo...get cool maisha lzma yaendeleeee jamani..Hivi mnafikiri mtaacha wangapii?...Dunia hii mkamilifuu hayupooo kila mmoja ana mapungufuuu yakeee🙌🙌take a heart brooo maisha lzma yaendeleeee
 
Siku hizi imekuwa kawaida kwa vijana kuja kuweka hadharani mijadala wanayofanya na wake zao wakiwa vyumbani mwao halafu wanakuja kutaka maoni ya akina sisi ambavyo hayatuhusu na wala hatujui mambo yanaendelea vipi huko nyumbani. Ni sawa na mtu kukuonyesha clip ya mjadala halafu anataka maoni yenu.

Hivi hii dunia ya kisasa ikoje? kwani mpaka kila siri ya nyumbani uilete kwenye mitandao kwa mjadala? Matokeo yake unaambia 'huyo hakufai', 'mwache' ... kitu ammbacho kinakufanya uchanganyikiwe wakati pengine bado unampenda mwenza wako.

Imefika muda sasa tuone madhara ya haya mambo na kuwa na umakini nayo.
Kabisaa yaan mpk nimeshangaaaa...na ushauri wa humuu mwingii Ni muache mkeo muachee akufaii..sijui huyo Malaya nk...hivi unafikiri ndoaa mnaachana kirahisi hivyooo?..halafu piaa hata hatujui upande wa pili..yawezekanaaa muktadhaa wa mazungumzo yaoo ulipelekeaa hiyoo kaulii...kwa mwenendoo huu vijana mna safari ndefu Sana kwenye suala zima la ndoaaa...Ndoa si lelemama ndoa inahitaji ukomavu wa akili pamoja na kumtanguliza Mungu mbelee..Na vile mkishakuwaa na familiaa mnatakiwaa kuacha ubinafsi wa kuangalia furaha zenu ili muweze kuwakuzaa watoto vema pasipo utengano wa wazazi..Ndoa ni zaidi ya tendo lenyewee.
 
Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.

Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.

Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.

Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.
Kuna mwamba anampakua shituka
 
Umetoa wapi muda wa kuja kupost huku hivyo umeshindwa hata kufanya maamuzi juu ya hilo..??
Ila watu tunatofautiana sana aisee
Dada mwenzako unamuumiza kakutoa kwenu kijijini sitimbi miguu ilikua na magaga kibao leo umekua mrembo na Jiji letu umelihua unataka kumtabisha mwenzako
 
Habari Wana Jf niende moja kwa moja kwenye point, ni kwamba Mimi na mke wangu tulifunga ndoa miaka sita iliyopita na wakati huo tulikutana mkoani Ruvuma yeye akiwa mwajiriwa wa kampuni flani na Mimi wakati huo nilikuwa nafanya kazi na shirika flani.

Baada ya mahusiano kama ya Mwaka mmoja tuliweza kufunga ndoa, na baada ya miaka mitatu ya ndoa tukaweza kuhamia Jijini Dar es salaam.

Sasa siku moja ilikua ni weekend tupo nyumbani mke wangu aliniambia hivi, mtu ukiwa umepelekwa kuishi mkoani hasa kijijini kama Kule mbinga huwa na akili nazo zinalala uwezo wa kufikiri zaidi unapungua, na ndiyo maana uliweza kunipata na kunioa Ila ingekuwa tumekutana hapa Dar es salaam, wala hilo lisingewezekana.

Sasa tangu hapo nimekuwa nikiwaza sana sipati jibu, nawaza nifanyeje,? Najiuliza je yupo anayempenda kwa dhati? Na je anapanga Nini? Je kubaki nami mpaka Sasa ni kwasababu ya kiapo Cha ndoa tu? yani sielewi, mawazo yenu ndugu zangu.
Amka usingizini wewe mwanamke aishi kwa mwanaume heti kwa sababu ya ndoa,wapo vijana wanakumegea tonge lako
 
Tuliangalie kwenye muktadha mwingine.Naona kama ni utani ambao sio wa kuutilia manani.
Endelea kumpenda tuu aelewe kwamba ulimanisha ulivyoamua kumuoa.kauli zingine huwa shetani anaziingiza kwa wenza ili kuharibu utulivu.

Kama amekuchoka,vitendo ndiyo vingeongea
Dawa yake mludishe kijijini akitaka kuja dar aje mwenyewe
 
Back
Top Bottom