Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia youtubeMwenye picha ya full tuone shepu arushe
Aliongea ukweli kwa upeo wake, baada ya muda picha za wahudumu zikasambaa mitandaoni, kiukweli uvaaji wao haukuwa na mvuto.Mama ana mdomo mchafu sana.
Kwamba anafaa kuongoza Yanga!..........................Kwanini Simba na isiwe Yanga?!
Malaika aliamka vibaya!Ndio. Hao ndio vigogo wa CCM mkoa wa Kigoma. Yeye, Nswazugwako na Serukamba wote wamechezea kichapo cha malaika mkuu kutoka Chato.
Mwenye picha ya full tuone shepu arushe
Yanga ina maprofesor uchwara..........................Kwanini Simba na isiwe Yanga?!
Wajibu upi alioutimiza mkuu? Alishindwa kuishauri serikali iachane na ununuzi wa ndege zisizo na faida ili angalau isukume hilo fungu kwenye sekta ya kilimo wakulima wanufaike, alichoweza kuona kina mapungufu ni muonekano wa wafanyakazi! Bunge la magufuli ni upuuzi mtupu, bora tulibadilishie matumizi tufugie hata kuku wa kienyeji tutaexport mayai.Alitimiza wajibu wake wa kibunge wa kuisimamia na kuishairi serikali. Huyu anastahili. Kinyume chake ni wale wapongezaji ambao hawatusaidii chochote.
ww mzuri rusha picha basi tukuoneMwenyewe mbayaaa
She's the bimbo!Mimi sijui, ndo nimeyasikia leo kwenye mada hii. Kama aliomba radhi sawa watajuana wenyewe, lakini hiyo kauli ilimdefine asili na akili yake.
Eti malaikaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio. Hao ndio vigogo wa CCM mkoa wa Kigoma. Yeye, Nswazugwako na Serukamba wote wamechezea kichapo cha malaika mkuu kutoka Chato.
Ksbb simba ina wakurupujaji. Ina mropokaji wao mmoja wanamuamini hatari. Akiwaaminisha timu yetu ina uwezo wa kuichapa hata Real Madrid,wanaamini,mpaka wachezaji wanabweteka,wanajikuta wamepigwa na UD-SONGO..........................Kwanini Simba na isiwe Yanga?!
Ndio alikuwa mbunge wa CCM. Ooooh sawa kumbe hili sio jukwaa lako...twende kule kwa masiharaKwani alikuwa ccm???
Me mwanume utapenda pesa yangu na maneno yangu sio sura yangu!ww mzuri rusha picha basi tukuone
Bosi hana jambo dogo. Hamubipu mtu; ila hutoa pigo."Mmenunua ndege ila wahudumu wenu ni wabaya hawana mvuto. Mimi mwenyewe ni mzee ila nimewazidi uzuri wahudumu wa ATCL".. Hii kauli ilimuuma sana Mwenyekiti. Sasa utasugua benchi hadi 2026.
Kumbe ndo huyu!?"Mmenunua ndege ila wahudumu wenu ni wabaya hawana mvuto. Mimi mwenyewe ni mzee ila nimewazidi uzuri wahudumu wa ATCL".. Hii kauli ilimuuma sana Mwenyekiti. Sasa utasugua benchi hadi 2026.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kule wamefunga mzee...!! Sasa wanataka tujadili uchaguzii tuu akipita Lissu itabdi arekebishee hili..Ndio alikuwa mbunge wa CCM. Ooooh sawa kumbe hili sio jukwaa lako...twende kule kwa masihara
Baada ya kauli hiyo waliwabadili. Kama wewe ni mtumia usafiri wa ATCL utagundua sasa hivi wahudumu ni visu tupu.Simuungi mkono jiwe katika 99℅ ya maamuzi anayoyafanya ila kwa kauli hiyo hata mimi ningemkata tu. Kauli ya kipumbavu na yenye umalaya ndani yake kutoka kwa mama mtu mzima. Sipati picha wale wafanyakazi walijisikiaje!