Na kuhonga mabwana.Mtaji utoke wapi mkuu wakat zote wajumbe washazi'withdraw?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuhonga mabwana.Mtaji utoke wapi mkuu wakat zote wajumbe washazi'withdraw?
Mdomo umeponza kichwa ,alikosea,si kauli ya kiungwana ,aliwadhalilisha wanawake wenziwe"Mmenunua ndege ila wahudumu wenu ni wabaya hawana mvuto. Mimi mwenyewe ni mzee ila nimewazidi uzuri wahudumu wa ATCL".. Hii kauli ilimuuma sana Mwenyekiti. Sasa utasugua benchi hadi 2026.
Hapana jamani ccm haimpendi mtu anaetetea wananchi wake au wapigakura wake ameliwa kwakutetea wavuvi walionyanyaswa nakutekwa malizao mpaka leo zipo ikola mkoa wakatavi sisi wavuvi tutakulipia mama nizamu yabakema kwenda bungeni naomba niwakumbushe wavuvi nchi nzima nizamu yetu tumchague niyeyeSimuungi mkono jiwe katika 99℅ ya maamuzi anayoyafanya ila kwa kauli hiyo hata mimi ningemkata tu. Kauli ya kipumbavu na yenye umalaya ndani yake kutoka kwa mama mtu mzima. Sipati picha wale wafanyakazi walijisikiaje!
Mama mbunge aliongea ukweli tupu.Aliongea ukweli kwa upeo wake, baada ya muda picha za wahudumu zikasambaa mitandaoni, kiukweli uvaaji wao haukuwa na mvuto.
Tatizo viongozi wetu wanawapenda watu wa kusifia sifia tu
..........................Kwanini Simba na isiwe Yanga?!
Mdomo wa Mwanasiasa unakuwaga msafi kweli?.Mama ana mdomo mchafu sana.
Ni mnyama!..........................Kwanini Simba na isiwe Yanga?!
Wakajiajiri kama ambavyo wanawashauri vijana Siku zote.Boda boda,machinga,mama/baba ntilie au kilimo/ufugaji/uvuvi nk.Daaah Wabongo.... Karibu Dada Maisha bila Kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Yanawezekana. Umechukua Kiinua Mgongo Njoo uraiani Maisha yanaendelea..
Utasikia wanatuita sisi wavivu hatutaki kujiajiri waje huku mtaani tuwape michongo. Wakutane na msoto wa nguvu.Wakajiajiri kama ambavyo wanawashauri vijana Siku zote.Boda boda,machinga,mama/baba ntilie au kilimo/ufugaji/uvuvi nk.
Jiwe hajui historia ya chama anachokiongoza ; hilo jina la baba yake ni maarufu kwenye anga za TANU!!Anaitwa Hasna MwilimaView attachment 1543889
... au Arsenal..........................Kwanini Simba na isiwe Yanga?!
Mwenye picha ya Husna Mwilima please
Anafaa kuongoza yangaHuyu ana ufinyu wa akili hafai hata kuwa kiongozi wa kilabu cha Simba.