Tetesi: Kauli iliyomponza Husna Mwilima kukatwa uteuzi pamoja na kushinda kura za maoni

Tetesi: Kauli iliyomponza Husna Mwilima kukatwa uteuzi pamoja na kushinda kura za maoni

"Mmenunua ndege ila wahudumu wenu ni wabaya hawana mvuto. Mimi mwenyewe ni mzee ila nimewazidi uzuri wahudumu wa ATCL".. Hii kauli ilimuuma sana Mwenyekiti. Sasa utasugua benchi hadi 2026.
Hayo ni yako, kakutuma uongee hayo?
 
Kwa hiyo kwa akili zako alileta tetemeko Kagera ?
tumiezi vigezo vyenye akili huko ni kupitiwa tu. Mbona magufuli ametukana mara ngapi, amewambia wana Kagera yeye hajaleta tetemeko, amewaambia kusini atawapigia shangazi zenu. mbona hamjamkata?
 
Mwenye picha ya Husna Mwilima please
.
tapatalk_1588228640240.jpeg
 
Baada ya kauli hiyo waliwabadili. Kama wewe ni mtumia usafiri wa ATCL utagundua sasa hivi wahudumu ni visu tupu.

Kwa hiyo aliwasaidia kuboresha otherwise kama ni uwongo tungeendelea na wale vigagula wenye sura kama TULIA ACKSON
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...hapo kwa vigagula kama tulia
 
Back
Top Bottom