Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #41
Baada ya mashauriano marefu ndo ikaonekana kuwa ni makamu wa raisi pekee ndo mwenye mamlaka ya kutangaza kifo cha kiongozi mkuu yoyote wa serikali, na sio KM kiongozi wala Prime minister. Hivyo makamu akaapewa taarifa na baadae akatangaza kifo hicho.Nani sasa alimwambia kuwa makamu ndiyo anastahili kutangaza kifo Cha Rais?
Ni hatari sana mkuu.Kwa uhaini huo huyo Bashiru hakutakiwa kuwa hai, achili huo Ubunge. Alikuwa na malengo gani na yenye maslahi ya kina nani?
Ingekuwa wewe ndo raisi ungewachukulia hatua gani?Kwa hiyo kuwatoa pale Ikulu imemsaidia nini?
Ndio maana akasema walirudi kweye katiba
Noma sana...Urafi wa madaraka aisee ulikuwa huo.
Kweli kabisa kaka.Kama umeskiliza vzuri CDF Mabeyo alijua nani anatakiwa atangaze na aliweka msimamo huo. Na tumpongeze kwamba katika ile tension na kujadili ilijulikana wazi wazalendo na waasi ni wapi. Kazi yake aliifanya vzuri sana. Angeweza kutumia nguvu za kijeshi lakini busara ilitumika ili wanafiki wajikaange
Hakuna lolote zaidi ya hali ya umaskini imeendelea kushamiri nchini, hakuna umeme wa uhakika,Kwa hiyo kuwatoa pale Ikulu imemsaidia nini?
Inaonekana kuwa wakati huo jaji mkuu na mwanasheria mkuu walikuwa bado hawajashirikishwa.TUSIMPE LAWAMA TUJIULIZE JAJI MKUU NA MWANASHERIA MKUU WANAFAHAMU KATIBA
MZee kaeleza kisomi sana kwa mtu mwenyr Ufahamu ataelewa na ataweza kuconnect kwanini hata alikuwa anasema kuwa Hakukuwa na connection ya Moja kwa moja kwa makamu na yeye zaidi ya Rais labda kwenye occasion maalumu.....Mabeyo anastahili lawama.
..Kwanini MAKAMU WA RAIS hakuwa mtu wa kwanza kupewa taarifa kuwa Rais amefariki?
..Nimemsikia Mabeyo akisema eti kulikuwa na mjadala wa nani atangaze kifo cha Rais.
..Hivi Mabeyo na usomi wake, kutumikia jeshini kwa miongo kadhaa, na kutembelea nchi mbalimbali, hajui nani ana mamlaka ya kutangaza kifo cha Raisi? Kwamba walihitaji majadiliano?
Huwa nakaa chini najiuliza.Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam ningependa kuendelea na mada yangu hapa jukwaani.
Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Wakati raisi Samia alipoingia madarakani, haikupita hata huwa anafanya hivyo baada ya kupata taarifa za kutosha za anaeteuliwa au tenguliwa.
Leo niishie hapa.
Yes ilikuwaje akamwita CDF dakika za mwisho badala ya makamoHiyo ni meseji kua Makamu wa Rais hakuaminiwa hata na Rais mwenyewe.
Kijana mdogo huyo, hajui dunia inaendaje. Kikubwa usiku uingie aende kwa shemej yake kula na kulala basi.Yaani unashindwa kuunganisha dots hapo?.
Babu ndo ujue ninkuongeza nyama kwenye 2025Huwa nakaa chini najiuliza.
Taarifa aina hii za yaliyopita na kufa huko zinapokuwa public debate. je zinasaidia kukwamua mkwamo wa inflationa na ombwe la kiuongozi tulilo nalo leo?
Tulishaona panga pangua za kutosha na sisi tulishasema huko awali kwamba hao waliotenguliwa wana fununu za kutaka kupindua meza. Yalishapita hukooo.
Hatutakaa tupige hatua za maendeleo kama nchi endapo tunaendekeza hizi tabia za maneno maneno yasiyo na impact kwa hali ya nchi inayopitia kwa sasa
Raisi anapofariki au anaposhindwa kufanya majukumu yake kama mkuu wa nchi, basi katika inamtaka makamu wa raisi kukaimu nafasi yake na kusimamia majukumu yote ya ki uraisi.Lucas mwashambwa , Dudumizi, Nguruvi3, Proved, Petro E. Mselewa
..Raisi akiwa mahututi, au akipigwa nusu kaputi, hakutakiwi kuwa na utaratibu wa kukasimisha / kukaimisha madaraka yake?
Waliokuwa wanaulizana kama ataweza, ndio hao waliotupwa nje muda mfupi baada ya msiba kuisha.Raisi mwenyewe mbona uwa anagusia hilo tukio mara kadhaa. Juzi tu alipokuwa Dar kupongezwa siku ya wanawake kaliongelea tena kuna watu walikuwa wanaulizana ataweza kweli kabla kuapishwa kwake.
HahahahBabu ndo ujue ninkuongeza nyama kwenye 2025