Mkuu kama labda hujawahi kufanya kazi kwenye taasisi yeyote..!!lakini katika watu 3 viongozi lazima wawili watajikata na kuwa wasiri na kumtenga 1...na ndo ilivyokuwa kwa jpm...MAMA hakuwahi kuaminiwa hata siku moja
Unaposema Magufuli hakuwa mtu wa kumuamini kiongozi wake unamaanisha nini na wakati mwenyewe ndio aliemchagua tena 2020 awe mgombea mwenza, huku Magufuli mwenyewe akiwa ndio mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi?Mmeongea yote mmeshau kitu kimoja.
Mzee wa msoga=Samia
Magufuli hakuwa Mtu wa kumuamini kiongozi wake Kwa uharaka, NI dhahiri Kwa wakati ule makamu hakuwa na power yoyte zaidi ya cheo chake cha umakamu Tu, Samia naamini kuchaguliwa kwako haikua option ya Magu, Bali ilibidi iwe hivyo Kwanza ni muslimu, pia ni from kizimkazi, hivyo ilihitajika iwe balanced
Kuhusu Majaliwa kuwadanganya hilo ni kawaida kwa 85% ya watanzania kuwa waongo. Au umesahau kashfa ya fisadi papa Lowasa aliyovikwa na viongozi wote wa chadema, lkn baadae ikaja kudhihirika kuwa waliudanganya umma wa watanzania? Je na wao walikufanya mtoto mdogo?Magu bila Shaka hakumuamini mama, hakumuamini Mzee wa msoga.
Aliamini Sana sukuma gang, mabeyo, bashiru n.k Hali iliyofanya taarifa zake binafsi zifichwe.
Kasimu majaliwa ametukosea Sana watanzania, katudanganya kama watoto, juzi tena hapa kwenye msiba WA lowasa katudanganya, kaficha uhalisia wa taarifa za marehemu, kasimu NI chawa yupo radhi afanye chochote kutetea ccm, kutetea cheo chake.
Hili nalo litapita.💔
Hakuwa na chagua tayari alikuwa na chaguo lake lakini akashauriwa ( na kwa kutofahamu hila akakubali) na badala yake akawa Sa100.Nakumbuka, lakini alisema alikuwa na machaguo mawili. Hata hivyo kama hakuja kumpenda, 2020 alikuwa na nafasi ya kubadilisha kwakuwa hakuwepo wa kumzuia.
Namba 2 mtoe hapo.. ndomaana unaona mpaka leo hakuguswa.Wabalance waliokuwepo
1.Bashiru
2.Majaliwa
3.Sirro
4.Diwani
Watu wanamsifia mobeyo ila kwa wachache tuliosomea Cuba tunaona hata yy alikua kwenye Dillema, na nahisi anajilaumu..Mabeyo anastahili lawama.
..Kwanini MAKAMU WA RAIS hakuwa mtu wa kwanza kupewa taarifa kuwa Rais amefariki?
..Nimemsikia Mabeyo akisema eti kulikuwa na mjadala wa nani atangaze kifo cha Rais.
..Hivi Mabeyo na usomi wake, kutumikia jeshini kwa miongo kadhaa, na kutembelea nchi mbalimbali, hajui nani ana mamlaka ya kutangaza kifo cha Raisi? Kwamba walihitaji majadiliano?
Hilo wala halina mashiko. Kama ni jinsia mbona angeweza kuchagua mwanamke mungine kutoka Zanzibar, inamaana Zanzibar nzima mwanamke alikuwa ni huyo huyo mama Samia?Ile kiini macho tu ili kubalance ishu za dini na jinsia ,ila magu hakumkubali huyo mama ndo maana mambo mengi alipiga mwenyewe.
Alikuwa na mtihani mzito sana.Watu wanamsifia mobeyo ila kwa wachache tuliosomea Cuba tunaona hata yy alikua kwenye Dillema, na nahisi anajilaumu
Una hojaHakuwa na chagua tayari alikuwa na chaguo lake lakini akashauriwa ( na kwa kutofahamu hila akakubali) na badala yake akawa Sa100.
Haya mambo hayahitaji Phd kuyadadavua ni kuunganisha dots tu.
Hivyo akiwa hoi akaona nchi yarudi kulekule na kwa kutaka kuyaendeleza aloyaanza akasahau kwamba kuna katiba na akataka BHR (yaani kiaina kuwe na serikali ya muda)awe makamu na ndipo zogo lilipoanza.
Zogo lilikuwa ni kubwa kwelikweli na kulikuwa na patashika nguo kuchanika.
Kwa hilo CFD alitekeleza jukumu lake la kusimamia katiba.
Ila kiukweli kwenye nchi yenye mfumo wa Kleptokrasia ni lazima wababe aka wapigaji wangeshinda.
Hawawezi kumtaarifu kwa sbb hakuwa sehemu ya kamati ya ulizi na usalama.Kumbuka hiyo kamati ingeamua kuchukua nchi kulikuwa hakuna jinsi..Mabeyo anastahili lawama.
..Kwanini MAKAMU WA RAIS hakuwa mtu wa kwanza kupewa taarifa kuwa Rais amefariki?
..Nimemsikia Mabeyo akisema eti kulikuwa na mjadala wa nani atangaze kifo cha Rais.
..Hivi Mabeyo na usomi wake, kutumikia jeshini kwa miongo kadhaa, na kutembelea nchi mbalimbali, hajui nani ana mamlaka ya kutangaza kifo cha Raisi? Kwamba walihitaji majadiliano?
Jiulize kama alijua makamu ndie second kwa nn wamuite waziri mkuu kwanza? Je na yy alikua anaingiwa na kile kishawishi cha kina bashiru?Alikuwa na mtihani mzito sana.
Asante sana kwa comment hii. Hata na mimi nilimueleza jamaa hapo juu namna hivi hivi ulivyoandika.Nakumbuka, lakini alisema alikuwa na machaguo mawili. Hata hivyo kama hakuja kumpenda, 2020 alikuwa na nafasi ya kubadilisha kwakuwa hakuwepo wa kumzuia.
Nadhani upo sahihi mkuuNawafahamu CDFs wote mkuu ila kustaafu kwa Mabeyo kuliibua maswali kadhaa kwa waliokuwa wanajua kinachoendelea, ila mwisho wa siku Jibu likawa tu "amestaafu kwa mujibu wa sheria", na wengi kama wewe waliamini kuwa kweli Mabeyo alistaafu kwa mujibu wa sheria, hivyo nilitegemea comment kama hii wala sishangai, ila acha ibaki hivyo hivyo mkuu
Yeye alijua katiba inasema makamu anakuwa Rais so huwezi kumtaarifu haraka sbb kiusalamanhuwezi kujua kama issue ya kumuondoa jiwe ilikuwa imeandaliwa na kuratibiwa na makamu kwa manufaa yake hivyo unamuweka pembeni ili kupata taarifa za usalama zaidi za nchi la sivyo mkienda kifala nchi inaweza vamiwa na wao wangeuawa na group jingine,,so ni strategy Bora amabyo mabeyo wliifanyaJiulize kama alijua makamu ndie second kwa nn wamuite waziri mkuu kwanza? Je na yy alikua anaingiwa na kile kishawishi cha kina bashiru?
Ningekua Mobeyo ningekaa kimya tu, nikala benefit of the doubt
Sababu mojawapo nimeshaizungumzia pale kwenye comment yangu ya kwanza mkuu, it is up to you to take it or leave it, Mabeyo alitumia sababu ile ile ya siku zote na utaratibu ule ule wa ma CDF kustaafuUmesema alistaafu bila sababu za msingi. Sawa….sababu za msingi za CDF kustaafu ni zipi?
David Musuguri, Ernest Kiaro, Robert Mboma, George Waitara, na Davis Mwamunyange walistaafu kwa ‘sababu’ gani ‘za msingi’ zilizo tofauti na sababu za Mabeyo kustaafu?
Nataka tu kujua hizo sababu za msingi kwa lengo la kujifunza. Nitashukuru ukinifahamisha maana yawezekana mimi sizijui. Napenda kujifunza mambo mapya.
C'moon wadhani alikuwa hafahamu kweli?Jiulize kama alijua makamu ndie second kwa nn wamuite waziri mkuu kwanza? Je na yy alikua anaingiwa na kile kishawishi cha kina bashiru?
Ningekua Mobeyo ningekaa kimya tu, nikala benefit of the doubt
Siku zote mjinga anatetewa na mjinga mwenzake.Bashiru ni mjinga lakini kwa hili namtetea
Pengine Wewe kuna kitu unakijua wengine hawakijui, hivyo ni vigumu mkawa sawa kimtazamo. Pengine potezea tu kwani hivyo waaminivyo ndivyo inapaswa iwe hivyo ili mambo yaende.Hakuwa na chagua tayari alikuwa na chaguo lake lakini akashauriwa ( na kwa kutofahamu hila akakubali) na badala yake akawa Sa100.
Haya mambo hayahitaji Phd kuyadadavua ni kuunganisha dots tu.
Hivyo akiwa hoi akaona nchi yarudi kulekule na kwa kutaka kuyaendeleza aloyaanza akasahau kwamba kuna katiba na akataka BHR (yaani kiaina kuwe na serikali ya muda)awe makamu na ndipo zogo lilipoanza.
Zogo lilikuwa ni kubwa kwelikweli na kulikuwa na patashika nguo kuchanika.
Kwa hilo CFD alitekeleza jukumu lake la kusimamia katiba.
Ila kiukweli kwenye nchi yenye mfumo wa Kleptokrasia ni lazima wababe aka wapigaji wangeshinda.
Sawa mkuu mie nimeishia hapa naendelea kupata gahawa.Pengine Wewe kuna kitu unakijua wengine hawakijui, hivyo ni vigumu mkawa sawa kimtazamo. Pengine potezea tu kwani hivyo waaminivyo ndivyo inapaswa iwe hivyo ili mambo yaende.