lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Mkuu kama labda hujawahi kufanya kazi kwenye taasisi yeyote..!!lakini katika watu 3 viongozi lazima wawili watajikata na kuwa wasiri na kumtenga 1...na ndo ilivyokuwa kwa jpm...MAMA hakuwahi kuaminiwa hata siku moja
Na Makamba Jr alisema kuna watu hata kuwasalimia (wakati huo akiwa waziri katika ofisi ya Makamu wa rais) tu ilikuwa ngumu.