Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Mimi ningeshauri serikali kwa vile vyuo vyetu vingi havina sehemu za kufanyia tafiti (research centers) basi watu waliokaa kwenye kazi (field) kwa muda mrefu sana ndo warusishwe vyuoni wakafundishe siyo mtu amebakishwa tutorial..within 5years tayari ni lecture kisa amechukua masters na phd tayari. mfano. Akina Kibatara and likes wakatoe elimu ya sheria huko chuo kikuu..

Wale wataalam wanaotengeneza mitambo ya gesi pale kinyerezi na waotengeneza and the likes wakafundishe chuo kikuu.

Wale wahasibu wabobezi warudi wakafundishe.
Wale wataalam wa mabarabara na ujenzi walioko kwenye field muda mrefu wakafundishe.

Wale miners wabobezi kule GGM na Nyamongo warudishwe wakafundishe...

Tuachaneni na Hao wahadhiri ambao vichwa vyao vimeota kutu na hawafanyi vitu kwa vitendo kwasababu hawaoni vitu katika uhalisia...tuchukue watu waliopo kwenye field. Haiwezekani mwanafunzi amemaliza chuo lakini akipewa mtihani kwa vitendo anaonekana kichekesho..
 
Kwani lengo la kuanzishwa kwa VETA ni nini na lengo la kuanzishwa kwa chuo kikuu ni nini? Kuna sehemu serikali haitimizi wajibu wake.
Chongolo ni sehemu ya hiyo serikali hivyo ingekuwa busara kama dongo au ushauri angelitoa upande wa serikali.

Wanafunzi wanakwenda chuo kikuu kujifunza kile ambacho kinatakiwa kifundishwe chuo kikuu na iwapo hajafundishwa kile alichostahili kukipata kosa la mwanafunzi ni nini?

Huko VETA nacho ndo balaa tupu au yawezekana mnawaona tu watoto wakitembelea mtaani ila kichwani watupu kwelikweli...VETA nyingi zimebaki tu madarasa na meza pamoja na mitambo za kuranda mbao za old modern hakuna jipya.
Elimu yetu inachezewa kabisa, chuo cha ufundi kinachoitwa VETA, mmeshajua ni nani anawafundisha huko? This is circle...wanafunzi waliotoka huko chuo kikuu empty kama wadau wengine wanavyosema ndo wanafundisha huko VETA kisichokua na vifaa vya kufundishia bali wanafunzi wanakuja na tester, mkasi, mwiko, kono bao.....

Hatari hatari hatari.....tulioko field tunajua
Mwalimu wa VETA ANAFUNDISHWA NA VETA CHUO KIPO MOROGORO acha kupotosha na hili uwe mwalimu wa veta lazima usome ufundi au fani usika kwa miaka mitatu level 3 then una enda Morogoro miaka miwili kusomea ualimu wa ufundi
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni ya ni dhaifu ukilinganisha na ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Nainga kauli yake mkono. Hatujuwi kazi nyingine wasomi hii ni hatari. We will die masikini sana
 
Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?
Hatari na nusu basi vyuo vifungwe watu waende veta wakimaliza la 7
 
Chongolo nae fala tu. Hajui anachokisema huwezi kumwambia mtu mwenye degree ya uhasibu au manunuzi ajiajiri. Serikali iweke mpango madhubuti kusaidia watakaokosa ajira mana mfumo unaotumika kuajir watu utatoa watakaokosa kila mwaka mpaka dunia iishe. Aache ufala wake na yeye kama hajui cha kuongea asiongee
Ndio Maana wameambiwa wakasome VETA Ili wajifunze mbinu za uzalishaji.
Kuna mafunzo ya kusindika vyakula. Ufundi Wa Simu, Kushona viatu, Kushona nguo. Hiví msomi akiamua Kushona suti Kwa kiwango Cha kushindana na suti Toka China hawezi kuendesha MAISHA yake na akatoka. Suti zinauzwa mpaka laki Saba.

Kuna Kozi nyingi za uzalishaji hazifundishwi vyuo vikuu.
Vyuo vikuu vinatengeneza wataalam waelekezaji au wasimamizi hivyo wakikosa Ajira inabidi wajifunze kujiajiri na kujiongoza na kujisimamia katika uzalishaji.
 
Nainga kauli yake mkono. Hatujuwi kazi nyingine wasomi hii ni hatari. We will die masikini sana
Nani kakuongopea? Kuna kazi hazihitaji ujuzi km zile za kujaza makaratasi ya wahudhuliaji, zinahitaji ujuzi upi record management kwan hawafundishwi chuoni?
 
Ndio Maana wameambiwa wakasome VETA Ili wajifunze mbinu za uzalishaji.
Kuna mafunzo ya kusindika vyakula. Ufundi Wa Simu, Kushona viatu, Kushona nguo. Hiví msomi akiamua Kushona suti Kwa kiwango Cha kushindana na suti Toka China hawezi kuendesha MAISHA yake na akatoka. Suti zinauzwa mpaka laki Saba.

Kuna Kozi nyingi za uzalishaji hazifundishwi vyuo vikuu.
Vyuo vikuu vinatengeneza wataalam waelekezaji au wasimamizi hivyo wakikosa Ajira inabidi wajifunze kujiajiri na kujiongoza na kujisimamia katika uzalishaji.
Kama zipi zitaje au unazungumzia ufundi bomba, kuchomelea mageti na kupaka rangi ukuta?
 
Chongolo nae fala tu. Hajui anachokisema huwezi kumwambia mtu mwenye degree ya uhasibu au manunuzi ajiajiri. Serikali iweke mpango madhubuti kusaidia watakaokosa ajira mana mfumo unaotumika kuajir watu utatoa watakaokosa kila mwaka mpaka dunia iishe. Aache ufala wake na yeye kama hajui cha kuongea asiongee
Wew? Nani kasema huwezi kujiajiri?
 
Unataka mtu aliyesoma Political science, Medicine, au Accounting akafanye kazi za fundi bomba au fundi ujenzi?
Weka ushabiki wa kivyama pembeni, utaona mantiki halisi ya aliyoysema Katibu Mkuu huyo.

Kuwa na digrii si hoja, hoja ni kuwa na uwezo wa kujiajiri.

Mtu mwenye ujuzi wake toka Veta wa kuunganisha mabomba ya maji taka, na mtu aliye na digrii ya political sayansi ni yupi aliye na urahisi wa kujiajiri mwenyewe?

Na itanoga zaidi, kama huyu msomi wa political sayansi akawa na ujuzi wa kutengeneza vitu na kuitumia kwa upana zaidi hiyo digrii yake, badala ya kukaa nayo tu akiilea huku akiwa tegemezi kwa wengine.

Digrii kwa siku hizi siyo nyenzo tena ya kupatia kazi.
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni ya ni dhaifu ukilinganisha na ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Chongolo ameshiba sana
 
Sasa si angesema tu watu waache kwenda vyuo vikuu kusomea masomo ya sanaa na sayansi kwa sababu hakuna ajira zake badala yake wakimaliza kidato cha nne wa veta moja kwa moja?!
Kuna haja gani ya kupoteza mamilioni au kuwafanya watu waingie katika madeni makubwa ya mkopo wa chuo kikuu wakati lengo kuu kwa wote ni kurudi kuja kufanya "kazi za mikono" za fundi bomba, ujenzi na useremala??
Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.

Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!

Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!

Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!

Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:

Masonry & Bricklaying (MB)

Carpentry & Joinery (CJ)

Road Construction & Maintenance (RCM)

Civil Draughting (CD)

Painting & Sign writing (PS)

Welding & Fabrication (WF)

Fitter Mechanics (FM)

Meat Processing Technology (MPT)

Electronics (ELEC)

Motor Vehicle Mechanics (MVM)

Electrical Installation (EL)

Food Production (FP)

Food & Beverage Services & Sales (FBSS)

Front Office Operations (FO)

Plumbing & Pipe fitting (PPF).

Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!

Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!

Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!

Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!

Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.

Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!

Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!

Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!

Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:

Masonry & Bricklaying (MB)

Carpentry & Joinery (CJ)

Road Construction & Maintenance (RCM)

Civil Draughting (CD)

Painting & Sign writing (PS)

Welding & Fabrication (WF)

Fitter Mechanics (FM)

Meat Processing Technology (MPT)

Electronics (ELEC)

Motor Vehicle Mechanics (MVM)

Electrical Installation (EL)

Food Production (FP)

Food & Beverage Services & Sales (FBSS)

Front Office Operations (FO)

Plumbing & Pipe fitting (PPF).

Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!

Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!

Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!

Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!

Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Sasa kwanin wasibadili mitaala ili mtu akimaliza chuo kikuu awe full package kuliko kusoma chuo miaka mi 4 halafu arudi asome tena veta nawadogo zake
 
Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.

Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!

Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!

Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!

Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:

Masonry & Bricklaying (MB)

Carpentry & Joinery (CJ)

Road Construction & Maintenance (RCM)

Civil Draughting (CD)

Painting & Sign writing (PS)

Welding & Fabrication (WF)

Fitter Mechanics (FM)

Meat Processing Technology (MPT)

Electronics (ELEC)

Motor Vehicle Mechanics (MVM)

Electrical Installation (EL)

Food Production (FP)

Food & Beverage Services & Sales (FBSS)

Front Office Operations (FO)

Plumbing & Pipe fitting (PPF).

Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!

Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!

Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!

Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!

Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa kauli yake ni kwamba hakuna sababu yakuwa na vyuo vikuu. Huwezi kumwambia Mwanachuo aende vyeta ili aweze kujiajiri.
Kwa lugha nyepesi CCM imeshindwa kujenga Taifa Linaloenda na Wakati.Haifai Kuendelea Kuongoza.
 
Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!
Nani mwenye wajibu wa kuhwkikisha wanafunzi wanafanya masomo ya vyuo vikuu kwa vitendo? Chongolo na ccm yake ndiyo wameiharibu elimu ya chuo kikuu kwa kuifanya isiwe tofauti na ile ya sekondari.


Alichoikiongea Chongolo ni upuuzi. Duniani kote bunifu na tafiti za kitaslamu hufangwa na wahitimu wa vyuo vikuu. Kwann iwe tofauti hapa kwetu? CCM wamelikoroga Sasa hawataki kulinywa wanalikimbia
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni ya ni dhaifu ukilinganisha na ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Mjumbe anatapika halafu anayala tena. Chongolo kasema nenda VETA jifunze umekanika ujiajiri. Wewe una BSc Mechanical Engineering unajisikia vibaya kuambiwa kwenda VETA? Ni kwa sababu digrii yako ni feki. Mtu mwenye digrii ya kweli ya umekanika hawezi kwenda VETA vile yote yaliyoko VETA anayajua. Shida ni kiburi kuwa ni msomi na kutojituma. Kuna imani potofu kuwa Jamii inatakiwa ikupe kazi. Serkali haina ajira zaidi ya watumishi wake wachache, haina gereji, shamba, nini kinakufanya udhani kuwa inawajibika kukuajiri? Vijana wapuuzi wanadanganywa na CHADEMA kuitukana CCM mbowe kasema tatizo ni tumehuru. Si nendeni kutafuta tumehuru iwape ajira kwenye gereji ya tume?
 
Kama zipi zitaje au unazungumzia ufundi bomba, kuchomelea mageti na kupaka rangi ukuta?
Veta Kuna Kozi nyingi.
Kwani.

Kwani kuendesha basi la Mwendo Kasi unaweza kuipata chuo kikuu.?

Kuendesha mitambo kule migodini, kuendesha madumper na exavetor,ni kazi zenye maslahi mazuri kuliko kukaa na Cheti Cha digrii bila ujuzi Wowote ZAIDI ya theories tu na kukariri hotuba za watu mashuhuri tu. Umejaza kichwani hotuba na falsafa za Pilato ambazo hazina Mchango Wowote kwenye uzalishaji unapokosa Ajira.

Veta Kuna Kozi nyingi ambazo msomi Wa chuo Kikuu angeweza kuzipata angeweza kuajiri watu wengine kutokana na KUWA na Upeo Mkubwa ZAIDI .
Mfano ufundi Wa kuchomelea mageti na kutengeneza vitanda n.k . Ni Ajira KUBWA sana na imeajiri watu wengi tatizo unafanywa Kienyeji sana ,uchochoroni, hakuna ofisi za maana n.k lakini wasomi wangeteka fani hizo zinagekua na ushindani na kuua vitu dhaifu kutoka nje.

Hivi unategemea viatu kutoka itali vinatengenezwa na watu wasio na Elimu kubwa ?
Wasomi ni wakati Sasa wa kujiajiri bila kuchagua kazi.

Nenda Moshi Kuna madereva na makondakta Wana digrii. Hata ukiwaangalia wanavyojiheshimu utaona tofauti na wengine. Wana Bima ya Afya ,NSSF ,free lunch n.k. Madereva Wengi Sasa Wana miliki fuso zao. Wasomi wanaona kusafrisha abiria au mizigo Kwa Ndege au Meli ni jambo la hadhi sana kuliko magari lakini vyote ni vyombo vya usafririshaji. Mmoja ameitwa rubani ,Mwingine Dereva ,Mwingine nahodha au captain .

Wasomi wengi wa vyuo vikuu vya Tanzania wanataka pesa za haraka haraka ndio maana wengi wamekimbilia kwenye bodaboda.
 
Kama ndio hivyo hawa vijana wa sasa walio kidato cha nne na cha sita washauriwe wakimaliza shule waende VETA kwanza kabla ya kujiunga na vyuo vikuu.
Kama Chongolo anaona nchi imeshindwa kutengeneza ajira za vijana wanaotoka vyuo vikuu katika taaluma za Bcom, Social Sciences, Engineering, Medicine n.k aseme wazi tu na aeende kwenye mzizi wa matatizo badala ya kusubiria wamemaliza vyuo vikuu ndo anawaambia warudi chini kujifunza ufundi bomba na useremala tena. Hii ni kuwapoteza pesa na muda.
Yuko sahihi
Kusoma VETA sio dhambi.
Wala Uhalifu.
 
Back
Top Bottom