Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Aseme wazi hakuna haja ya vijana kwenda vyuo vikuu kwanza baada ya kumaliza sekondari. Yani wakimaliza tu kidato cha nne wote waende VETA kwanza au pia badala ya kwenda kuruka kwata JKT wale vijana wa kidato cha sita waende VETA ndipo wajiunge na vyuo vikuu.
Huo ndio ukweli ndugu, mtu aliehitimu VETA ni bora kwa kila kitu ukilinganisha na wa chuo kikuu, ndivyo ilivyo, The way the cookie crumbles..
 
Huo ndio ukweli ndugu, mtu aliehitimu VETA ni bora kwa kila kitu ukilinganisha na wa chuo kikuu, ndivyo ilivyo, The way the cookie crumbles..
Wewe mpika vitumbua uliyehitimu veta usijpe faraja kwa kauli ya Chongolo.

Masomo ya vyuo vikuu hayakupswa kutolewa kama mahubiri ya Mwamposa. Yalipswa kuambatana na vitendo kwa wingi. CCM imefanya siasa ktk elimu ya juu badala kufanya uwekezaji mkubwa utakaowezesha wanafunzi kusoma kwa vitendo
 
Huyo Chongolo angesema hivyo wazi, sio kusubiria watu wamemaliza vyuo vikuu wakiwa kwenye madeni makubwa ya mkopo halafu anasema hatuwezi kuwapa ajira wa vyuo vikuu badala yake warudi kusoma VETA.
Hakukuwa na haja ya mlolongo mrefu wa kidato cha sita na chuo kikuu na gharama za fedha baada ya kumaliza kidato cha nne wakati mpango mzima na suluhu la matatizo ni VETA.
Yaani watanzania tuna Shida, watu wanadhani Chongolo amekosea lakini mimi sioni jipya huko vyuo vikuu haswa Kwa baadhi ya kozi maana ziko ki nadharia tu Wala hazina mchango wa maana . Mtu aliyeenda Veta ni Bora zaidi kuliko KWENDA ELIMU ya juu haswa Tanzania
 
Yaani watanzania tuna Shida, watu wanadhani Chongolo amekosea lakini mimi sioni jipya huko vyuo vikuu haswa Kwa baadhi ya kozi maana ziko ki nadharia tu Wala hazina mchango wa maana . Mtu aliyeenda Veta ni Bora zaidi kuliko KWENDA ELIMU ya juu haswa Tanzania
CCM ndiyo tatizo. Wame-politicize elimu ya chuo kikuu inonekana Kama ya chekechea. Suluhisho siyo kukimbilia veta bali kuwekeza zaidi ili mafunzo ya vitendo yatolewe. CCM wanalikimbia hili
 
Chongolo ailekeze CCM ianze kubadilisha mfumo wa elimu baada ya kidato cha nne vijana waelekee VETA badala ya Advance level na vyuo vikuu na atoe hizi sababu zenu.
Hakuna haja ya kusubiria waende katika mlolongo mrefu wa zaidi ya miaka mitano ambapo wanakuwa wamepoteza muda na fedha wakati VETA na kuwa fundi bomba, ujenzi, gari, seremala n.k ndio mpango mzima
Elimu haina Mwisho.
Chongolo kaongea fact tupu.
Vijana wengi wanaotoka vyuoni wanajua white collar jobs, Wakati vijana wengi wanaotoka Veta ndiyo washika spana, ndiyo wanaojua kushika chepe, nyundo, grisi, kunyoosha ukuta, kurepair simu, computer etc.

Kiufupi vijana wengi wanaotoka vyuoni wana matheory mengi kichwani ambayo hata hayo nayo wanayasahau wakishagraduate, Ila vijana wa Veta wana skills za kufanya vitu vitokee
 
Kwani lengo la kuanzishwa kwa VETA ni nini na lengo la kuanzishwa kwa chuo kikuu ni nini? Kuna sehemu serikali haitimizi wajibu wake.
Chongolo ni sehemu ya hiyo serikali hivyo ingekuwa busara kama dongo au ushauri angelitoa upande wa serikali.

Wanafunzi wanakwenda chuo kikuu kujifunza kile ambacho kinatakiwa kifundishwe chuo kikuu na iwapo hajafundishwa kile alichostahili kukipata kosa la mwanafunzi ni nini?
Uko sahihi kwa 100%
 
Mbona kasema ukweli, amedhihirishia umma kwamba elimu yetu ni ya ovyo, kwahiyo ni apingwe tu hata kama kasema ukweli et
 
Yaani na bachelor yake akaanze kusoma tena kupiga rangi sijui kuunganisha umeme?

Halafu hata hizo kazi za ufundi zenyewe zitawasaidia hao vijana kupata hela ya kula tu hakuna la maana watafanya.

Nachukia sana watu wanaorahisisha vitu wakati mfumo wa elimu wametengeneza wao. Like seriously, uanze tena kusoma kuunganisha mabomba?

Halafu hivi yeye amewahi kujiajiri hata kidogo, kama hajui kujiajiri ni moja ya kazi ngumu sana, yaani anakuwa na maisha ambayo uncertainly hana tofauti na "deiwaka" ukiamka mpaka mtu awaze kuja kwako kupata huduma.
 
Wale wataalam wanaotengeneza mitambo ya gesi pale kinyerezi na waotengeneza and the likes wakafundishe chuo kikuu.

Wale wahasibu wabobezi warudi wakafundishe.
Wale wataalam wa mabarabara na ujenzi walioko kwenye field muda mrefu wakafundishe.

Wale miners wabobezi kule GGM na Nyamongo warudishwe wakafundishe...
Nakazia. Wanafunzi wawe huko field kwa miaka yote 3 au 4 mpk siku wanahitimu.
 
Nchi zilizoendelea ni kwa sababu walifanya na wanafanya "division of labour".
Nainga kauli yake mkono. Hatujuwi kazi nyingine wasomi hii ni hatari. We will die masikini sana
 
Chongolo nae fala tu. Hajui anachokisema huwezi kumwambia mtu mwenye degree ya uhasibu au manunuzi ajiajiri. Serikali iweke mpango madhubuti kusaidia watakaokosa ajira mana mfumo unaotumika kuajir watu utatoa watakaokosa kila mwaka mpaka dunia iishe. Aache ufala wake na yeye kama hajui cha kuongea asiongee
Weweee!Ebu kosome VETA huko.Usitusumbue na fikra mfu zako.
 
Kwani lengo la kuanzishwa kwa VETA ni nini na lengo la kuanzishwa kwa chuo kikuu ni nini? Kuna sehemu serikali haitimizi wajibu wake.
Chongolo ni sehemu ya hiyo serikali hivyo ingekuwa busara kama dongo au ushauri angelitoa upande wa serikali.

Wanafunzi wanakwenda chuo kikuu kujifunza kile ambacho kinatakiwa kifundishwe chuo kikuu na iwapo hajafundishwa kile alichostahili kukipata kosa la mwanafunzi ni nini?

Huko VETA nacho ndo balaa tupu au yawezekana mnawaona tu watoto wakitembelea mtaani ila kichwani watupu kwelikweli...VETA nyingi zimebaki tu madarasa na meza pamoja na mitambo za kuranda mbao za old modern hakuna jipya.
Elimu yetu inachezewa kabisa, chuo cha ufundi kinachoitwa VETA, mmeshajua ni nani anawafundisha huko? This is circle...wanafunzi waliotoka huko chuo kikuu empty kama wadau wengine wanavyosema ndo wanafundisha huko VETA kisichokua na vifaa vya kufundishia bali wanafunzi wanakuja na tester, mkasi, mwiko, kono bao.....

Hatari hatari hatari.....tulioko field tunajua
Hii ni kweli.
 
Kujiajiri sio Suluhu la tatizo la ajira. Ajira ni fursa. Mm naamini kwenye vitu viwili tu... Mfumo wa piramid kwenye ajira upate Suluhu mana huo ndo unasababisha watu wenye digrii mtaani wasio na kazi wapelekewa moto wa mateso na kufedheheshwa.
Tatizo la ajira ni uhaba wa fursa..

Fursa haziwez kuwa chache kama watu wachache. Watu wakiwa wengi fursa lazima zitokee Kwa uchache. Kampeni za kukontro idadi ya watu zikifanikiwa tatizo hili litapatiwa utatuzi
Unaweza kutaja japo nchi moja tu duniani iliyojitosheleza kiajira kwa raia wake wote?.
 
Kwani lengo la kuanzishwa kwa VETA ni nini na lengo la kuanzishwa kwa chuo kikuu ni nini? Kuna sehemu serikali haitimizi wajibu wake.
Chongolo ni sehemu ya hiyo serikali hivyo ingekuwa busara kama dongo au ushauri angelitoa upande wa serikali.

Wanafunzi wanakwenda chuo kikuu kujifunza kile ambacho kinatakiwa kifundishwe chuo kikuu na iwapo hajafundishwa kile alichostahili kukipata kosa la mwanafunzi ni nini?

Huko VETA nacho ndo balaa tupu au yawezekana mnawaona tu watoto wakitembelea mtaani ila kichwani watupu kwelikweli...VETA nyingi zimebaki tu madarasa na meza pamoja na mitambo za kuranda mbao za old modern hakuna jipya.
Elimu yetu inachezewa kabisa, chuo cha ufundi kinachoitwa VETA, mmeshajua ni nani anawafundisha huko? This is circle...wanafunzi waliotoka huko chuo kikuu empty kama wadau wengine wanavyosema ndo wanafundisha huko VETA kisichokua na vifaa vya kufundishia bali wanafunzi wanakuja na tester, mkasi, mwiko, kono bao.....

Hatari hatari hatari.....tulioko field tunajua
Wewe uliyesomea MAENDELEO YA JAMII,nje ya kuajiriwa unaweza kujiajiri kufanya kipi?.
 
Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!

Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Na bado unasisitiza wahitimu wa chuo kikuu, wakajiunge chuo cha ufundi, VETA.
 
Nani mwenye wajibu wa kuhwkikisha wanafunzi wanafanya masomo ya vyuo vikuu kwa vitendo? Chongolo na ccm yake ndiyo wameiharibu elimu ya chuo kikuu kwa kuifanya isiwe tofauti na ile ya sekondari.


Alichoikiongea Chongolo ni upuuzi. Duniani kote bunifu na tafiti za kitaslamu hufangwa na wahitimu wa vyuo vikuu. Kwann iwe tofauti hapa kwetu? CCM wamelikoroga Sasa hawataki kulinywa wanalikimbia
Vitendo katika fani ipi?Anayesomea maendeleo ya jamii anaweza fanya mafunzo ya vitendo vipi ili mtaani ajiajiri?.
 
Back
Top Bottom