Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Aseme wazi hakuna haja ya vijana kwenda vyuo vikuu kwanza baada ya kumaliza sekondari. Yani wakimaliza tu kidato cha nne wote waende VETA kwanza au pia badala ya kwenda kuruka kwata JKT wale vijana wa kidato cha sita waende VETA ndipo wajiunge na vyuo vikuu.
Huo ndio ukweli ndugu, mtu aliehitimu VETA ni bora kwa kila kitu ukilinganisha na wa chuo kikuu, ndivyo ilivyo, The way the cookie crumbles..