BWANA WANGU
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 337
- 797
yuko sahihi , ila kuna wakati nashangaa kwa nini serikali inashindwa kuajiri walimu hasa shule za kata unakuta shule mwalimu wa hesabu mmoja shule nzima au fizikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa why mfungui hizo ofisi ili muwe mmejiajiri?.Kwani unadhani wanaotoa ushauri kuhusiana na unyanyasaji wa kijinsia pamoja na kusaidia jamii namna bora ya kfungua na kuanzisha miradi ya kujikwamua kama vile kuanzisha vikundi, namna ya kupata mikopo kwa ajili ya makundi, kuandika andiko ili waweze kusajiliwa, kuandika katiba pamoja na kujisajili.
kazi ni nyingi sana...sema mnajua kazi za ki ufundi.
Kweli wa JKT waende na VETA waende iyo miezi 3 na cheti juu .Kama ndio hivyo hawa vijana wa sasa walio kidato cha nne na cha sita washauriwe wakimaliza shule waende VETA kwanza kabla ya kujiunga na vyuo vikuu.
Kama Chongolo anaona nchi imeshindwa kutengeneza ajira za vijana wanaotoka vyuo vikuu katika taaluma za Bcom, Social Sciences, Engineering, Medicine n.k aseme wazi tu na aeende kwenye mzizi wa matatizo badala ya kusubiria wamemaliza vyuo vikuu ndo anawaambia warudi chini kujifunza ufundi bomba na useremala tena. Hii ni kuwapoteza pesa na muda.
Poyoyo.Mjumbe anatapika halafu anayala tena. Chongolo kasema nenda VETA jifunze umekanika ujiajiri. Wewe una BSc Mechanical Engineering unajisikia vibaya kuambiwa kwenda VETA? Ni kwa sababu digrii yako ni feki. Mtu mwenye digrii ya kweli ya umekanika hawezi kwenda VETA vile yote yaliyoko VETA anayajua. Shida ni kiburi kuwa ni msomi na kutojituma. Kuna imani potofu kuwa Jamii inatakiwa ikupe kazi. Serkali haina ajira zaidi ya watumishi wake wachache, haina gereji, shamba, nini kinakufanya udhani kuwa inawajibika kukuajiri? Vijana wapuuzi wanadanganywa na CHADEMA kuitukana CCM mbowe kasema tatizo ni tumehuru. Si nendeni kutafuta tumehuru iwape ajira kwenye gereji ya tume?
Ipi afadhali, VETA au tumehuru? According to Mr Tundu all these problems of ajira and ugumu wa maisha na bei kupanda, jibu lake ni tumehuru.Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.
Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!
Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!
Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!
Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:
Masonry & Bricklaying (MB)
Carpentry & Joinery (CJ)
Road Construction & Maintenance (RCM)
Civil Draughting (CD)
Painting & Sign writing (PS)
Welding & Fabrication (WF)
Fitter Mechanics (FM)
Meat Processing Technology (MPT)
Electronics (ELEC)
Motor Vehicle Mechanics (MVM)
Electrical Installation (EL)
Food Production (FP)
Food & Beverage Services & Sales (FBSS)
Front Office Operations (FO)
Plumbing & Pipe fitting (PPF).
Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!
Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!
Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!
Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!
Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Hawa wa sasa wanachoweza ni kutengeneza connection na kubeti tu.Wanavyuo waliokuwa wanaandamana walikuwa ni wa zamani sio hawa wa sasa hivi hawa ni nyoro nyoro
Kwahiyo Chongolo anataka vijana wote wa vyuo vikuu wawe mafundi mchundo ??Weka ushabiki wa kivyama pembeni, utaona mantiki halisi ya aliyoysema Katibu Mkuu huyo.
Kuwa na digrii si hoja, hoja ni kuwa na uwezo wa kujiajiri.
Mtu mwenye ujuzi wake toka Veta wa kuunganisha mabomba ya maji taka, na mtu aliye na digrii ya political sayansi ni yupi aliye na urahisi wa kujiajiri mwenyewe?
Na itanoga zaidi, kama huyu msomi wa political sayansi akawa na ujuzi wa kutengeneza vitu na kuitumia kwa upana zaidi hiyo digrii yake, badala ya kukaa nayo tu akiilea huku akiwa tegemezi kwa wengine.
Digrii kwa siku hizi siyo nyenzo tena ya kupatia kazi.
Kuna fani zilipaswa kufutwa vyuoni Kama tungekuwa serious. Kama ccm inajua fani hizi hazina practical application mitaani kwann zifundishwa?? CCM ni wangeseVitendo katika fani ipi?Anayesomea maendeleo ya jamii anaweza fanya mafunzo ya vitendo vipi ili mtaani ajiajiri?.
Aliyesababaisha niwe mzigo ni ccm. Walipaswa wawekeze vya kutosha ktk vyuo vikuu ili wanafunzi wasome kwa vitendo na siyo kuhubiriwa na kupewa notes tu darasani. Chongolo anapaswa kuwajibika ktk hili.Isomi wako usio na Tija una manufaa gani Kwako na jamii zaidi ya kuwa mzigo?
Huelewinuhusika wa ccm ktk elimu ya vyuo vikuu? Matatizo ya kusoma veta haya.Ccm ndio Huwa inafundisha watu huko vyuoni? Kwanza ni kazi ya mhitumu kuonesha Tija ya Elimu yake
Kwani Singapore wasomi ndo walitengeneza Google?Msomi ndiyo ulipaswa utengeneze PRIVATE SECTOR ndani ya nchi na nje ya nchi,lakini eti wewe unawaza watu waje toka nje ya nchi ndiyo wa anzishe PRIVATE SECTOR ndiyo wewe uajiriwe!.Aisee!Hii ni aibu kwa msomi kuwa na mawazo ya aina hii.
Kuna shida tu kwenye uandishi wako na unataka utuaminishe ulichokiandika?Mkuu siyo kwamba ni yeye hataki tu kufanya bali ni hajui kabisa kutenda.Mimi nimefanya kazi na wahandisi wa umeme miaka ya 2000 huko,yaani muhandi hajua jinsi ya kubadili ballistic chock katika tubelight flame!?.
Mwengini alishindwa kupima ufanisi wa three phase earthing katika project yake.Baada ya kangaika kwa muda mrefu bila mafanikio,ndiyo akaelekezwa kuja katika ofisi yetu ili kumpa msaada.
Kifipu mambo bado ni magumu kwa wasome wetu.
We mjinga sikiliza. Vyuo vikuu kutoa degree za mahubiri bila vitendo siyo mfumo wa dunia. Nenda kasmea hata diploma tu huko nje utaiona tofauti.Mfumo mbovu kwani ni mfumo unique au ndio mifumo ya Dunia?
Kasema kweli, shida ni kwamba Serikali imewekeza saba kwenye vyuo vikuu badala ya vyuo ya kati, VETA vilitaliwa kuwa ni vyuo vyenye kupata fund ndefu sana kutoka Serikalini lakini sio hivyoChongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.
Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.
Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?
Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.
Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.
Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.
Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?
MSIKUBALI!
Kwani lazma ifundishwe hiyo? Sinifutwe kama haina tija?Field katika fani ya MAENDELEO YA JAMII hata ukikaa miaka 4,unaweza jiajiri kufanya kipi?.
Unajua maana ya kuwekeza Sana?? Ingekuwa imewekeza Sana wanafunzi wangekuwa wanasoma kwa vitendo zaidi kuliko kuhubiriwa.Kasema kweli, shida ni kwamba Serikali imewekeza sana kwenye vyuo vikuu badala ya vyuo ya kati, VETA vilitaliwa kuwa ni vyuo vyenye kupata fund ndefu sana kutoka Serikalini lakini sio hivyo
Toa upumbavu wako hapa wewe fala,watu wangapi wamesoma vyo vya Nje na ni jobless hapa Tanzania?We mjinga sikiliza. Vyuo vikuu kutoa degree za mahubiri bila vitendo siyo mfumo wa dunia. Nenda kasmea hata diploma tu huko nje utaiona tofauti.
Tatizo lako umesoma chekechea mpk kidoto cha 6 huko Matipwinyo Nanguruwe. Halafu ukaenda kuchukua "digrii" Tandabui University
Nitumie CV zako nikuajiri Kenge weweWeweee!Ebu kosome VETA huko.Usitusumbue na fikra mfu zako.