Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Uwezekano wa Mwanaccm kutumia akili yake vizuri ni mdogo sana, yule chongolo aliyekuwa anakoromewa na Makonda alikuwa anajitambua kidogo akilinganishwa na huyu chongolo wa Ccm.
 
Hatufungui na nani mkuu, usipende sana kupachika watu sifa ambazo siyo zao...natoa mawazo yangu humu lakini tayari unajifanya unajua hadi kazi au kiwango cha elimu yangu.

Kuwa makini utawapoteza wateja wako (maboss wako). Shauri yako.
[emoji23][emoji23][emoji23]🖒
 
Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.

Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!

Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!

Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!

Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:

Masonry & Bricklaying (MB)

Carpentry & Joinery (CJ)

Road Construction & Maintenance (RCM)

Civil Draughting (CD)

Painting & Sign writing (PS)

Welding & Fabrication (WF)

Fitter Mechanics (FM)

Meat Processing Technology (MPT)

Electronics (ELEC)

Motor Vehicle Mechanics (MVM)

Electrical Installation (EL)

Food Production (FP)

Food & Beverage Services & Sales (FBSS)

Front Office Operations (FO)

Plumbing & Pipe fitting (PPF).

Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!

Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!

Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!

Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!

Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Una mtazamo wa kipumbavu. Unaandika maelezo mareeefu ambayo hayana tija.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-253326292.jpg
 
Sina uhakika kama unaelewa hata maana ya private "sector" ni nini, Maana naona hapa unaongelea mtu akaanzishe private sector!
Msomi ndiyo ulipaswa utengeneze PRIVATE SECTOR ndani ya nchi na nje ya nchi,lakini eti wewe unawaza watu waje toka nje ya nchi ndiyo wa anzishe PRIVATE SECTOR ndiyo wewe uajiriwe!.Aisee!Hii ni aibu kwa msomi kuwa na mawazo ya aina hii.
 
Field katika fani ya MAENDELEO YA JAMII hata ukikaa miaka 4,unaweza jiajiri kufanya kipi?.
Hao watu wanahusika katika kuandaa na kushauri kuhusu miradi mbali mbali, kwahiyo, watu wa fani hiyo wanaweza kujiajiri kwa njia hiyo ya kutoa ushauri.
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Hukumsikia Mbunge Jumanne Kibera Kishimba?,

Mtoto anachukuliwa kupelekwa shule akiwa na miaka {x} una mrudisha ameshakuwa mtu mzima,hajui kulima,kuchunga nk.Na kazi ofisini mpaka mtu astaff ndio mwengine aingie kwenye nafasi ile fikiria kwa mwaka wahitimu wangapi wanamaliza Chuo na sekta ngapi zinaingiza waajiriwa wapya,piga mahesabu kwa kila mwaka
 
Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.

Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!

Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!

Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!

Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:

Masonry & Bricklaying (MB)

Carpentry & Joinery (CJ)

Road Construction & Maintenance (RCM)

Civil Draughting (CD)

Painting & Sign writing (PS)

Welding & Fabrication (WF)

Fitter Mechanics (FM)

Meat Processing Technology (MPT)

Electronics (ELEC)

Motor Vehicle Mechanics (MVM)

Electrical Installation (EL)

Food Production (FP)

Food & Beverage Services & Sales (FBSS)

Front Office Operations (FO)

Plumbing & Pipe fitting (PPF).

Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!

Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!

Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!

Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!


Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Wasiopenda maarifa hawatakuelewa
Umetisha sana hasa hapo kwenye vocational courses, ndio wajue competence based educational training inapatikana wapi hao wapuuzi,. They don't do situational analysis and occupational skills analysis.

Hii nchi imejaa takataka nyingi sana
 
Hukumsikia Mbunge Jumanne Kibera Kishimba?,

Mtoto anachukuliwa kupelekwa shule akiwa na miaka {x} una mrudisha ameshakuwa mtu mzima,hajui kulima,kuchunga nk.Na kazi ofisini mpaka mtu astaff ndio mwengine aingie kwenye nafasi ile fikiria kwa mwaka wahitimu wangapi wanamaliza Chuo na sekta ngapi zinaingiza waajiriwa wapya,piga mahesabu kwa kila mwaka
The genius kishimba
 
Hao watu wanahusika katika kuandaa na kushauri kuhusu miradi mbali mbali, kwahiyo, watu wa fani hiyo wanaweza kujiajiri kwa njia hiyo ya kutoa ushauri.
Wengine hawajui bado umuhimu wa wataalam wa maendeleo ya jamii katika kufanikisha shughuli za wananchi kujikwamua kwa kupata mikopo kupitia vikundi.
Pia Ustawi wa Jamii pia wanahitajika sana ili kulewa mwangaza katika jamii ili unyanyasaji kwenye jamii iweze kupungua.

Unashangaa iweje wanasheria bado wanakosa kujiajiri wakati katika jamii zetu bado wananchi wanashulumiwa haki zao nyingi.
Mfano mdogo, kuna ajali zinatokea kila wakati huko barabarani...Gari ina bima kubwa lakini bado abiria wengi allopata kuumia hawalipwi na wala hawajui pakuanzia...wanasheria badala ya kuwafuata hawa waathirika na kuingia nao mkataba then wao washukulikie malipo yao ili wale % wamekaa tu hakuna ajira.
 
Takataka tupu vyuo vikuuu nani aandamane? kwanza kuna University students wangapi wamejiunga humu au wanasikiliza TV/Radio kujua what is going around thw clock? ? Huu ni ukumbi ambapo mtu unaweza kutoa sauti yako ikasikika! Muulize aliye karibu nawe kama ni member wa JF?

Pili wahadhiri sasa wana wa treat university students kama watoto wa sekondari. Ile heshima ya University haiko tena. WAULIZE VIJANA WA MAZIMBU SUA wanavyokuwa treated, kama watoto wa sekondari. Wanawanyanyasa watoto na mitihani kwa kuwaambia kuwa nahakikisha hutoki hapa kama hujanipa ngono. Nina mifano ya wazi! Nani awakemee

Tatu hata hao wahadhiri wenyewe ni wa mchongo! Ni chekechea hivyo hivyo! Hakuna mwenye sifa/hadhi ya kuwa Lecturer wa chuo kikuu. Kama wako ni very few. Si tunawaona products wanazozitoa....

Mwisho Chongole tunaomba CV yake. naye ni wa mchongo hivyo hivyo. Yuko pale kwa undungunisation wa samia!
Umenena sana maana hao wahadhiri baadhi yao umeme ukikata hawezi kufundisha maana anasoma neno kwa neno na kuvushatu kurasa zisonge
Hapo nakupa heko
 
Umenena sana maana hao wahadhiri baadhi yao umeme ukikata hawezi kufundisha maana anasoma neno kwa neno na kuvushatu kurasa zisonge
Hapo nakupa heko
Miaka ya 80 UDSM sikuona Prof/ Lecturer anakuja na karatasi lecture hall! Nilikuwa dept of science, sikuona. Yalikuwa yanatoka kichwani na enzi hizo technology kama ya sasa haikuwepo!
 
Miaka ya 80 UDSM sikuona Prof/ Lecturer anakuja na karatasi lecture hall! Nilikuwa dept of science, sikuona. Yalikuwa yanatoka kichwani na enzi hizo technology kama ya sasa haikuwepo!
Ukifika pale leo utasikitika. Basi wewe elewatu hivyo ngoja nisiendelee kwa umri wako umenielewa
 
Kima wewe!Umeshindwa kujiajiri kwa kukosa ujuzi halafu utaki kwenda VETA!?.Angalia shemeji yako atakufanya mke wake wa pili hapo kwa dadako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niko siriaz.. Kwann nikudanganye fundi ujenzi!. Yani tu naongea mambo kitaalamu kumbe tu naongea na fundi maiko
 
Huyu haj
Hao watu wanahusika katika kuandaa na kushauri kuhusu miradi mbali mbali, kwahiyo, watu wa fani hiyo wanaweza kujiajiri kwa njia hiyo ya kutoa ushauri.
Hajui kitu huyu mnahangaika nae bure tu. Na hafai kusikilizwa hapa hajui anazungumzia jambo lenye sifa gan na nini aongee. Hata kama Ana PhD huyu tatizo kama hili hawez toa hoja ya kusikilizwa Kwa akili hizo kima tu huyo
 
Muongo sanaaa wee, mie namjua muhitimu wa DIT alisoma ME, Yuko VETA songea anafundisha, na huko Morogoro unaposema hata hapajui. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Usidanganye hapa.
Niambie chuo gani kikuu wana fundisha walimu wa ufundi?...sikatai walimu wapo walio toka chuo kikuu lakini wana fundisha masomo bebeshi computer English Civics TD na Enginnering science..Msingi wangu ni kuwa masomo ya fani uselamala ujenzi bomba magari n.k chuo kipo morogoro VETA ndio wana kisimamia hili kupata walimu bora wa ufundi na mwalimu lazima awe fundi amefudhu vigezo vya kujiunga..Huyo jamaa yako kaa ajiliwa atakuwa mwalimu ana fundisha Enginnering science
 
Niambie chuo gani kikuu wana fundisha walimu wa ufundi?...sikatai walimu wapo walio toka chuo kikuu lakini wana fundisha masomo bebeshi computer English Civics TD na Enginnering science..Msingi wangu ni kuwa masomo ya fani uselamala ujenzi bomba magari n.k chuo kipo morogoro VETA ndio wana kisimamia hili kupata walimu bora wa ufundi na mwalimu lazima awe fundi amefudhu vigezo vya kujiunga..Huyo jamaa yako kaa ajiliwa atakuwa mwalimu ana fundisha Enginnering science
Hapa ndo umefafanua vyemaaa. Nimekupataaa
 
Back
Top Bottom