econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Elimu haina Mwisho.
Chongolo kaongea fact tupu.
Vijana wengi wanaotoka vyuoni wanajua white collar jobs, Wakati vijana wengi wanaotoka Veta ndiyo washika spana, ndiyo wanaojua kushika chepe, nyundo, grisi, kunyoosha ukuta, kurepair simu, computer etc.
Kiufupi vijana wengi wanaotoka vyuoni wana matheory mengi kichwani ambayo hata hayo nayo wanayasahau wakishagraduate, Ila vijana wa Veta wana skills za kufanya vitu vitokee
Siku hizi elimu inadharaulika kuliko maelezo kisa ajira. Wapo wengi tu wanaelimu ya chuo kikuu wamejiajiri na wengine wameajiriwa, tusidanganyane kwa mifano midogo, wakati serikali ndio chanzo Cha yote haya.