Uchaguzi 2020 Kauli ya Jaji Kaijage na yanayopangwa kufanywa na NEC kwa wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Kauli ya Jaji Kaijage na yanayopangwa kufanywa na NEC kwa wagombea Urais

Tume yetu ya sasa inatokana na Article 74 ya katiba yetu , Art74 (6)(a-e)
kazi za tume zimesemwa hapa:
  • The overall supervision and conduct of Presidential and Parliamentary elections in the United Republic of Tanzania and local government elections in Tanzania Mainland;
  • Provide voter education;
  • Coordinate and supervise persons offering voter education; and
  • Make regulations and guidelines that facilitate the effective operationalization of the day-to-day conduct of electoral duties.
Hakuna hata kipengere kimoja kinachosema kwamba watatafsiri sheria...

Mahakama inapata nguvu zake hapa katika Art. 107A katiba yetu...

Katiba inapatiukana hapa: https://rsf.org/sites/default/files/constitution.pdf
Tatizo kwa sasa ni kuwa ktk nchi hii rais amepotoshwa kuwa yuko juu ya sheria kitu ambacho sio kweli.

Anafikiri anaweza tu akaamuru chochote kifanyike na kikafanyika na wateule wake ambao wamekuwa na unyenyekevu wa kondoo kwake wana kawaida ya kutii bila kuhoji.

Endapo Magufuli ambaye ana kawaida ya kuogopa ushindani akijaribu kulazimisha Lissu akatwe asigombee, hiyo itapelekea uchaguzi wa Tanzania kukosa credibility mbele ya macho ya jumuiya ya kimataifa na itapelekea serikali yake itengwe hali ambayo itafanya uchumi uporomoke na yeye kuchukiwa na nchi nzima. Achunge sana.
 
Tatizo kwa sasa ni kuwa ktk nchi hii rais amepotoshwa kuwa yuko juu ya sheria kitu ambacho sio kweli.

Anafikiri anaweza tu akaamuru chochote kifanyike na kikafanyika na wateule wake ambao wamekuwa na unyenyekevu wa kondoo kwake wana kawaida ya kutii bila kuhoji.

Endapo Magufuli ambaye ana kawaida ya kuogopa ushindani akijaribu kulazimisha Lissu akatwe asigombee, hiyo itapelekea uchaguzi wa Tanzania kukosa credibility mbele ya macho ya jumuiya ya kimataifa na itapelekea serikali yake itengwe hali ambayo itafanya uchumi uporomoke na yeye kuchukiwa na nchi nzima. Achunge sana.

Labda tukitengwa itawaingia akilini... maana siku akishindwa kulipa mishahara na watu kuingia barabarani ndio watajua kwamba paka ana roho saba.
 
Mzee atulie; akijichanganya kidogo tu ataliingiza taifa kwenye machafuko makubwa!!

Hekima itumike, asije akajikuta anamalizia maisha yake yaliyobakia na safari za ze hegi.
 
Lissu amepitishwa kugombea Urais 2020 kupitia CDM
 
Kauli iliyotolewa jana na Jaji Kaijage ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ya kuvitaka vyama kuteua Wagombea makini ili baadaye Tume isilaumiwe siyo ya bahati mbaya.

Taarifa za uhakika nilizopata toka ndani ya NEC ni kuwaengua Lissu na Membe kwa technicalities. CHADEMA NA ACT Wazalendo waangalie hizo technicalities mapema wajiandae kisaikolojia.

Uongozi wa juu uliopo hautaki kabisa kampeni hasa kwenye nafasi ya juu ya uongozi. Wangependa kubaki na akina shibuda na lipumba ili kampeni zisiwe na msisimko.

Lissu ana hoja ya maadili ya kuvuliwa ubunge, Nyalandu na Membe wana hoja za kufukuzwa uanachama wa chama chao. Wanasheria wanahaha kutafsiri hoja hizo katika misingi ya kikatiba ili kuwaengua ulingoni na malaika mkuu apite kimya.

Tahadhari kubwa ifanyike na sauti zipazwe.
Kwahiyo mnawataka hao kina Lissu wawe juu ya Sheria. Kama mtu amekosa sifa za kikatiba kwanni mnalazimisha achaguliwe. Mnachotafuta ni nn hasa?
 
3 August 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Toka Mlimani City : mkutano wa Baraza Kuu wa Chadema:

Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA wamepiga kura kupendekeza nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapigia kura ifuatavyo :

Wajumbe 442 wa Baraza Kuu wapiga kura :
Matokeo: Tundu Lissu 405 , Lazaro Samuel Nyalandu 36 na Dr. Mayrose Kavura Majinge 1.
 
Kama haya ni ya kweli, hivi hii tume ni kuengua au kusimamia uchaguzi? Wanataka kuwa chanzo cha machafuko huko mbeleni maana vijana wa 1980 kwao jambo la kuchomoa betri ni rahisi sana.

Mataifa ya nje sijui yanaionaje nchi yetu na democrasia ya kuengua watu.

Chondechonde tume, msigeuke kuwa mahakama na kuanza kutafsiri sheria... kuwa na mkuu wenu ex judge hakuwapi legitimacy ya kuchukua nafasi ya mahakama...acheni.

inajulikana wazi huko chato, JPM tangu akiwa mbuge anapenda sana hizi mambo za kupita bila kupingwa... kuwatoa watu kwa technicalities..ifike mwisho sasa.

Ingefaa pia kuwepo na mapingamizi ya wanaoanza kampeni kabla ya Muda au kuwachafuwa wabunge... mf chagueni ccm Iwaletee maendeleo... tume kuweni fair play tafadharini sana.
Tume inafuata sheria msitake kulazimisha Tume ivunje sheria kisa kuna mtu mna mapenzi nae. Sheria haiangalii mtu usoni.
 
Kama haya ni ya kweli, hivi hii tume ni kuengua au kusimamia uchaguzi? Wanataka kuwa chanzo cha machafuko huko mbeleni maana vijana wa 1980 kwao jambo la kuchomoa betri ni rahisi sana.

Mataifa ya nje sijui yanaionaje nchi yetu na democrasia ya kuengua watu.

Chondechonde tume, msigeuke kuwa mahakama na kuanza kutafsiri sheria... kuwa na mkuu wenu ex judge hakuwapi legitimacy ya kuchukua nafasi ya mahakama...acheni.

inajulikana wazi huko chato, JPM tangu akiwa mbuge anapenda sana hizi mambo za kupita bila kupingwa... kuwatoa watu kwa technicalities..ifike mwisho sasa.

Ingefaa pia kuwepo na mapingamizi ya wanaoanza kampeni kabla ya Muda au kuwachafuwa wabunge... mf chagueni ccm Iwaletee maendeleo... tume kuweni fair play tafadharini sana.
Mkuu tumia akili zako vizuri usitumie hisia za ushabiki, NEC ndiye msimamizi wa uchaguzi NEC ni mwamuzi wa mchezo wa kura naye ana nguvu ya kufanya hayo.
 
Hili linaweza tokea, tujipe muda coz mkulu ana kila dalili ya kutaka kupita bila kupingwa.
 
Kama haya ni ya kweli, hivi hii tume ni kuengua au kusimamia uchaguzi? Wanataka kuwa chanzo cha machafuko huko mbeleni maana vijana wa 1980 kwao jambo la kuchomoa betri ni rahisi sana.

Mataifa ya nje sijui yanaionaje nchi yetu na democrasia ya kuengua watu.

Chondechonde tume, msigeuke kuwa mahakama na kuanza kutafsiri sheria... kuwa na mkuu wenu ex judge hakuwapi legitimacy ya kuchukua nafasi ya mahakama...acheni.

inajulikana wazi huko chato, JPM tangu akiwa mbuge anapenda sana hizi mambo za kupita bila kupingwa... kuwatoa watu kwa technicalities..ifike mwisho sasa.

Ingefaa pia kuwepo na mapingamizi ya wanaoanza kampeni kabla ya Muda au kuwachafuwa wabunge... mf chagueni ccm Iwaletee maendeleo... tume kuweni fair play tafadharini sana.
Kazi ya tume ni kusimamia process nzima mwanzo mpaka mwisho wa uchaguzi.Kwa hiyo hata anayejulikana ni jambazi aliyekubuhu akiptishwa na chama chake kwa ushabiki tu basi tume nayo impitishe ? sasa hiyo ni tume kweli ?
 
Kazi ya tume ni kusimamia process nzima mwanzo mpaka mwisho wa uchaguzi.Kwa hiyo hata anayejulikana ni jambazi aliyekubuhu akiptishwa na chama chake kwa ushabiki tu basi tume nayo impitishe ? sasa hiyo ni tume kweli ?

" hata anayejulikana ni jambazi aliyekubuhu"- Ushahidi uko wapi kwamba ni jambazi na ni mahakama gani ilimpata na hatia huyo jambazi sugu au ni maneno ya mtaani tu?

Kusimamia process sio kutafsiri shera ndugu... soma Art 74 ya katiba yetu ujue mambo, sio hizi habari za kukaririshwa...
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
TAL ni mzalendo nambari one, labda hujui tafsiri halisi ya mzalendo!
 
Kazi ya tume ni kusimamia process nzima mwanzo mpaka mwisho wa uchaguzi.Kwa hiyo hata anayejulikana ni jambazi aliyekubuhu akiptishwa na chama chake kwa ushabiki tu basi tume nayo impitishe ? sasa hiyo ni tume kweli ?
Ila ivizie kumzuia ili mgombea mwoga apite bila kupingwa, au ashindane na akina Dovutwa na Shibuda?
 
Kazi ya tume ni kusimamia process nzima mwanzo mpaka mwisho wa uchaguzi.Kwa hiyo hata anayejulikana ni jambazi aliyekubuhu akiptishwa na chama chake kwa ushabiki tu basi tume nayo impitishe ? sasa hiyo ni tume kweli ?
Tume ndiye Lefa wa mchezo,
 
Kama haya ni ya kweli, hivi hii tume ni kuengua au kusimamia uchaguzi? Wanataka kuwa chanzo cha machafuko huko mbeleni maana vijana wa 1980 kwao jambo la kuchomoa betri ni rahisi sana.

Mataifa ya nje sijui yanaionaje nchi yetu na democrasia ya kuengua watu.

Chondechonde tume, msigeuke kuwa mahakama na kuanza kutafsiri sheria... kuwa na mkuu wenu ex judge hakuwapi legitimacy ya kuchukua nafasi ya mahakama...acheni.

inajulikana wazi huko chato, JPM tangu akiwa mbuge anapenda sana hizi mambo za kupita bila kupingwa... kuwatoa watu kwa technicalities..ifike mwisho sasa.

Ingefaa pia kuwepo na mapingamizi ya wanaoanza kampeni kabla ya Muda au kuwachafuwa wabunge... mf chagueni ccm Iwaletee maendeleo... tume kuweni fair play tafadharini sana.
Tume zote mbili zipo kuitafunia CCM isiyokuwa na meno.
 
Uraisi siyo ubunge. One mistake you perish. Watu kama Nyalandu na Lisu hawawezi kuvaa viatu vya Uraisi hata wakipata kura 100%
Hawana sifa kuu zifuatazo
1. Uzalendo (wanajiuza kwa maadui wa nchi mfano MIGA etc)
2. Misimamo ( wepesi kununulika na kuhamishwa )
3. Wasaliti wa maadili na mila za mtanzania (mfano Ushoga)
4. Hawana economic plan zaidi ya kujaza watu huruma
5. Record zao ni mbaya.
6. Maadili ya kiongozi mkuu( Raisi was nchi ) wamepishana nayo.

Ulichoongea hapa ni propaganda za MafisiCCM wa Lumumba Street!
Sifa zote hizi ni FAKE na za kubumba! Sifa hizi hata Magufuli anazo:
1. Uzalendo: Hivi kujenga fly ovyo, SGR na Stieglers Gorge ndo uzalendo ilihali WATANZANIA WANAOGELEA KWENE DIMBWI LA UMASKINI?
2. Msimamo: Magufuli Hana msimamo wowote zaidi ya UBABE tu. Alizuia mchanga wa MADINI baadaye kaachia kwa mazingira yasiyoeleweka. Aliuza nyumba za Serikali n.k.
3. Usaliti: Magufuli amesaliti mila na tamaduni zetu kwa KUZUIA WATOTO WA KIKE WASIENDELEE NA MASOMO KISA UJAUZITO.
4. Magufuli kasomea KEMIA hivo hata yeye hana Economic Plans zozote zaidi ya kumtegea Bwana Mpango.
5. Record mbaya: Magufuli aliuza nyumba za Serikali akiwa Waziri Ujenzi. Ameumiza na kupoteza Watz wengi kwa hulka ya Udikteta alonayo.

6. Maadili: Hata Magufuli hakuwa na maadili yoyote wakti akibebwa na CCM kuingia Ikulu.
 
Back
Top Bottom